Rais Samia kwa siku anabadilisha nguo mara ngapi?

Rais Samia kwa siku anabadilisha nguo mara ngapi?

Kweli tumefika huko?
Mshahara wake mbona unatosha sana tu
Halafu ni nguo je angebadilisha magari private yaani mara RR mara Bentley mara Lamborghini mara Porsche sijui tungesemaje

Besides, she is a woman

Wife ana nguo nikiweka nje utasema mzigo umeshuka leo hii kama Belo 3
Na utauza siku 2
 
Kweli tumefika huko?
Mshahara wake mbona unatosha sana tu
Halafu ni nguo je angebadikisha magari private yaani mara RR mara Bentley mara Lamborghini mara Porsche sijui tungesemaje

Besides, she is a woman

Wife ana nguo nikiweka nje utasema mzigo umeshuka leo hii kama Belo 3
Na utauza siku 2

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na bado huwa tunashusha kabati zima tukitafuta nguo ya kuvaa


Anyways let her be, Mwanamke ni Pambo avae awezavyo.
 
Huyu mama hajaanza leo kumiliki nguo analipwa vizuri kwann asivae anayotaka. Ww pambania ugali w afamilia yako ya samia yatakuchosha tu. Kwa kodi gani unayolipa ili uanze kuleta nongwa za nguo kwa raisi acha umama wawekezaji wakubwa wenyewe hawawazi mambi hayo umaskini unatafuna akili
 
Huyu mheshimiwa naona kila akiingia ndani anatoka kavaa nguo nyingine.
Hivi hizo nguo anazobadili kila sekunde ni sisi walipa kodi tunagharamia?
Wanawake wanahusudu kuvaa. Sasa akiwa rais piga hesabu itakuaje jinsi atakavyovaa au kubadili nguo kwa siku. Kila akigeuka na nguo yake mpya😂🤣😂
 
Back
Top Bottom