NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Tatizo kuu la Mama ni hofu ya kupoteza hapo 2025! Hataki chama kimfie mikononi!!hataki kuwa mbuzi wa kafara!!anajitutumua Sana !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata bila kuwaza sana President Bush kwa kuwa na urafiki na Kampuni ya Enron alipush kubadilisha Sera za Energy (kufanya Energy iweze kuuzwa kama vile stock nyingine) na kuwapa financial leeway Kampuni ya Enron...
Hivi umenisoma tangia mwanzo ? Sababu nadhani ni kama kuna wawili majibu ninayotoa na wewe majibu unayojibu sio majibu niliyotoa...Ikiwa default setting ya mifumo ya tawala za kibinadamu ni uimla(autocraticism), kivipi demokrasia in it's purest form inaweza kuleta shida kama hizo za tyranny of majority?
Neither democracy nor autocratism inaweza kuziondoa hizo bali lazima democracy iwe countered / checked na individual rights bila hivyo kuna watu watapata shida sababu tu ni wachache kwahio ndio nikakwambia what majority always says / wants is not always right (argumentum ad populum)Kwamba kwenye autocraticism minority rights zina uhakika wa kuheshimiwa sana AU ulimaanisha demokrasia bado inaweza isiziondoe hizo shida?
Kwahio sababu kuna lobbying nzuri basi na lobbying mbaya ni nzuri ? Umeniambia nitoe mifano ya lobbying USA na Ulaya nimekupa michache hapo mingine ambayo ilifika hadi kwenye meza za White House President.Madhara ya Lobbying za interest groups na blah blah nyingine ulizozitaja hapo chini ni malalamiko yako tu(ambayo ni petty) dhidi ya mifumo ya demokrasia , sio kila mtu anaona Lobbying za makampuni/wafanyabiashara (kwenye kodi, udhibit , mazingira wezeshi n.k), Lobbying za vyama vya wafanyakazi n.k ni mbaya.
atakua kavimbiwa madarakaRais Samia akiwa anapokea ripoti ya kikosi kazi alichounda ameongelea Tume huru ya uchaguzi na kuhoji uwepo wa kuendelea migogoro kwenye nchi za jirani zinazotajwa kuwa na tume huru...
Majibu mazuri sana kwa akina Zitto & co. wanaofikiri kuwa Tume Huru ya Uchaguzi nje ya Katiba Bora itakuwa na tija.Rais Samia akiwa anapokea ripoti ya kikosi kazi alichounda ameongelea Tume huru ya uchaguzi na kuhoji uwepo wa kuendelea migogoro kwenye nchi za jirani zinazotajwa kuwa na tume huru...
Chagua moja nikupe facts au hilo la Bush na Enron ndio limekushitua ?Mambo mengi uliyoyaelezea hapa baadhi yake sio ya kweli kabisa, mengine ni controversial au pseudo truths. Hakuna facts.
Rais anayo hofu kubwa sana; anaonekana kujiamulia kuwa yeye ndiye mwenye kujua nchi hii inataka nini. Baada ya kilichotokea kwenye uchaguzi Zanzibar 2015 na nchi nzima 2020 usingetegemea kiongozi yeyote anayejiheshimu kuonyesha kuwa na mashaka na kukejeli dhana ya tume huru.Nashangaa mbona yeye ndie anakuwa kikwazo cha upatikanaji wa hiyo Tume Huru? anyway wengine hatutaki Tume Huru tunataka Katiba Mpya...
Kwahiyo kumbe lengo kubwa la Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya Ni kushinda uchaguzi🤣🤣🤣
Kwahiyo kumbe lengo kubwa la Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya Ni kushinda uchaguzi🤣🤣🤣
Aendelee kujilisha upepoRais Samia akiwa anapokea ripoti ya kikosi kazi alichounda ameongelea Tume huru ya uchaguzi na kuhoji uwepo wa kuendelea migogoro kwenye nchi za jirani zinazotajwa kuwa na tume huru...
Na ameongea hayo mbele ya mwanae Zitto ?😀Rais Samia akiwa anapokea ripoti ya kikosi kazi alichounda ameongelea Tume huru ya uchaguzi na kuhoji uwepo wa kuendelea migogoro kwenye nchi za jirani zinazotajwa kuwa na tume huru...
Ukweli ni kwamba tangu chaguzi za vyama vingi zirudi tena 1995 kumekuwa na malalamiko ya uchakachuaji wa matokeo na wizi wa kura na kwamba tume siyo huru. Binafsi sikuyapa uzito mkubwa sana tuhuma hizo kwani kwa macho ya raia wa kawaida demokrasia iliendelea kukua. Hali hii ilikuja tu kubadilika ghafla tuliposhuhudia matokeo ya urais wa Zanzibar 2015.Mimi sitaki tume huru wala katiba mpya.
Nataka watu waelimishwe kwanza wajitambue kabla ya kuvipata vyote hivyo...
Mama kauliza, "What is the definition of Tume Huru?" Badala ya kuloloma, ebu mpe hiyo definition ongeza na its meaning ili sisi wwngine nasi tuone umuhimu wake.Kwani akiachia tume huru tatizo ni nini?
Katiba mpya siyo rocket science kiasi cha kuwalazimisha watanzania kupewa elimu kwanza juu ya umuhimu wa Katiba mpya ambayo imekuwa hitaji lao la mda mrefu.Mimi sitaki tume huru wala katiba mpya.
Nataka watu waelimishwe kwanza wajitambue kabla ya kuvipata vyote hivyo.
Hakuna tija ya kuwa na vifaa vipya kabla ya kujifunza kwanza kuvitumia.
Tuondoane ujinga kwanza ndio twende huko.
Hatupugi kura bila katiba mpya bora aendelee tuMama anaweweseka. Anajua hawezi kushinda urais wa Tanzania kwa haki...
Kura za kwenye vikapu lazima zitumike na hakuna kupinga matokeo mahakamani!!
Jibi swali na ikiwezekana jenga hoja...
Hoja ya mama ipo hapa, nini maana ya tume huru na je tufanyaje ili tume huru yetu kweli itatue matatizo maana zipo nchi zilitumia muda mwingi kuunda na kutafuta tume huru na katiba pia, lakini hizo nchi mpaka leo bado zina matatizo kwenye chaguzi na hiyo Katiba...
Nimekusaidia kudadavua, tujaribu kuwa positive ili kupata tiba ya matatizo yetu...
Mh.Rais yuko sahihi.....Rais Samia akiwa anapokea ripoti ya kikosi kazi alichounda ameongelea Tume huru ya uchaguzi na kuhoji uwepo wa kuendelea migogoro kwenye nchi za jirani zinazotajwa kuwa na tume huru...