Rais Samia, kwa unyenyekevu mkubwa epuka huo mtego

Rais Samia, kwa unyenyekevu mkubwa epuka huo mtego

Wengi wanaohoji kuhusu mkataba wana akili kama za kwako, hamjui mnaongea kitu gani.

Unapoondoa foleni ya meli kule nje maana yake moja kwa moja umeongeza ufanisi ambao unamaanisha kama kwa siku inahudumiwa meli moja na TPA basi zitahudumiwa meli mbili.

Hapo umeongeza pato kwa mamlaka zote zinazoshughulika na bandari kwa kutumia muda mchache.
Mzigo ni ule ule mapato yanaongezekaje ? sana sana utapunguza gharama za demurage kwenye meli kusuburi kushusha na utapunguzo mapato waliokuwa wanapata TPA kwenye mizigo inayochelewa kutoka bandarini maana hili kwao ilikuwa ni faida. DP World hawaji na mizigo mipya maana waingizaji mizigo nchini na nchi jirani ni wale wale sana sana labda kuwavutia wanapitisha mzigo mombosa na beira ambapo hizo bandari na zenyewe hazijalala zinapambana kama sisi kuvutia wateja.
 
Unaongelea dini gani? Wakristu, Wakatoliki!! Wakristu tuko very objective, hatuwezi kuunga mkono mtu ambaye anataka kutuharibia amani ya taifa letu.

Tofauti na Waislamu wanaangalia kila maamuzi na kuhusisha na kwenye dini ya mtu. Wakristu tunapima ubora (merit) ya maamuzi na kuyaunga au kuyapinga.

Dr Slaa hana jipya zaidi ya FRUSTRATION. na siyo mtu wa kuaminika.

Toka kuwa Padri wa RC hadi kuwa Mume wa Rose Kamili na Mushumbushi ni kukosa focus. Kisha Mgombea wa CCM Karatu mwaka 1995 na kuhmia CHADEMA. Mbunge na kuwa Katibu mkuu wa CDM na mgombea uRais mwaka 2010. Halafu akasaliti chama kwa kununuliwa na Magufuli kama andazi au bakuli. Kafanya ubalozi lakini kipindi kilipokwisha mke kakataa kurudi Tanzania

Baada ya Ubalozi ku expire maana aliyempa alikufa, ndipo anakuja na munkari wa kutaka kupindua Serikali.

Dr Slaa ni mnafiki, msaliti, mtu asiyekuwa na msimamo na yuko tayari kuuzwa kama bidhaa
Alikuwa balozi wa Tanzania kule Sweden kwa miaka yote ya hayati JPM, hana shukrani ni wale wale wanaotumikia matumbo yao.

Japokuwa ni mtu wa usalama hivyo anachokifanya kinaweza kuwa ni sehemu ya michezo ya kisiasa inayochezwa na mfumo wa CCM.
 
Mzigo ni ule ule mapato yanaongezekaje ? sana sana utapunguza gharama za demurage kwenye meli kusuburi kushusha na utapunguzo mapato waliokuwa wanapata TPA kwenye mizigo inayochelewa kutoka bandarini maana hili kwao ilikuwa ni faida. DP World hawaji na mizigo mipya maana waingizaji mizigo nchini na nchi jirani ni wale wale sana sana labda kuwavutia wanapitisha mzigo mombosa na beira ambapo hizo bandari na zenyewe hazijalala zinapambana kama sisi kuvutia wateja.
Kumbuka kuwa kuna wateja wengi walioacha kuitumia bandari kabla hata DPW hajaonyesha nia ya kuwekeza.

Ufanisi mzima wa bandari utakwenda kuwarudisha wote hao na changanya na mizigo ya hao waarabu iliyopo DRC na Rwanda.

Huko bara na nchi kavu ya eneo hili kwa ujumla, kuna tani zaidi ya milioni 25 zinazotaka kusafirishwa kwenda nje ya afrika, mpaka sasa ufanisi mzima wa bandari haujazidi tani milioni 5.
 
Djibouti sio Tanzania, ni vitu viwili tofauti.

Mapato yatapatikana baada ya kufungwa mitambo ya kisasa na muda wa kushusha na kupakia mizigo unakwenda kupunguzwa. Kumbuka kuwa urasimu pale TPA ndio unaochelewesha meli na kulazimisha uwepo wa ICDs nyingi, tumetengeneza mazingira ya foleni zisizo na ulazima ili taasisi za wapigaji ziweze kupata faida.
Aliyekuambia Tanzania hatuna hiyo mitambo ya kisasa ni nani ? ushawahi fika hata bandarini kutembea ukajionea kazi zinavyoenda ?
 

Attachments

  • 1692170616113.png
    1692170616113.png
    26.5 KB · Views: 1
Aliyekuambia Tanzania hatuna hiyo mitambo ya kisasa ni nani ? ushawahi fika hata bandarini kutembea ukajionea kazi zinavyoenda ?
Mkuu tembea huko kote wanapofanya biashara hao DPW uone ukubwa wa mitambo yao na namna ilivyo ya kisasa.

Kuongea humu jukwaani ni kazi rahisi sana.
 
Mkuu tembea huko kote wanapofanya biashara hao DPW uone ukubwa wa mitambo yao na namna ilivyo ya kisasa.

Kuongea humu jukwaani ni kazi rahisi sana.
Jibu swali nililokuuliza ushawahi tembelea TPA? Mitambo mikubwa unaijua? umeiona ya TPA ukaona ni midogo ?
 
Wengi wanaohoji kuhusu mkataba wana akili kama za kwako, hamjui mnaongea kitu gani.

Unapoondoa foleni ya meli kule nje maana yake moja kwa moja umeongeza ufanisi ambao unamaanisha kama kwa siku inahudumiwa meli moja na TPA basi zitahudumiwa meli mbili.

Hapo umeongeza pato kwa mamlaka zote zinazoshughulika na bandari kwa kutumia muda mchache.
Uongo
 
Inapotokea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vita huwa ni kubwa sana

Kumbukeni ya Mwaka 1995, 2005 na 2015.

Unaweza kudhani unapendwa kumbe unaliwa timing tu, hapo watu wamempa fupa apambane nalo huku wao wakisubiri 2025

Siasa ni Sayansi
 
Mimi nadhani mpaka tulipofikia, ameshafeli tayari. Zaidi sana, wasaidizi wake wamsaidie angalau amelizie tu muhula huu.
 
Wanaomwangusha ni wasaidizi wake, wala si mwingine. Lakini wanafanya vibaya sana kumharibia Mama.
 
Si tununue hiyo mitambo
Maarifa mengi yanapungua kwenye suala zima la uendeshaji wa bandari.

Ingekuwa rahisi hivyo hata huko Antwerp na London wangeinunua tu mitambo mipya.

China wanazo bandari sita wamezikodisha hawa DPW, na wao wangeinunua mitambo wakajiendeshea bandari wao wenyewe.
 
Wenye Bandari yao Watanganyika wameshakataa. Kwanini manatumia nguvu kubwa kuwalazimisha???
Elimu ndogo tunajaribu kuwaelimisha wafunguke vichwani waweze kuelewa fursa wanazozipoteza.

Waafrika wengi tuna umaskini licha ya kuzungukwa na mali nyingi ambazo wazungu hawaoni aibu kuzitumia na zinawatajirisha.

Akili hizi hizi kama za kwako, wanazo watu wa Niger, wanazo watu wa DRC, zimejaa afrika nzima na ni mtaji mzuri sana kwa wazungu.

Pale Congo kila siku wanacheza mayenu na kukatika viuno, wanaanzisha bendi mpya, huku bandarini TPA kila mwezi kuna makontena kwa makontena ya madini yanayotokea kwao yakienda mashariki ya mbali kwa sababu ya ujinga tu kama wa mkuu Halaiser wa kuona utanganyika ndio ujanja.
 
Aiseeh, wewe ni mshenzi sana.

Kwani kiongozi hata akiwa wa dini yako . Inakusaidia nini ?! Akiwa wa madhehebu mengine pia inakupunguzia kitu gani !!.
Kwanza mimi si mshenzi,

Hili swali labda niwaulize nyie wagalatia, hivi kiongozi akiwa muislam kwanini mnachukia sana? Tena mko tayari hata kuanzisha fujo?
Kwanini lakini?
 
Back
Top Bottom