Ikiwa default setting ya mifumo ya tawala za kibinadamu ni uimla(autocraticism), kivipi demokrasia in it's purest form inaweza kuleta shida kama hizo za tyranny of majority?
Hivi umenisoma tangia mwanzo ? Sababu nadhani ni kama kuna wawili majibu ninayotoa na wewe majibu unayojibu sio majibu niliyotoa...
Katika moja ya Matatizo ya Demokrasia ni Tyranny of the majority na hio inaweza ikawa countered sio kuwa na mfumo mbadala bali kuzingatia individual rights zinakuwa taken care of.
Hapo jibu langu kwako lilikuwa naongelea decisions making na sio mahitaji ya watu (hapo tukija kwenye mahitaji ni another chapter) Kwahio naongelea ile decision making (theoretically ni kwamba kila mtu anaamua, ila realistically sio hivyo) Ingawa kuna forms of direct democracy na sio representative ambazo kila mtu anaweza kuamua (ingawa its practicability is not easy).
Kwamba kwenye autocraticism minority rights zina uhakika wa kuheshimiwa sana AU ulimaanisha demokrasia bado inaweza isiziondoe hizo shida?
Neither democracy nor autocratism inaweza kuziondoa hizo bali lazima democracy iwe countered / checked na individual rights bila hivyo kuna watu watapata shida sababu tu ni wachache kwahio ndio nikakwambia what majority always says / wants is not always right (argumentum
ad populum)
Lakini hapo tunatoka nje ya topic na Debate sio kwamba Demokrasia ni nzuri au mbaya bali uwepo wa Demokrasia ya kweli Duniani
Madhara ya Lobbying za interest groups na blah blah nyingine ulizozitaja hapo chini ni malalamiko yako tu(ambayo ni petty) dhidi ya mifumo ya demokrasia , sio kila mtu anaona Lobbying za makampuni/wafanyabiashara (kwenye kodi, udhibit , mazingira wezeshi n.k), Lobbying za vyama vya wafanyakazi n.k ni mbaya.
Kwahio sababu kuna lobbying nzuri basi na lobbying mbaya ni nzuri ? Umeniambia nitoe mifano ya lobbying USA na Ulaya nimekupa michache hapo mingine ambayo ilifika hadi kwenye meza za White House President.
Kwahio hapa tatizo hilo linaweza kuwa solved sio wachache kupewa nguvu ya policy making na wakamaliza wenyewe (hapo decision makers sio watu per se bali baadhi ya watu ambao wanajifanya ku-represent watu ila mwisho wa siku wanarepresent corporations ambazo zina pesa zaidi) Na hili limekuwa likijitokeza time and time and time again kila corporation lazima iwe na lobbyist wa kutosha na kutenga funga la pesa za kutosha ili mambo yake yaende sawa....
Again hapa debate sio uzuri au ubaya wa lobbist bali uwezekano wa a few to get their agendas through lobbyists (and this goes against democracy sababu decisions are being made by the powerful with deep pockets and not common mwananchi without a dime)
Which takes me back to my original point.., The Real Power to the People remains to be un-achieved na sio kwamba haiwezekani bali the powers that be would not like it....