Rais Samia: Kwa mwaka mmoja nimeongoza Nchi vizuri

Rais Samia: Kwa mwaka mmoja nimeongoza Nchi vizuri

Samia ni kweli ana afadhali kuliko Magufuli ila bado mapema kusema kaongoza kuliko wanaume wote
 
Hapa mataga watafura, wao wanaamini mtu wao ndiye shujaa wa Africa!
 


Rais Samia Suluhu ametaja changamoto tatu ambazo amekutana nazo tangu awe Rais wa Tanzania lakini ameonyesha nguvu ya Mwanamke kwa kuongoza Nchi vizuri na katika hali fulani amezidi hata kile kilichofanywa na Wanaume ndani ya mwaka mmoja.

Akizungumza wakati akishiriki Mdahalo wa Wakuu wa Nchi unaofanyika Accra, Ghana, leo Mei 24, 2022 amesema: “Changamoto kubwa ya kwanza ilikuwa kuaminiwa, Mwanamke wa kwanza kushika nafasi kubwa, kuwafanya watu wa Tanzania waniamini.

“Niliongoza Nchi vizuri kama Wanaume wanavyofanya inawezekana zaidi ya kile walichokuwa wanafanya wao.”

Anasema: “Changamoto nyingine ni kuhusu maambukizi ya Ugonjwa wa Covid-19 ambayo yalikuwa yakiisumbua Dunia, uchumi haukuwa mzuri. Nilikabiliwa na kibarua cha kukuza uchumi wa Tanzania.

“Changamoto ya tatu, uchumi ulipokuwa ukishuka nilijiuliza wapi pa kuanzia, nashukuru washirika, ikiwemo African Development Bank, wametusaidia katika ujenzi wa miundombinu, kilimo. Hivyo, kwa msaada wao na washirika wengine tulifanya vitu vizuri kadhaa.

“Kutokana na maambukizi ya Covid-19, tulipata fedha kutoka Shirika la Fedha Duniani (IMF) kama ilivyotoa kwa mataifa mengine, wengi walitumia kwa matumizi ya kupambana na maambukizi.

“Tulichoamua ni kutumia sehemu ya fedha hizo kwa ajili ya kuboresha madarasa, kusambaza maji katika maeneo mengi ya nchi ambayo upatikanaji wake ulikuwa kama 72% lakini tukasogea hadi 80% na tunatarajia hadi kufikia 2025 maeneo ya mijini inaweza kuwa 92% na 85% kwa Vijijini, pia tumetumia kwa ajili ya masuala ya kuboresha huduma za afya.
Nasikia arufu ya mafiii hapa [emoji90][emoji90][emoji90]
 
Kwenye Free speech amejitahidi kushinda JPM


Kwenye demokrasia yeye ndiye mwenye rekodi ya kumuweka ndani kiongozi mkuu wa upinzani kwa muda mrefu kwa mashitaka ya uongo.

Bado kupitia kofia yake ya CCM alishinikiza speaker atolewe.
 
😂😂😂Hebu atuache inflation Iko juu ameshindwa kutatua matatizo ya kiuchumi, na mwaka huu Kuna njaa inakuja sijajua Serikali imejiandaaje!!!
Pamoja na kwamba umeshindwa kuzuia chuki zako bahati mbaya sana Takwimu zinakuumbua..

Kama unazo za tofauti tuwekee👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220413-100759.png
    Screenshot_20220413-100759.png
    107.6 KB · Views: 9
Kwani jinsia yake inahusiana na urais?
Ndio kwa sababu jamii yetu ukiwemo wewe ulikuwa unadhani mtu hawezi kuongoza kwa kuwa Rais Kwa sababu yeye ni mwanamke..

Rais yuko sahihi kwa maana hiyo kawafungulia fursa wanawake wengine kwamba jinsia has nothing to do with anything
 
Unaishi Tanzania ipi wewe? Angalia bidhaa dukani zilivyopanda bei ndani ya mwaka Mmoja
Ndio maana huwa nawatukana na kuwaona mna akili kama za funza..

Kwa hiyo Bei zimepanda kiasi kwamba hazinunuliki sio?

Kwa hiyo Samia ndio kapandisha sio?

Kwa hiyo Bei zimepanda Tanzania tuu sio?

Unajua huko Ghana aliko Rais mfumuko wa bei unasomekaje?

Pamoja na ujinga wenu mwingi,mnatakiwa kufahamu kwamba Tanzania maisha ni rahisi Sana kuliko Nchi zote za EAC na kushinda Nchi nyingi Sana hapa Africa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-205141.png
    Screenshot_20220524-205141.png
    151.9 KB · Views: 8
Ndio maana huwa nawatukana na kuwaona mna akili kama za funza..

Kwa hiyo Bei zimepanda kiasi kwamba hazinunuliki sio?

Kwa hiyo Samia ndio kapandisha sio?

Kwa hiyo Bei zimepanda Tanzania tuu sio?

Unajua huko Ghana aliko Rais mfumuko wa bei unasomekaje?

Pamoja na ujinga wenu mwingi,mnatakiwa kufahamu kwamba Tanzania maisha ni rahisi Sana kuliko Nchi zote za EAC na kushinda Nchi nyingi Sana hapa Africa 👇
Kubishana na mtu unayekula na kulala kwenu hujui hata bei ya sabuni ni tabu sana, kajitegemee ujue ukali wa maisha
 
Kubishana na mtu unayekula na kulala kwenu hujui hata bei ya sabuni ni tabu sana, kajitegemee ujue ukali wa maisha
Ntatoa wapi bando la kushinda mtandaoni kama nakula na kulala kwetu? 😆😆😆😆..

Makini kuna ujumbe wenu huku 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-204936.png
    Screenshot_20220524-204936.png
    109.3 KB · Views: 6


Rais Samia Suluhu ametaja changamoto tatu ambazo amekutana nazo tangu awe Rais wa Tanzania lakini ameonyesha nguvu ya Mwanamke kwa kuongoza Nchi vizuri na katika hali fulani amezidi hata kile kilichofanywa na Wanaume ndani ya mwaka mmoja.

Akizungumza wakati akishiriki Mdahalo wa Wakuu wa Nchi unaofanyika Accra, Ghana, leo Mei 24, 2022 amesema: “Changamoto kubwa ya kwanza ilikuwa kuaminiwa, Mwanamke wa kwanza kushika nafasi kubwa, kuwafanya watu wa Tanzania waniamini.

“Niliongoza Nchi vizuri kama Wanaume wanavyofanya inawezekana zaidi ya kile walichokuwa wanafanya wao.”

Anasema: “Changamoto nyingine ni kuhusu maambukizi ya Ugonjwa wa Covid-19 ambayo yalikuwa yakiisumbua Dunia, uchumi haukuwa mzuri. Nilikabiliwa na kibarua cha kukuza uchumi wa Tanzania.

“Changamoto ya tatu, uchumi ulipokuwa ukishuka nilijiuliza wapi pa kuanzia, nashukuru washirika, ikiwemo African Development Bank, wametusaidia katika ujenzi wa miundombinu, kilimo. Hivyo, kwa msaada wao na washirika wengine tulifanya vitu vizuri kadhaa.

“Kutokana na maambukizi ya Covid-19, tulipata fedha kutoka Shirika la Fedha Duniani (IMF) kama ilivyotoa kwa mataifa mengine, wengi walitumia kwa matumizi ya kupambana na maambukizi.

“Tulichoamua ni kutumia sehemu ya fedha hizo kwa ajili ya kuboresha madarasa, kusambaza maji katika maeneo mengi ya nchi ambayo upatikanaji wake ulikuwa kama 72% lakini tukasogea hadi 80% na tunatarajia hadi kufikia 2025 maeneo ya mijini inaweza kuwa 92% na 85% kwa Vijijini, pia tumetumia kwa ajili ya masuala ya kuboresha huduma za afya.

🧐
 
Uanamke unauathiri utendaji kazi wa rais.....ameathirika na inferiority complex kisaikolojia.....anahitaji uangalizi wa karibu na ushauri wa kisaikolojia wa hali ya juu.....

Akili yake inamtuma yuko kwenye mashindano na wanaume na kila kitendo chake lazima akilinganishe na mwanaume......

Matokeo ya jambo hili la kisaikolojia kwake na kwa nafasi aliyo nayo kwenye taifa anaweza kufanya maamuzi makubwa yenye kuliinua taifa au kuliangamiza taifa kutarajia na mihemko yake........

Huu ni ukumbusho wa ulemavu na ubovu wa katiba yetu na pia ni ukumbusho kuwa wanasiasa wanasiasa wanapochagua wagombea kwenye vyama vyao kwenye nafasi kubwa kama hizi wazingatie maslahi mapana ya taifa kwa ujumla na sio kusombwa makelele ya wengi wape.......

NB;
Imeangamia kaumu inayoongozwa na mwanamke...........
Akisimulia ukweli aliokutana nao mtazika vichwa mchangani kama mbuni. Nyazaneni kunusuru hali!
 
Back
Top Bottom