Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ujeuri hana. Ajaribu kuwafukuza hao mabalozi, kama ana jeuri hiyo. Wewe Serikali yako iteke na kuua watu halafu useme unajua la kufanya!!Yes hicho ndicho,
Lazima waheshimu mila, utamaduni , desturi, katiba na sheria za nchi yetu huru,
vinginevyo wasipobadilika mabalozi hao wote watarudishwa makwao bila mbambambba yoyote 🐒
angalizo lielekeze kwa mabalozi wasio zingatia mila,desturi na utamaduni wa host country,Haha,
Siyo makasiriko dogo, ni angalizo tu
Inaonekana hata historia ya ukombozi wa kusoni mwa Afrika hakuisoma. Mauaji na utekaji hayana tofauti na waliyofanyiwa wananchi wa Afrika ya kusini na makaburu. Lazima uovu huo upingwe kama Nyerere alivyopinga ukaburu.
hakuna ujeuri wala ubabe kwenye masuala ya kimataifa na diplomasia gentleman,Huo ujeuri hana. Ajaribu kuwafukuza hao mabalozi, kama ana jeuri hiyo. Wewe Serikali yako iteke na kuua watu halafu useme unajua la kufanya!!
Ameota mapembe kiasi cha kuona ana mamlaka ya kuamua nani aishi, na nani afe muda anaoutaka yeye!!
Hiyo mipasho tu, hakuna mwenye jeuri hiyovinginevyo hawatavumiliwa hata kidogo wasipozingatia sheria za kimataifa na ustaarabu wa kidiplomasia. watarejeshwa makwao mara moja 🐒
hata huko kwao kuna mauaji na unyama mwingi unafanyika. Pia amewataka watambue kuwa uhai wa kila Mtanzania ni muhimu....wakemee na vibaka, watekaji maalbino na watoto, siyo kubagua wanaowataka wao tu!Aliyesema hivo ni kichaa.kwa hiyo anaunga mkono utekaji na uuaji wa watu?Kwa hiyo mabalozi wasiseme maovu wanayoyasema?
gentleman,Hiyo mipasho tu, hakuna mwenye jeuri hiyo
Na mzigo huo utageuka kuwa 'mzigo'!Ukiona hivo ujue China imemuahidi mzigo. Sio kwa kichambo kile Kwa Mabalozi za jumuiya ya Ulaya na Marekani.
Mimi hayo yote siyaaminisasa mtu anasaga na kukoboa atakuaje na akili timamu?
Guilty conscious, ni yeye aliyesema kuwa kutekana ni drama za CHADEMA na watuhumiwa wakuu ni polisi kwa hiyo kwa nini wajichunguzeAliyesema hivo ni kichaa.kwa hiyo anaunga mkono utekaji na uuaji wa watu?Kwa hiyo mabalozi wasiseme maovu wanayoyasema?
Mkuu Unaelewa maana ya neno m?a ,utamaduni na desturi!? Kuua watu mayo ni Mila ,desturi au utamaduni!?Yes hicho ndicho,
Lazima waheshimu mila, utamaduni , desturi, katiba na sheria za nchi yetu huru,
vinginevyo wasipobadilika mabalozi hao wote watarudishwa makwao bila mbambambba yoyote 🐒
Unazungumzia historia 😀Huna akili, muuaji mbona anapepea kila leo kwenda kwa mabeberu na mabakuli