misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Hapa ndio anakosea, kama ana msimamo awe hivyo sio kwenda kutembeza bakuliHalafu Kesho kiguu na njia kwenda kuomba MKOPO wa kununuua ma V8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndio anakosea, kama ana msimamo awe hivyo sio kwenda kutembeza bakuliHalafu Kesho kiguu na njia kwenda kuomba MKOPO wa kununuua ma V8
Kunywa Mbege kuna umri?Kwa umri ule?🤔🤔
Ndesa alikufa kwa umri wake mkubwa.Hao wengine walijitakia dhahma.Kunywa Mbege kuna umri?
kuna mahala kalamba asali ya nyuki wa dogo c bureHii jeuri katoa wapi?
Anaanza mambo ya jiwe nae.
baba Dubai kamwambia ajibuu sasa asiwe kinyongee 😂Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao.
Mara baada ya Ali Kibao kupatikana akiwa amefariki huko Ununio, Dar Es Salaam balozi za nchi mbalimbali kama Marekani, Ufaransa na Umoja Wa Ulaya yaani EU walijitokeza kukemea kitendo hicho na kuitaka serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa haraka.
Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Leo akiwa anatoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi La Polisi, mkuu huyo wa nchi amedokeza kuwa hayuko tayari kuelekezwa nini cha kufanya na kwamba Tanzania ina katiba na miongozo yake na kwamba sisi tunajua nini cha kufanya.
View attachment 3098778
Source: Mwananchi
Umri mkubwa ni miaka mingapi?🐼Ndesa alikufa kwa umri wake mkubwa.Hao wengine walijitakia dhahma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao.
Mara baada ya Ali Kibao kupatikana akiwa amefariki huko Ununio, Dar Es Salaam balozi za nchi mbalimbali kama Marekani, Ufaransa na Umoja Wa Ulaya yaani EU walijitokeza kukemea kitendo hicho na kuitaka serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa haraka.
Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Leo akiwa anatoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi La Polisi, mkuu huyo wa nchi amedokeza kuwa hayuko tayari kuelekezwa nini cha kufanya na kwamba Tanzania ina katiba na miongozo yake na kwamba sisi tunajua nini cha kufanya.
View attachment 3098778
Source: Mwananchi
Ukilaza umeufikisha hadi huku?Unajua maana ya mkopo?.. unadhani kila mtu/nchi inakopesheka?
kwamba awafukuze? Ni ngumu sana.Kama ana ubavu na anajiamini, wafukuze nchi ni. Huyu dikteta ameanza kulewa madaraka kupitiliza
Maisha ya mwanadamu,miaka 70 na kuendelea.Miaka 61 umejitakia.Umri mkubwa ni miaka mingapi?🐼
Kwahiyo nduguyo alikuwa na 70? 😄Maisha ya mwanadamu,miaka 70 na kuendelea.Miaka 61 umejitakia.
nadhani waulizwe wale waandaji wa maandamano haramu ya Chadema, je, nani sijui huko must go wana uwezo nayo au wanajipaka hicho unacho kiporomosha kwa mdomo wako...Mna huwo uwezo,au mnajipaka mavi tu.
Wewe ulimpeleka kliniki ya kikoloni?Kwahiyo nduguyo alikuwa na 70? 😄
Atoe shit zote ila aombe Mungu Amerika wasikate misaada na kuweka vikwazo.
Wale wapuuzi wakitupiga ban hii nchi haitakalika