Pre GE2025 Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Pre GE2025 Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu mama ni mateka…..kafanya kosa kubwa sana kumrudisha Makonda na genge lake ….ona sasa mkuu wa nchi nzima anatoa hotuba kwa kunukuuu propaganda za kitoto za kijana wa Chalinze ambazo zimetengenezwa na kuachiliwa karibuni …na mkutano wa Ngurero [ ni wapi?] , contents za mkutano wa leo zina viashiria vyote vya propaganda za watu wasio kuwa na akili ya kiitelegensia kama kina Musiba na wajinga ….wengine waliofanya magufuli akachafuka ….leo kaenda kurudia makosa yale yale …

Inaonekana Katibu Mkuu hana uwezo wa kumshauri mama akamuelewa ….muelekeo wa press yake ulikuwa ni wa kidiplomasia sana na ulikuwa unaelekea kutuliza nchi …..lakini kwa hotuba hii inaonyesha mama ana taarifa na mambo yote mabaya ambayo yamekua yakifanyika …..na inaonekana anawasikiliza sana hao …

Hii ni siku mbaya sana kama taifa na ni hotuba mbaya kuliko zote kupata kutolewa na Rais . Tunaomba wazee wenye akili ndani ya ccm na serekali wasimuache Rais akaharibikiwa …
 
halipo taifa lolote lililostaarabika na linalozingatia mila, desturi, utamaduni na sheria za kimataifa ulimwenguni, eti kupitia balozi wake lielekeze taifa husika namna ya kudeal na mambo yake ya ndani,

take it from me,
huo ni ukiukwaji wa Sheria na ustaarabu wa kimataifa na yeyote anaekwenda kinyume anastahili kufurushwa kwao mara moja...

hayo mengine nadhani nimeshayaelezea sana maeneo mengine 🐒
Unahitaji kwenda kupata Course pale Chuo cha Diplomasia Kurasini, Baada ya hapo ndipo uje JF uanze kuchangia mada kama hizi. Otherwise unapoteza muda wa watu kusoma comments zako pupu
 
Acheni utumwa wa kujiona hamuwezi na mpaka mtegemee kila kitu kutoka kwa hao wageni.

Punguzeni huu unyonge, sio kila kitokacho huko nje basi tukione ni cha kweli na chenye haki ya kusikilizwa.
Bw Steve, hivi kipi hawa jamaa wamekosea? Kukemea Mauaji ya watu wasio na hatia kinyume cha Sheria? Unatupa taabu kuelewa unachojaribu kuwasilisha kwa jamii hapa JF
 
Hapa ndipo utawaona Vibaraka na Mawakala wa kutukuza ubeberu na ukoloni mamboleo wanavyokengeuka.

You must respect the laws of our land. Afterall, we are a country of laws.

=======
🤡🤡
 
Aliyemshauri rais Samia leo kuishutumu Jumuiya ya Ulaya na America kwa kusema wanaingilia masuala ya ndani ya nchi wakati akihutubia askari wa jeshi la polisi ni kama vile kafanya kusudi ili kumfitinisha Samia na waliomuona anajitahidi kutembea katika 4R zake.

Hiyo ni kwa sababu mabalozi wa nchi za Ulaya walitoa tamko la pamoja la kuunga mkono au kukaribisha uchunguzi na hasa uchunguzi huru katika masuala ya utekaji nchini.

Sasa kitendo cha rais cha kuishutumu jumuiya ya Ulaya na America mbele ya hadhira ya jeshi la polisi ambalo ndilo linalalamikiwa kwa utekaji,kinatoa taswira tatu kwa wakati mmoja..,kwanza hana dhamira ya kufanya huo uchunguzi wenyewe kama zilivyo hisia za wengi ..,pili,kwa kuwatisha EU na America kuna maanisha kuwatoa hofu polisi wanaolalamikiwa kwamba wasiwe na hofu ya kuwepo kwa wachunguzi huru,hivyo wao wataendelea kufanya mambo yao kama kawaida,....tatu, ina maanisha kwamba hadi kufikia hatua ya rais kuwashutumu mabalozi kwa kuunga mkono tamko lake mwenyewe la kuanzisha uchunguzi,inatafsiriwa kama hana nia ya dhati ya kufanya uchunguzi wenyewe.

Katika mazingira haya,Samia amejitengenezea maadui wa moja kwa moja wa nje ya chama chake kuelekea uchaguzi 2025.

Na anatakiwa kukumbuka..na asijisahaulishe kabisa 2025 atakuwa na washindani wakubwa ndani ya chama chake.

Kwa kuwakorofisha wahisani bila sababu,kunawapa silaha washindani wake wa ndani kumshambulia....kwa sababu Tanzania haina jeuri bado ya kuendesha mipango yake bila washirika katika maenedeleo.

Kwa kauli yake ya leo ajihesabu kwamba amebakiza mwaka mmoja tu kabla ya kuondoka nje ya madaraka kwa vile hatakuwa na ubavu wa kuwazuia hawa aliowakorofisha leo endapo wataungana washindani wake wa ndani ya chama chake cha ccm.

Trust me.
 
Nimemsikia akisema kuwa haamini kama matamko waliyoyatoa baada ya mauaji ya Kibao yanawakilisha nchi zao. Hajui kwamba wale sio chawa kama wa kwetu, wanaowakilisha nchi zao ndio maana hawawezi hata kushtakiwa. Hili limesaidia kujua watekaji na wauaji wanatumwa nà nani.
Kweli general Mbona ilikosa uzalendo kwa nchi yako
Swali ni je, walichokisema ni uzushi hakuna tatizo hilo hapa nchini? au kosa ni wao kulisemea, sijaelewa kinchogombwa hapa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao...
sisi tunajua nini cha kufanya🥺🥺🥺🤔🙇🏿‍♂
 
Huyu mama ni mateka…..kafanya kosa kubwa sana kumrudisha Makonda na genge lake ….ona sasa mkuu wa nchi nzima anatoa hotuba kwa kunukuuu propaganda...
Mnyonge myongeni, hapa Makonda mnamuonea bure. Yeye hana mamlaka yoyote juu ya Vyombo vyetu vya Dola. Elekeza lawama kwa wenye wajibu na waliokabdhiwa dhamana ya kulinda maisha ya watanzania.

Yeye si mteuzi wa wahusika katika ngazi yoyote ile. Hana mamlaka hayo. Kwa hili tumuache afanye majukumu yaliyo chini yake as RC. Not more. Asitishwe zigo lisilo la kwake. Hizo ni chuki binafsi
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao...
There is a serious leadership problem in TZ
The regime should be reminded of the human rights convention:

Article 1
All human beings are born free and equal.

article 2
Everyone is equal regardless of race, color, sex, language, religion, politics, or birthplace.

Article 3
Everyone has the right to life (and to live in freedom and safety).

Article 4
Everyone has the right to be free from slavery.

article 5
Everyone has the right to be free from torture.

article 6
Everyone has the right to be recognized before the law.

article 7
We are all are equal before the law.

article 8
Everyone has the right to seek justice if their rights are violated.

Article 9
Everyone has the right to freedom from arbitrary arrest, detention or exile.

Article 10
Everyone has the right to a fair trial.

Article 11
Everyone has the right to be presumed innocent until proven guilty.

Article 12
Everyone has the right to privacy and freedom from attacks on their reputation.

Article 13
Everyone has the right to freedom of movement and to be free to leave and return to their own country.

Article 14
Everyone has the right to seek asylum from persecution.

Article 15
Everyone has the right to a nationality.

Article 16
Everyone has the right to marry and to have a family.

Article 17
Everyone has the right to own property.

Article 18
Everyone has the right to freedom of thought, conscience and religion.

Article 19
Everyone has the right to freedom of opinion and expression.

Article 20
Everyone has the right to freedom of peaceful assembly and association.

Article 21
Everyone has the right to take part in government and to have equal access to public service.

Article 22
Everyone has the right to social security.

Article 23
Everyone has the right to work, to equal pay, to protection against unemployment, and the right to form and join trade unions.

Article 24
Everyone has the right to rest and leisure.

Article 25
Everyone has the right to a decent standard of living, including food, clothing, housing, medical care, and social services.

article 26
Everyone has the right to education.

Article 27
Everyone has the right to participate in and enjoy culture, art and science.

Article 28
Everyone has the right to a social and international order where the rights in this Declaration can be fully realized.

article 29
We have a duty to other people and we should protect their rights and freedoms.

article 30
Nobody can take away these rights and freedoms from us.
 
Lakini sheria zikivunjwa ni vema kukemea. Watu wanuawa kinyume cha sheria.
Sawa ni mpaka sheria zikivunjwa.
Walakin,

Ni sheria zipi hizo? Specifically?

Kwamba kuua unaweza kuua alimradi unafuata sheria?

Watu wanapotea kwa sababu nyingi tu na sio sababu zote ni za kisiasa..

Hivi binadamu kama Mbowe(mfano tu) akishurutishwa baada ya kujihusisha na extra marital activities na binadamu mwenzake kutoka chama kingine cha siasa, bado utaita hilo vurugu za kisiasa ama vurugu za kitandani?
 
Back
Top Bottom