Rais Samia: Kwa mwaka mmoja nimeongoza Nchi vizuri

Uchambuzi sahihi.

Tangu ameapshwa amekuwa akijiona na kufahamisha umma kuwa yeye ni Rais wa jinsi ya kike!!! Nani asiyejua kuwa yeye ni jinsi ya kike. Hivyo basi, anaishi, kutoa kauli na kutenda kama mwanamke dhidi ya Marais wanaume waliomtangulia. NI HATARI kwani inaathiri maamuzi yake ya Urais
 
Watanzania hawamkubali Rais mwenye sifa hizi

1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
 
Watanzania hawamkubali Rais mwenye sifa hizi

1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Mi nadhan wametawala wengi waislamu na wengi husema alostahili kiti kile ni PM wa sasa. Kwan PM Yeye si muislam?
 
Mi nadhan wametawala wengi waislamu na wengi husema alostahili kiti kile ni PM wa sasa. Kwan PM Yeye si muislam?

Hata huyo PM naye akiwa Rais utaanza kusikia makelele. Mwinyi alipigiwa kelele na kukejeliwa kwa kuitwa mzee ruksa, Kikwete mpaka leo anapigiwa kelele. Cha ajabu Mzee Mwinyi ndiye aliyeleta unafuu wa maisha baada ya Nyerere kuifilisi nchi na watu kuishi maisha magumu sana.
 
Na pia mwinyi ni ndugu yetu katika imani
 
Ameeleza jinsi familia yake invyonufaika na urais wake nje ya mfumo rasmi
 
Aliifilisi nchi akiuza rasilimali, akiiba ama? 😃😃 sa kuitwa mzee wa ruksa ni tusi? Wizi ulipindukia kwa kikwete hilo liko wazi (Richmond, Escrow n.k)
 
Inferiority Complex 🤝
 
Mambo yanakwenda mrama.

Hakuna ukweli wowote katika hili.
 
Aliifilisi nchi akiuza rasilimali, akiiba ama? 😃😃 sa kuitwa mzee wa ruksa ni tusi? Wizi ulipindukia kwa kikwete hilo liko wazi (Richmond, Escrow n.k)
Kuitwa mzee ruksa ni kumkejeli kwamba anaruhusu kila kitu mpaka rushwa. Lakini ni yeye ndiye aliyeleta unafuu wa maisha. Kwani Mkapa hakuwa na kashfa za ufisadi? Au umesahau kashfa za BAE? Mbona hapigiwi kelele kama anazopigiwa Kikwete?
 
Labda kwa kuangalia opinion za CDM wanaotaka kuongopewa kwa vitu ambavyo awatopewa na anawamudu kweli huko, wengine genge la waporaji wa rasimali za taifa kupitia vibaraka wao wa propaganda mitandaoni; mwisho wana CCM walamba miguu ambao either anaweza wateua au wapiga mkasi kwenye uchaguzi kwa nafasi yake.

Lakini kwa opinion poll za mtaani na wapiga kura sote tunajua kusema anaongoza vizuri anajiongopea, kwa kuongeza nidhamu kazini sote tunajua anajiongopea na kwenye kupambana na ufisadi sote tunajua anajiongopea.

She in living in la-la land, what a narcissist; hivi mme note hadi kile ki pendant cha bendera ya Tanzania anachokivaa kwenye collar kimetengenezwa kwa madini nadhani ndio raisi pekee duniani mwenye anasa za aina hiyo.
 
Kuitwa mzee ruksa ni kumkejeli kwamba anaruhusu kila kitu mpaka rushwa. Lakini ni yeye ndiye aliyeleta unafuu wa maisha. Kwani Mkapa hakuwa na kashfa za ufisadi? Au umesahau kashfa za BAE? Mbona hapigiwi kelele kama anazopigiwa Kikwete?
Hiyo BAE mi siijui, nakumbuka tu za pesa za mboga. Usafirishaji wa twiga n.k. kwa utawala wa mkapa nilikuwa sjawa mkubwa ndo maana sijui wizi huo.
 
Hiyo BAE mi siijui, nakumbuka tu za pesa za mboga. Usafirishaji wa twiga n.k. kwa utawala wa mkapa nilikuwa sjawa mkubwa ndo maana sijui wizi huo.
Kuna nyuzi kibao humu kuhusu huo ufisadi unaweza kuzitafuta ukasoma. Hii hapa ni mfano

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…