Rais Samia kwa siku anabadilisha nguo mara ngapi?

Rais Samia kwa siku anabadilisha nguo mara ngapi?

Sasa nguo zenyewe ni juhudi kuinama wewe bado unalalamika angekua anaenda shopping italy si ungeandamana
"Mkuu, unajuq anayemvisha ni nani? Unajua ananunulia wapi hizo nguo?"

"Unajua kwa route hizo, biashara flani imefungukaje huko?"

"Usidhani wanaoenda kutengeneza sijui nini kule walipajua kwa bahati mbaya tu!"

Nikawauliza hawa jamaa vijiweni, wanazungumzia nini? Wakanicheka, wakaendelea zao na stori zao hizo, nikaona niondoke hapa, nisije ingia matatani.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na bado huwa tunashusha kabati zima tukitafuta nguo ya kuvaa


Anyways let her be, Mwanamke ni Pambo avae awezavyo.
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] nikiangalia jeans zangu nasema kweli mwanamke kaunbiwa kuvaa
Na kila mwezi lazima mvae
Nafurahi kuona mwanamke anaevaa pamba Safi kila wakati

Na wala sio ghali hivyo sasa tuwanyime ya nini? Tena mechisha kabisa juu mpaka chini

Mwanamke vaa sana sisi jeans zinatosha na suit kadhaa basi kwa mwaka mzima

Live your life, babe
 
Huyu mheshimiwa naona kila akiingia ndani anatoka kavaa nguo nyingine.
Hivi hizo nguo anazobadili kila sekunde ni sisi walipa kodi tunagharamia?
Rais ni country face unataka avae nguo Moja? Hata asiponunuliwa na serikali yeye binafsi anao uwezo wa kuvaa nguo mpya kila siku na kila tukio. Hivi nikuulize kwani nguo ni sh ngapi? Isitoshe Mh. Rais wetu Samia anavaa simple attire na anapendeza Sana Tu. Yaani vitu vidogovidogo hivi tunajadiki badala ya kujadili maendeleo. Kazi kwelikweli
 
1682187220583.png

Angevaa hivi napo mngesema.

Muache mama apige pamba.
 
Joseph Kabila alikuwa ndio rais mwenye nguo nyingi sana Afrika. Sasa mambo yamebadika kutoka kwa mafundi nguo wa Paris hadi Dubai
We mtoa post ni pomole... kumbe Tz bado tunawajinga kiasi Cha wewe, wewe niwahovyo! Kweli Karne hii mtu unakuja na hoja za kijinga namna hii?
Sijui enzi za mwalim hali ilikuwaje Tz, enzi hzo nchi ipo kwenye serious Vita ya UJINGA,MARADHI NA UMASIKINI
 
Kabla hajawa rais uliona nguo anabadili kwa muda gani? Watu mna nongwa na vitu vidogo sana.
Hii ni Ishara wazi kwamba Watz hatuna kazi za kufanya ila tumebaki kuketi vijiweni kazi ni kuwakodolea macho watu na kuwasengenya eti leo kala hiki , leo kavaa hivi, jana aligombana na mumewe, n.k n.k. " An idle mind is Satan's workshop".
 
Huyu ni RAIS ambaye ni mwanamama...unataka aishi kama rais mwanaume.....

Hatujawa malofa kushindwa kumbadilishia nguo Rais wetu kipenzi.....

#SiempreJMT
#MamaKaja
Mkuu unaishi wapi tuonane tunywe wine? Yaani mke wangu tu home ninavyompamba. Yaani anarudia nguo za kutoka baada ya miaka kadhaa sembuse Rais wa nchi? Kwanza ninataka mhusika wake wa kumvalisha ambadilishie mavazi yawe expensive zaidi. Kama ni Kitenge kiwe ni no 1 kabisa the wax yaani kama ni suiting material iwe classic. Tena ashonewe na designers wakubwa. She is our president, our first family, our first female in this country. Ni lazima avae Sana na apendeze kuliko Wanawake wote kimavazi. Kudos
 
acha mama alipuke
Kabisa kama baruti. Halafu waongeze na budget ya nguo kuwe na designer outfits za mikutano ya nje ya nchi she is our public face, our figure, our country representative halafu eti avae masulumpwete. Halafu na hereni sijachyngukia huwa anavaaje. Ngoja nichungulie nishauri. Halafu saa mkononi lazima iwe nzito kabisa. Huyu ndiye Rais wetu hatuna mwingine. Avalishweeeee. Kama wake zetu tunavalisha Almasi, tanzanite, gold, silver, and all kinds of expensive gemstones why not my president tena a woman who by nature are flowers.
 
Kabla hajawa rais uliona nguo anabadili kwa muda gani? Watu mna nongwa na vitu vidogo sana.
Tena sana Bora aongelee hichi tunachouziwa kinachofanana na Mchele, kande si kande kuiva hauwivi mchele wetu haupo tena madukani wafanyabiashara wanauza huu wenye triple profit balaa tupu.
 
Makombora yamekuwa mengi na makali. Namuombea msamaha mleta Uzi.
 
Back
Top Bottom