Brain = 0%Huyu mama ni mweupe mno kichwani!!
Hao wazungu wakiamua kukujambisha utaachia hicho kiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brain = 0%Huyu mama ni mweupe mno kichwani!!
Hao wazungu wakiamua kukujambisha utaachia hicho kiti
ukifikia kiwango chako cha mwisho cha fikra mbadala kwenye mambo yanayokuzidi uwezo...Ukianza kuvaa pampasi usiliee
Amefika mbali sana , Twende tuKuna watu wana mislead Samia tena inside member .
Aliyemuandikia Samia ile speech mungu anamuona.
Haikufaa kusomwa kwenye public , ni hatari kwa ustaw taifa.
Bado na appreciate sana timu ya JK, na Ben iliyokuwa inahusika na speech
JPM na Samia speech zao zinaandaliwa na machawa zaidi ambao are not realistic na wanashindwa kujua Rais anaongea publicly , kuna tatizo mahali, bora Ngosha sometime alikuwa anaongea kama yeye .
Mifano ambayo ni irrelevant, eti Trump kakoswa mara 2 , trump is manipulator and is of more political attention, by the way USA is not Tanzania by far !
Huo mfano haukupaswa kuwa hata sehemu ya speech ya Rais , you know what …… hiyo ikiwekwa BBC maana yake ni kwamba Mauaji TZ ni sawa kutokea kwa sababu USA pia yanatokea… therefore it is okay for TZ . Tena akaongeza mfano wa school shooters …..kwa hiyo mifano, Rais ana supplement kuwa ni sawa pia kwa Tanzania kuuliwa
Nasema tena uliyemlisha matango pori Rais , mungu anakuona.
Ukatili hauwezi kuwa justified na ukatili mwingine, unafanya Rais aonekane wa hovyo.
Ilitosha Rais kusema hatukubaliani na mauaji na violence has no place in our country .
Ni nani aliye andika speech ya Rais ,
Something is wrong
Kuna shida mahali Watanzania kazi kwenu
Yawezekana unasema yanayokufurahisha, lakini yaliyo mbali na ukweli.hakuna ujeuri wala ubabe kwenye masuala ya kimataifa na diplomasia gentleman,
ni ustaarabu unaozingatia mila, desturi na sheria za kimataifa na kila taifa lililotuma muwakilishi wake kwenye nchi yeyote lazima azingatie, vinginevyo atafurushwa nyumbani mara moja...
hayo mengine hayahusiani 🐒
Namuonea huruma sana anajaribu kugusa mfupa uliomshinda fisiHuyu akitoboa kura za maoni nimekaa pale. Tena ameshaanza kumess na mabeberu sijui.
Anaokwa kama ndafu huko JehannamYuko wapi leo?
Mabeberu wakitaka kweli, mpaka siku mtakapo acha kuomba misaada na kupokea misaadaShujaa Magufuli kama binadamu Wengine alikuwa na madhaifu yake lakini katika kuwashikisha adabu Mabeberu Africa nzima walimpigia salute
Katika hilo Kazi Iendelee
Kwani Wao Wazungu ni nani? 🐼
Teh teh teh tayari Mkenge...ukifikia kiwango chako cha mwisho cha fikra mbadala kwenye mambo yanayokuzidi uwezo...
ni busara unakaa kimya tu sasa unababaika na makasiriko ya nini gentleman 🤣
Kuanzia mwaka gani huo?Sisi ni Taifa Huru wasitupangie 🐼
Mama siyo jiwe,kuna walakini katika vyombo vya ulinzi,kuna walakini pia kwa mahakama,kuna walakini kwa chama tawala,kuna walakini kwenye vyama vya siasa,kuna walakini kwa taasisi binafsi NGO za kulinda haki za binadamu.Pia kuna mapungufu makubwa ya kusimamia bunge la jumuia ya Africa Mashariki.Hii jeuri katoa wapi?
Anaanza mambo ya jiwe nae.
Elimu ni tatizo kubwa sana, kila mtu anajiona ana haki ya kusema na kusikilizwa na kila mtu.Wabongo tu wajuaji sana aisee.
2015 😄Kuanzia mwaka gani huo?
Huyo popoma kashashiba anajahmpah tu humuYawezekana unasema yanayokufurahisha, lakini yaliyo mbali na ukweli.
Nchi yoyote iwe kwa sababu au bila sababu inaweza kuvunja mahusiano ya kibalozi na nchi yoyote ile, hakuna anayeweza kulizuia hilo. Lakini tendo la kuvunja uhusiano wa kibalozi maana yake ni kutangaza uadui. Na hiyo nchi ambayo balozi wake umemfurusha, unaipa nafasi ya kuwa macho zaidi na Serikali yako.
Lakini hata ukiwafukuza mabalozi wa mataifa yote, hiyo haizuii jamii ya kimataifa kuingia nchini mwako kwa lengo la kuwalinda wanaoonekana wapo kwenye hatari ya kuuawa kwa misingi ya kibaguzi.
Kuweza kuwafukuza mabalozi wote wa nchi za Ulaya, lazima uwe punguani kichaa. Hakuna kiongozi mwenye akili timamu anaweza kulifanya hilo kwani madhara yake hayawezi kupimika. Fikiria Putin, pamoja na ubabe wake wote, pamoja na nchi za Ulaya na America kuipa silaha Ukraine, lakini Putin hajathubutu kuvunja uhusiano wa kibalozi na nchi za Ulaya, wala USA.
Chura kiziwi amesahau mwaka kesho anakwenda kuwapigia magoti,kuwaomba fedha za uchaguzi mkuu?
Umeingia hofu,subiri watakujibu
Labda tungekua tunajua kutengeneza pacemakers zetu.2015 😄