Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakapokuwepo na Wewe 🐼Yuko wapi leo?
Mkopo haukuodolei utu wa mtu,acha kuwa kiluka njia.China anakopa,Russia anakopa,Uingereza inakopa,Marekani anakopa,Tanzania inakopa,na wewe ukikopa bado ni mtu.Halafu Kesho kiguu na njia kwenda kuomba MKOPO wa kununuua ma V8
halipo taifa lolote lililostaarabika na linalozingatia mila, desturi, utamaduni na sheria za kimataifa ulimwenguni, eti kupitia balozi wake lielekeze taifa husika namna ya kudeal na mambo yake ya ndani,Mkuu Unaelewa maana ya neno m?a ,utamaduni na desturi!? Kuua watu mayo ni Mila ,desturi au utamaduni!?
Haya uliyoyaandika ulipaswa kujua maana yake ikiwa angalau ulikomea form two ,
Kuwa na adabu,yule ni Raisi wa Jamhuri, vilevile yule ni mama.Chura kiziwi amesahau mwaka kesho anakwenda kuwapigia magoti,kuwaomba fedha za uchaguzi mkuu?
Umeingia hofu,subiri watakujibu
Tofauti ni chombo cha Sirikali kutuhumiwa na sio suala la mtoto. Je suala la Floyd na mengine kama hayo yalifichwa au yalishughulikiwa ipasavyo. Na USRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao.
Mara baada ya Ali Kibao kupatikana akiwa amefariki huko Ununio, Dar Es Salaam balozi za nchi mbalimbali kama Marekani, Ufaransa na Umoja Wa Ulaya yaani EU walijitokeza kukemea kitendo hicho na kuitaka serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa haraka.
Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Leo akiwa anatoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi La Polisi, mkuu huyo wa nchi amedokeza kuwa hayuko tayari kuelekezwa nini cha kufanya na kwamba Tanzania ina katiba na miongozo yake na kwamba sisi tunajua nini cha kufanya.
View attachment 3098778
Source: Mwananchi
Una uhakika?au una elimu ya kupandikizwa?Hana ubavu wa kuwakwepa wajomba
Hoja yake ni kwamba ni kweli walichokisema ni maagizo kutoka kwa marais wa nchi zao au wanaleta siasa? Binafsi sijaona alipokoseaMtawala aliyeitangazia dunia kuwa kuzurula kwake huko na huko duniani ni kwa ajili ya kuomba omba visenti na kuwalamba viatu wakubwa wale ili wampe chochote (kwa masharti yoyote yale) cha kuja kuendeshea nchi yake inayodidimia vibaya, sasa leo hii amesikika akisema wakubwa wale anaowategemea wampe chochote wasimpangie cha kufanya!
Mtawala amesahau ule msemo unaosema 'anayemlipa mpiga ngoma ndiye anayechagua midundo ipi ya ngoma ipigwe'.
Mswahili ameanza kutukuna mamba kabla ya kuvuka mto.
Muda utatufundisha kitu.
Wewe utafia Guest house 😂Kilichofuata kilikuwa ni bendera nusu mlingoti.
Mzee alikuwa akiishi kwa kutumia kijenereta cha moyo kilichotengenezwa na kuendeshwa kwa akili za beberu, na kila kikisumbua beberu aliitwa kukiweka sawa, kijenereta sijui kilizimwa vile watu wakarudi kati.
Humu kila kinachosemwa na rais au waziri mkuu kinapingwa tu. Ili mradi watumie haki yao ya kidemokrasia.Hoja yake ni kwamba ni kweli walichokisema ni maagizo kutoka kwa marais wa nchi zao au wanaleta siasa? Binafsi sijaona alipokosea
Chura kiziwi amesahau mwaka kesho anakwenda kuwapigia magoti,kuwaomba fedha za uchaguzi mkuu?
Umeingia hofu,subiri
Nilitegemea anakuja kukemea mauaji kumbe hapana basi hawezi kukwepa hizi lawamaChura kiziwi amesahau mwaka kesho anakwenda kuwapigia magoti,kuwaomba fedha za uchaguzi mkuu?
Umeingia hofu,subiri watakujibu
Unajua maana ya mkopo?.. unadhani kila mtu/nchi inakopesheka?
Kitabu cha hekayaTajiri humtawala maskini, Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.
Mithali 22:7
Wabongo tu wajuaji sana aisee.Humu kila kinachosemwa na rais au waziri mkuu kinapingwa tu. Ili mradi watumie haki yao ya kidemokrasia.
Chura kiziwi katika ubora wake. Kesho anaendelea kwao kutembeza bakuli.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao.
Mara baada ya Ali Kibao kupatikana akiwa amefariki huko Ununio, Dar Es Salaam balozi za nchi mbalimbali kama Marekani, Ufaransa na Umoja Wa Ulaya yaani EU walijitokeza kukemea kitendo hicho na kuitaka serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa haraka.
Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa
Leo akiwa anatoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi La Polisi, mkuu huyo wa nchi amedokeza kuwa hayuko tayari kuelekezwa nini cha kufanya na kwamba Tanzania ina katiba na miongozo yake na kwamba sisi tunajua nini cha kufanya.
View attachment 3098778
Source: Mwananchi