Pre GE2025 Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Pre GE2025 Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inaonekana hata historia ya ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika namna Tanzania ilivyoshiriki kuzikomboa nchi mbalimbali hakuisoma. Mauaji na utekaji hayana tofauti na waliyofanyiwa wananchi wa Afrika ya kusini na makaburu. Lazima uovu huo upingwe kama Nyerere alivyopinga ukaburu.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao.

Mara baada ya Ali Kibao kupatikana akiwa amefariki huko Ununio, Dar Es Salaam balozi za nchi mbalimbali kama Marekani, Ufaransa na Umoja Wa Ulaya yaani EU walijitokeza kukemea kitendo hicho na kuitaka serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa haraka.

Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa

Leo akiwa anatoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi La Polisi, mkuu huyo wa nchi amedokeza kuwa hayuko tayari kuelekezwa nini cha kufanya na kwamba Tanzania ina katiba na miongozo yake na kwamba sisi tunajua nini cha kufanya.


View attachment 3098778

Source: Mwananchi
Kama ana ubavu na anajiamini, wafukuze nchi ni. Huyu dikteta ameanza kulewa madaraka kupitiliza
 
Hii kauli inamaanisha huu utekaji na mauaji yanayofanyika, hataki mataifa yatoe kauli, kwa vile Serikali yake imeamua kufanya utekaji, wasiambiwe chochote, na hata wanapoteka wanajua wanachokifanya.

Kwa hiyo Rais anaamini kuwa hata wakiamua kuwateka na kuwaua viongozi wote wa CHADEMA, Dunia ikae kimya, kwa sababu yeye anajua cha kufanya, ujuaji wenyewe ndiyo huo utekaji, na kuwadanganya watu kuwa kuna uchunguzi unaendelea!

Huo ujeuri wake wa kutetea uovu, atakuja kuujutia.
 
Vidonge unavyobugia navyo virudi kwao....
hiyo ni useless kabisa,
yaan unaacha hoja a msingi mezani

unazungumzia vidonge wanavyotumia viongozi waandamizi wa kitaifa, mathalani pale chadema kuna mwingine alisema anakunywa vingi mno,

kwahiyo ulitaka waache kutumia vidonge sio? ili iweje gentleman kwa mfano 🐒
 
Mtawala aliyeitangazia dunia kuwa kuzurula kwake huko na huko duniani ni kwa ajili ya kuomba omba visenti na kuwalamba viatu wakubwa wale ili wampe chochote (kwa masharti yoyote yale) cha kuja kuendeshea nchi yake inayodidimia vibaya, sasa leo hii amesikika akisema wakubwa wale anaowategemea wampe chochote wasimpangie cha kufanya!

Mtawala amesahau ule msemo unaosema 'anayemlipa mpiga ngoma ndiye anayechagua midundo ipi ya ngoma ipigwe'.
Mswahili ameanza kutukuna mamba kabla ya kuvuka mto.

Muda utatufundisha kitu.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao.

Mara baada ya Ali Kibao kupatikana akiwa amefariki huko Ununio, Dar Es Salaam balozi za nchi mbalimbali kama Marekani, Ufaransa na Umoja Wa Ulaya yaani EU walijitokeza kukemea kitendo hicho na kuitaka serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa haraka.

Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa

Leo akiwa anatoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi La Polisi, mkuu huyo wa nchi amedokeza kuwa hayuko tayari kuelekezwa nini cha kufanya na kwamba Tanzania ina katiba na miongozo yake na kwamba sisi tunajua nini cha kufanya.


View attachment 3098778

Source: Mwananchi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao.

Mara baada ya Ali Kibao kupatikana akiwa amefariki huko Ununio, Dar Es Salaam balozi za nchi mbalimbali kama Marekani, Ufaransa na Umoja Wa Ulaya yaani EU walijitokeza kukemea kitendo hicho na kuitaka serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa haraka.

Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa

Leo akiwa anatoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi La Polisi, mkuu huyo wa nchi amedokeza kuwa hayuko tayari kuelekezwa nini cha kufanya na kwamba Tanzania ina katiba na miongozo yake na kwamba sisi tunajua nini cha kufanya.


View attachment 3098778

Source: Mwananchi
Kuna watu wana mislead Samia tena inside member .

Aliyemuandikia Samia ile speech mungu anamuona.

Haikufaa kusomwa kwenye public , ni hatari kwa ustaw taifa.

Bado na appreciate sana timu ya JK, na Ben iliyokuwa inahusika na speech

JPM na Samia speech zao zinaandaliwa na machawa zaidi ambao are not realistic na wanashindwa kujua Rais anaongea publicly , kuna tatizo mahali, bora Ngosha sometime alikuwa anaongea kama yeye .


Mifano ambayo ni irrelevant, eti Trump kakoswa mara 2 , trump is manipulator and is of more political attention, by the way USA is not Tanzania by far !

Huo mfano haukupaswa kuwa hata sehemu ya speech ya Rais , you know what …… hiyo ikiwekwa BBC maana yake ni kwamba Mauaji TZ ni sawa kutokea kwa sababu USA pia yanatokea… therefore it is okay for TZ . Tena akaongeza mfano wa school shooters …..kwa hiyo mifano, Rais ana supplement kuwa ni sawa pia kwa Tanzania kuuliwa

Nasema tena uliyemlisha matango pori Rais , mungu anakuona.

Ukatili hauwezi kuwa justified na ukatili mwingine, unafanya Rais aonekane wa hovyo.

Ilitosha Rais kusema hatukubaliani na mauaji na violence has no place in our country .

Ni nani aliye andika speech ya Rais ,
Something is wrong

Kuna shida mahali Watanzania kazi kwenu
 
Sema unapenda sana kuropoka kabla haujashirikisha ubongo wako.. 🤔
Gentleman,
kuna mambo huhitaji ushirikina wala mihemko, huna haja kufanya maziezi ya kuporomosha matusi..

jikite kwenye hoja ya maana sana mezani. na kama huna mawazo mapya na fikra mbadala kaa kimya alaaa...

hasira za kinyumbu ziache huko huko nyikani alaaa🤣
 
Back
Top Bottom