Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa. Natamani kukutana na Wapinzani

Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa. Natamani kukutana na Wapinzani

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.

Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake.

Wafuasi wa Bwana Mbowe wanadai kuwa mashtaka haya yamechochewa kisiasa.

Aidha katika suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wana uhuru wa kutosha.

BBC
Rais wa ovyo kabisa huyu..
Unambambikia Mbowe kesi halafu anafikishwa Mahakamani ndio anasema wacha sheria ichukue mkondo wake?? Je Mbowe angekamatwa kama sio amri yako wewe??
Ngoja tuzidi kulia na MUNGU aturudishe kati tuanze upya.
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.

Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake.

Wafuasi wa Bwana Mbowe wanadai kuwa mashtaka haya yamechochewa kisiasa.

Aidha katika suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wana uhuru wa kutosha.

BBC
Tofautisha 'Nadhani'(nina uhakika) na 'sidhani'(sina uhakika).
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.

Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake.

Wafuasi wa Bwana Mbowe wanadai kuwa mashtaka haya yamechochewa kisiasa.

Aidha katika suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wana uhuru wa kutosha.

BBC
Angekua muislamu usingelisema hivyo ndo maana ulitoa magaidi kwa kuwa ni waislamu wenzio.
Nchi itakushinda hutoboi 2025 kwa staili ya kudanganywa na KMK
 
Rais SSH amehojiwa na Salim Kikeke wa BBC Swahili, kwa mtazamo wangu, yeye kama Rais hakutakiwa kutawaliwa na matumizi ya neno "nadhan"! Yaani majibu na maelezo yake yote yeye ni kudhani tu.

Kuna umuhimu wa kufundishwa namna nzuri ya kujibu maswali kama kiongozi wa nchi. Huku kudhani, unadhani means huna uhakika.

Tofautisha 'Nadhani'(nina uhakika) na Sidhani(sina uhakika).Jifundisheni Kiswahili,acheni kuvamia lugha msizozijuwa.
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.

Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake.

Wafuasi wa Bwana Mbowe wanadai kuwa mashtaka haya yamechochewa kisiasa.

Aidha katika suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wana uhuru wa kutosha.

BBC
Kuna wamama wako gerezani( WA matatizo wasilikize)
 
Labda kwa vile yeye yupo huru anaona kila mtu yupo huru
Mshenzi sana huyo..
Yani anambambikia Mbowe mashtaka anapelekwa Mahakamani ndio anasema tuache sheria ichukue mkondo wake..?? Kwani Mbiwe angekamatwa kama sio yeye kutoa amri??
Ee MUNGU fanyia wepesi Nchi ya Tanzania turudishe tena kati tuanze upya kama pale March 17.
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.

Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake.

Wafuasi wa Bwana Mbowe wanadai kuwa mashtaka haya yamechochewa kisiasa.

Aidha katika suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wana uhuru wa kutosha.

BBC
---
Kikeke: Tanzania unayoingoza sasa hivi ina uhuru wa kujieleza na Demokrasia ya kutosha?

Rais Samia: Ahaaha! Wewe ni mwandishi wa habari toka umefika umesikia vyombo vya habari vimelalamika? Hakuna chombo kimelalamika kuna uhuru wa kutosha wanajieleza, na wanajieleza mpaka wanavuka mipaka saa nyingine. Lakini kwasababu viongozi inabidi mvae ngozi ngumu muangalie.

Lakini wakati mwingine kusema kwao bora umpe nafasi mtu a-offload alichonacho. atoe umsikie kama kiongozi useme kumbe kinalalamikiwa hiki, basi unakifanyia kazi kuliko ukiwabana hawasemi, hujui wanafukuta na nini ndani, ile! Sasa Tanzania kuna uhuru wa kutosha, vyombo vyote vya habari viko huru, anayefuata sheria, anayefuata maadili ya kazi yao wako wanafanya kazi yao.
URL unfurl="true"]https://www.bbc.com/swahili/habari-58149665[/URL]
Majibu yake yamekaa vizuri sana. Amejibu kama Rais huku akichukua tahadhari zote kutokuingilia uhuru wa mahakama. Ulitaka aingie kwa undani ili uje useme ameingilia uhuru wa mahakama?. Viva Rais Samia
 
Hivi kesi ya 'amiri' au 'amurat' jeshi mkuu iliishaje?
Hivi si ni mama huyu huyu aliyetutangazia kuwa kesi zaidi ya 100 zilikuwa za kubambika na aliwaelekeza waziondoe Mahakamani?
Hakuingilia mahakama?
 
Majibu yake yamekaa vizuri sana. Amejibu kama Rais huku akichukua tahadhari zote kutokuingilia uhuru wa mahakama. Ulitaka aingie kwa undani ili uje useme ameingilia uhuru wa mahakama?. Viva Rais Samia
Umeelewa concern yangu au unaropoka tu?
 
Mama
Uhuru wa kutosha uko wapi?

Huu wa kufanya mikutano ya ndani baadae unakamatwa unaambiwa jengo ulilofanyia mikutano ni Pangare sio jengo?

Maliza urithi wako upite hivi..
Mama na ccm wakisoma hii post wataelewa nini hasa watanzania tunamaanisha kwake amalizie urithi wake na apite hivi
 
Hivi kesi ya 'amiri' au 'amurat' jeshi mkuu iliishaje?
Hivi si ni mama huyu huyu aliyetutangazia kuwa kesi zaidi ya 100 zilikuwa za kubambika na aliwaelekeza waziondoe Mahakamani?
Hakuingilia mahakama?

Yalikuwa magumashi, zote zilianza upya...
 
Kwahiyo mlidhani angesema kuwa "Mimi Rais ndiye nimemshika, kwa kuogopa katiba mpya ambayo nahofia itamiondoa madarakani"?
 
Back
Top Bottom