Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaah ndio nasikia Leo! Anyway asante kuchangiaKajifundishe Kiswahili, neno kudhani, katika kiswahili, lina maana nyingi,mojawapo unaposema nadhani ni kuwa na uhakika na unachosema. Ni kama mtu kuulizwa,"Utaendelea kusoma?"Na akajibu "Nadhani hapa ndio mwisho". Ikiamanisha kuwa ana UHAKIKA, haendelei tena kusoma.
Maneno mengi ya Kiswahili,hayana maana moja, yana maana pana.Kutokana na maneno mengi ya Kiswahili,yanatokana na maneno ya kiarabu.Neno dhana,hasa linakuja kwa upande mwingine, kuwa na uhakika wa jambo fulani.Ikiwa jambo huna uhakika nalo,ndio unatumia neno 'sidhani'(sina uhakika),ila ukisema nadhani(nina uhakika). Kajifundisheni kiswahili. Watu wengi,wasiokuwa wenyeji wa mija ya Pwani(kwenye chimbuko la Kiswahili)hupenda kujifanya wanajuwa Kiswahili.Hahahaah ndio nasikia Leo! Anyway asante kuchangia
Akwende zake!! ni uhuru gani waliokuwa nao!?Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi..
Safi sana Rais wangu.Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi...
Kinachoniboa ni pale wanapoona maji yanakaribia kuvuka shingo, utawasikia, DPP AMEAMUA KUFUTA KESI, AMEONA HANA SABABU YA KUENDELEA NAYO...!!Natamani kuona mkondo wa sheria
Maana watu wanasemaga kila mara sheria itachukua mkondo wake
Mara huoni mkondo wala nini kesi inayoyoma
Kuna Nadhani(nina uhakika),na Sidhani(sina uhakika).Kiswahili kina maneno mengi ya kiarabu,neno dhana(asili yake ni kiarabu),linatumika sana kwa watu wa Pwani.Tofaitisheni 'Nadhani'(nina uhakika) na 'Sidhani'(sina uhakika).Hahahaah ndio nasikia Leo! Anyway asante kuchangia
Hata Mbowe ni mwanasiasa.Sifa kuu ya Mwanasiasa ni Uongo.
Ana mitano mingine, hapo subirini 2030 kwani hatakaa maisha, hamuwezi kumuombea mabata yakampata kama mwendazakeNa ataicha muda siyo mrefu
Amesema nini kuhusu viongozi wa CHADEMA kila sehemu kuwekwa mahabusu, au hilo nalo ni swala la "sheria itachukuwa mkondo wake", hata kama ni sheria yenyewe inavunjwa na wanaotakiwa kusimamia hizo sheria?Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi...
Kinachoniboa ni pale wanapoona maji yanakaribia kuvuka shingo, utawasikia, DPP AMEAMUA KUFUTA KESI, AMEONA HANA SABABU YA KUENDELEA NAYO...!!
Taasisi kwenye ugaidi hauwezi kutangazwa bila Amiri jeshi mkuu kujua mazingira yote.Urais ni taasisi ndugu yangu mambo mengine yanafanyika hata yeye "NADHANI" huwa hajui. Rais hasilaumiwe sanaa
Hana uwezo huyo Mkuu.Rais SSH amehojiwa na Salim Kikeke wa BBC Swahili, kwa mtazamo wangu, yeye kama Rais hakutakiwa kutawaliwa na matumizi ya neno "nadhan"! Yaani majibu na maelezo yake yote yeye ni kudhani tu.
Kuna umuhimu wa kufundishwa namna nzuri ya kujibu maswali kama kiongozi wa nchi. Huku kudhani, unadhani means huna uhakika.
![]()
Mahojiano Maalum na Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe hayajachochewa kisiasa - BBC News Swahili
Haya ni mahojiano rasmi ya kwanza kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na BBC yaliyogusia masuala mbalimbali yakiwemo hali ya kisiasa nchini Tanzania, janga la corona na maisha ya urais.www.bbc.com