antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Haha,....wasio zingatia.....anafurushwa any time bila mbambamba yoyote kutoka popote 🐒
Hivi home kwako huwa unawaambia kazi yako ni u-chawa, a.k.a kulamba viatu vya watu?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha,....wasio zingatia.....anafurushwa any time bila mbambamba yoyote kutoka popote 🐒
Kitabu cha hekaya
Acheni utumwa wa kujiona hamuwezi na mpaka mtegemee kila kitu kutoka kwa hao wageni.Balozi namba moja rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo anatekeleza sera yake ya mahusiano ya kimataifa, kwa kukataa kuna tatizo Tanzania na kuwa hahitaji msaada wa kiufundi na kiuzoefu kupambana na genge la kihalifu liloishinda jeshi la polisi la Tanzania pia Idara ya Usalama wa Taifa TISS.
Kwa tamko hili la balozi namba moja ambaye ni Rais amiri jeshi mkuu na mfariji , wahuni hawa wanaoitwa watu wasiojulikana wakiamua kufanya matukio makubwa zaidi kwa kuwa sasa Tanzania imejitutumua haitaki kushirikiana na vyombo vingine mahiri vya nchi zingine kitachotokea ina maana lawama zipo katika mabega ya rais.
Hawa wahuni wasiojulikana kiaina watakuwa hofu ya kushughulikiwa kimataifa haipo na kwa vyombo vya ndani vinawaogopa ni kwamba kuna mawili yataibuka.
Vitendo hivi vya kuteka, kupoteza na kuua vitakoma kwa sababu zisizojulikana au vitashamiri ikiwa kweli serikali haihusiki kabisa na wahuni hawa.
Muda utatupa majibu ya scenario (mazingira) hizi mbili matukio kuisha kabisa au matukio kupamba moto mkali zaidi. Kwa akili na ufahamu wa kawaida jibu litapatikana upande gani unahusika dola (state) au wahuni wanaojitegemea bila nguvu ya dola waliopachikwa jina genge la watu wasiojulikana.
Dunia nzima unafanyika unyama wa kuteka na kutekwa, punguzeni hizi nongwa za kitoto.Kiburi cha madaraka live kwa tv😱😳,hofu ya kutekwa ya watanzania haimhusu.
Ndio ukweli huo, tumesahau awamu ya tano zile maiti zilizokuwa zikiokotwa pale coco beach kila siku!.Yaani watu wanakufa anasema nchi nyingine huwa yanatokea pia!
Kwahiyo kama yanatokea nchi nyingine,na Kwa sababu kufa kupo basi ni sawa tu!
Aisee
Halafu Kesho kiguu na njia kwenda kuomba MKOPO wa kununuua ma V8
Safi sana wafanye yaliyowaleta!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao.
Mara baada ya Ali Kibao kupatikana akiwa amefariki huko Ununio, Dar Es Salaam balozi za nchi mbalimbali kama Marekani, Ufaransa na Umoja Wa Ulaya yaani EU walijitokeza kukemea kitendo hicho na kuitaka serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa haraka.
Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Leo akiwa anatoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi La Polisi, mkuu huyo wa nchi amedokeza kuwa hayuko tayari kuelekezwa nini cha kufanya na kwamba Tanzania ina katiba na miongozo yake na kwamba sisi tunajua nini cha kufanya.
View attachment 3098778
Source: Mwananchi
Hakika!Shujaa Magufuli kama binadamu Wengine alikuwa na madhaifu yake lakini katika kuwashikisha adabu Mabeberu Africa nzima walimpigia salute
Katika hilo Kazi Iendelee
Kwani Wao Wazungu ni nani? 🐼
China mwizi tu hana msaada wowote kwetu hata tukivunja uhusiano na china hatuathirika kwa chochote zaidi yakukosa bidhaa feki.Ukiona hivo ujue China imemuahidi mzigo. Sio kwa kichambo kile Kwa Mabalozi za jumuiya ya Ulaya na Marekani.
anamzigo wa kutosha kutoka Arabs United EmiratesUkiona hivo ujue China imemuahidi mzigo. Sio kwa kichambo kile Kwa Mabalozi za jumuiya ya Ulaya na Marekani.
Na wao kigumu na njia kwenda ikulu kumsifiaHalafu Kesho kiguu na njia kwenda kuomba MKOPO wa kununuua ma V8
Nopekama rais amesema vile, mjue kuwa haya yoooooooooooooooote yana baraka zake. Anajua fika nini kinaendelea na anaagiza yeye
Mna huwo uwezo,au mnajipaka mavi tu.Yes hicho ndicho,
Lazima waheshimu mila, utamaduni , desturi, katiba na sheria za nchi yetu huru,
vinginevyo wasipobadilika mabalozi hao wote watarudishwa makwao bila mbambambba yoyote 🐒
Kufa ni kufa tu bwashee usisahau meku Ndesa alidedi akiwa na bilauri ya Mbege mezani 🐼Labda tungekua tunajua kutengeneza pacemakers zetu.
Kwa umri ule?🤔🤔Kufa ni kufa tu bwashee usisahau meku Ndesa alidedi akiwa na bilauri ya Mbege mezani 🐼
aicc kuna wakati wanataka watu waende kutembea kule uholanziBalozi namba moja rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo anatekeleza sera yake ya mahusiano ya kimataifa, kwa kukataa kuna tatizo Tanzania na kuwa hahitaji msaada wa kiufundi na kiuzoefu kupambana na genge la kihalifu liloishinda jeshi la polisi la Tanzania pia Idara ya Usalama wa Taifa TISS.
Kwa tamko hili la balozi namba moja ambaye ni Rais amiri jeshi mkuu na mfariji , wahuni hawa wanaoitwa watu wasiojulikana wakiamua kufanya matukio makubwa zaidi kwa kuwa sasa Tanzania imejitutumua haitaki kushirikiana na vyombo vingine mahiri vya nchi zingine kitachotokea ina maana lawama zipo katika mabega ya rais.
Hawa wahuni wasiojulikana kiaina watakuwa hofu ya kushughulikiwa kimataifa haipo na kwa vyombo vya ndani vinawaogopa ni kwamba kuna mawili yataibuka.
Vitendo hivi vya kuteka, kupoteza na kuua vitakoma kwa sababu zisizojulikana au vitashamiri ikiwa kweli serikali haihusiki kabisa na wahuni hawa.
Muda utatupa majibu ya scenario (mazingira) hizi mbili matukio kuisha kabisa au matukio kupamba moto mkali zaidi. Kwa akili na ufahamu wa kawaida jibu litapatikana upande gani unahusika dola (state) au wahuni wanaojitegemea bila nguvu ya dola waliopachikwa jina genge la watu wasiojulikana.
no longer at easeRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao.
Mara baada ya Ali Kibao kupatikana akiwa amefariki huko Ununio, Dar Es Salaam balozi za nchi mbalimbali kama Marekani, Ufaransa na Umoja Wa Ulaya yaani EU walijitokeza kukemea kitendo hicho na kuitaka serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa haraka.
Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Leo akiwa anatoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi La Polisi, mkuu huyo wa nchi amedokeza kuwa hayuko tayari kuelekezwa nini cha kufanya na kwamba Tanzania ina katiba na miongozo yake na kwamba sisi tunajua nini cha kufanya.
View attachment 3098778
Source: Mwananchi