Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa. Natamani kukutana na Wapinzani

Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa. Natamani kukutana na Wapinzani

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.

Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake.

Wafuasi wa Bwana Mbowe wanadai kuwa mashtaka haya yamechochewa kisiasa.

Aidha katika suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wana uhuru wa kutosha.

BBC
---


UHURU WA KUJIELEZA

Kikeke:
Tanzania unayoingoza sasa hivi ina Uhuru wa Kujieleza na Demokrasia ya kutosha?

Rais Samia: Ahaaha! Wewe ni mwandishi wa habari toka umefika umesikia vyombo vya habari vimelalamika? Hakuna chombo kimelalamika kuna uhuru wa kutosha wanajieleza, na wanajieleza mpaka wanavuka mipaka saa nyingine. Lakini kwasababu viongozi inabidi mvae ngozi ngumu muangalie.

Lakini wakati mwingine kusema kwao bora umpe nafasi mtu a-offload alichonacho atoe umsikie kama kiongozi useme kumbe kinalalamikiwa hiki, basi unakifanyia kazi kuliko ukiwabana hawasemi, hujui wanafukuta na nini ndani, ile! Sasa Tanzania kuna uhuru wa kutosha, vyombo vyote vya habari viko huru, anayefuata sheria, anayefuata maadili ya kazi yao wako wanafanya kazi yao.


DEMOKRASIA

Kikeke:
Demokrasia ya Kisiasa?

Rais Samia: Demokrasia ya Kisiasa, Yes Ipo. Na hapa naomba nitofautishe baina ya Demokrasia ya Kisiasa na fujo za kisiasa.
Demokrasia ya Kisiasa ni nini? - Demokrasia ya Kisiasa tuna vyama vya Siasa, wana vyombo vyao, wanajadili mambo yao kwa mfano baraza la vyama vya siasa. Huko wanajichagua wao, wanajadili mambo yao ya kisiasa wanaelewana. Kuna kamati ya vyama vyenye wabunge Bungeni na wenyewe wana ya kwao, wakakaa wanazungumza wanajadiliana huko. Lakini kuna vyama vyenyewe vya siasa ambavyo vimeundwa na Katiba zao, na kwenda kwao au kufanya kwao kazi kunategemea katiba zao. Kwa mfano chama changu cha Mapinduzi, Katiba yangu inaniambia labda katika mwaka nitakuwa na vikao viwili vya Halmashauri Kuu ya Chama, Labda Vikao 6 vya Kamati Kuu na vikao vingine katika ngazi za chini Mikoa na Wilaya. Na hivyo vikao vimeelezea wajumbe ni wakina nani na kila kitu. hivyo Vikao vinaendeshwa bila bugudha bila kuomba ruhusa polisi kwasababu Katiba imeshaelezwa na imeshapita kote na najulikana. Na vivyo hivyo vyama vingine vyote vina katiba zao, zina system zao za Mikutano, wajumbe wao ni kina nani, hivyo wako free kufanya wakati wowote.

Kitu ambacho hakipendezi ni ile kutaka uhuru wa kufanya fujo za kisiasa, labda tumemaliza uchaguzi, Serikali imeundwa.. kinachotakiwa kuendelea ni kujenga nchi uwe na chama gani wote mnakuja pamoja mnajenga nchi yenu, ndicho kinachotakiwa kuwa.

Lakini kinapotokea chama, wao wanataka tu kuitisha maandamano kila siku, maandamano yasiyo mwisho, sijui maandamano nini, labda leo mkutano huko, kesho mkutano huko fujo vurugu, aaah ile

Kikeke: Ndio Uhuru wa Demokrasia

Rais Samia: Hapana, kama uhuru wa Demokrasia mbona Marekani hawa-observe, mbona Ulaya hawa-observe? Wakimaliza chaguzi ni kimya, wanaendelea shughuli zao za maendeleo, nchi inapewa nafasi inafanya kazi zake wanajijengea nchi zao. Hatujasikia vurugu za kila siku za huko Marekani na Ulaya, kama kutatokea maandamano ni Constituency ndogo wamekosa umeme jana na juzi umeme umekuja low Voltage wanaandamana mtaa huo wanakwenda kwa huyo mwenye umeme huko, wanasema ya kwao wanarudi peacefully. Sasa haya ya kwetu ya vurugu, piga magari, choma.. ah aha


KESI DHIDI YA FREEMAN MBOWE

Kikeke:
Nazungumzia suala hilo la kisiasa kwa sababu kiongozi wa upinzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakamani, amefunguliwa mashataka ya Ugaidi, wananchi wake wanasema mashtaka haya yamechochewa kisiasa

Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao, Lakini kwasababu na kama utakumbuka Mbowe hakuwepo nchini alikuwa Nairobi, sasa kwanini kakimbia sijui. Lakini alivyoingia tu nchini Kaitisha maandamano ya Katiba na madai ya katiba. Nadhani ni Calculation akijua kwamba ana kesi ya aina hiyo na hii vurugu ambayo ana-instigate akikamatwa aseme mmhh! kwasababu ya Katiba, kwasababu tumeitisha Katiba... nadhani sina hakika.

Lakini kwasababu jambo liko mahakamani, sina uhuru wa kulizungumzia kwa sana. Nadhani tuache Mahakama zioneshe ulimwengu kwamba hizo shutuma walizomshutumu zilikuwa za kweli au siyo za kweli Mahakama itaamua.


KUKUTANA NA WAPINZANI

Kikeke: Na Katika Suala hilo hilo la Siasa za upinzani, ulivyoingia madarakani ulisema uko tayari kuzungumza nao na hata Mbowe alikuwa anauliza ni lini utakutana naye, lini utakutana na viongozi wa upinzani?

Rais Samia: Nimesema nitakutana nao lakini sikutana kukutana nao wakiwa wamechambuka chambuka, kama nilivyokueleza hawa watu wana vyama vyao vidogo vidogo, wana mabaraza yao. Nilitaka kwanza wajiunge kwenye mabaraza yao. Na Baraza la Demokrasia nadhani la Vyama vya siasa wamefanya uchaguzi wiki mbili zilizopita au wiki iliyopita ndio wamejiunda vizuri. Kwa hiyo kama wamejiunga vizuri, na hizi kamati zao ndogo ndogo zimejiunda vizuri, basi tutatafuta tu siku tuitane tukae tuzungumze kwasababu hata mimi nataka kuzungumza nao niwaambie mwelekeo wangu kwamba sasa tumemaliza uchaguzi twendeni tukajenge nchi.

Na kwenye kujenga nchi mimi sichagui, nikimuona mpinzani amekaa vizuri ana mwelekeo namuweka kwenye serikali yangu twende tukajenge nchi kwasababu hakuna pahala pamesema baada ya uchaguzi chama kilichoshinda peke yake ndicho kitajenga nchi, hapana. Tumesema watanzania tutajenga nchi. So mtanzania yeyote mwenye ideology yoyote ya kisiasa kama ni mzuri anaweza ku-deliver na kuleta yale ambayo wananchi wanataka mimi namtumia tu, namuingiza kwenye system zangu tu twende namtumia

Kwa hiyo nataka waje tukae tuone tunakwendaje na hili, kwa hiyo wakati ukifika nitawatafuta, nitawaambia karibuni njooni tukae.
Mungu akubariki sana Mama kwa majibu yenye hekima na ya kisomi, nigekuwa na uwezo mama ningekutunuku PhD ya heshima na ukaitwa Dr. Samia Suluhu Hassan kuanzia sekunde hii maana una hekima na busara ya hari ya juu kabisa.
 
Akina Rugemalila wako sero sasa mwaka wa tano. Kusema kuwa sheria itachua mkondo wake haitoshi ...... Dhulma huwa haina tabia ya kujificha. Hata serikali za Makaburu na Wakoloni, sheria zilichukua mkondo wake ....!!
Leo mnamtetea Rugemalila? Hii ni sahihi kweli? Walipiga hela zetu za kivusha jasho kupitia wakuu wetu wakiita hela haikuwa ya umma.
Acha wakinyweee, za mkwezinzake mbili
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.

Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake.

Wafuasi wa Bwana Mbowe wanadai kuwa mashtaka haya yamechochewa kisiasa.

Aidha katika suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wana uhuru wa kutosha.

BBC
---


UHURU WA KUJIELEZA

Kikeke:
Tanzania unayoingoza sasa hivi ina Uhuru wa Kujieleza na Demokrasia ya kutosha?

Rais Samia: Ahaaha! Wewe ni mwandishi wa habari toka umefika umesikia vyombo vya habari vimelalamika? Hakuna chombo kimelalamika kuna uhuru wa kutosha wanajieleza, na wanajieleza mpaka wanavuka mipaka saa nyingine. Lakini kwasababu viongozi inabidi mvae ngozi ngumu muangalie.

Lakini wakati mwingine kusema kwao bora umpe nafasi mtu a-offload alichonacho atoe umsikie kama kiongozi useme kumbe kinalalamikiwa hiki, basi unakifanyia kazi kuliko ukiwabana hawasemi, hujui wanafukuta na nini ndani, ile! Sasa Tanzania kuna uhuru wa kutosha, vyombo vyote vya habari viko huru, anayefuata sheria, anayefuata maadili ya kazi yao wako wanafanya kazi yao.


DEMOKRASIA

Kikeke:
Demokrasia ya Kisiasa?

Rais Samia: Demokrasia ya Kisiasa, Yes Ipo. Na hapa naomba nitofautishe baina ya Demokrasia ya Kisiasa na fujo za kisiasa.
Demokrasia ya Kisiasa ni nini? - Demokrasia ya Kisiasa tuna vyama vya Siasa, wana vyombo vyao, wanajadili mambo yao kwa mfano baraza la vyama vya siasa. Huko wanajichagua wao, wanajadili mambo yao ya kisiasa wanaelewana. Kuna kamati ya vyama vyenye wabunge Bungeni na wenyewe wana ya kwao, wakakaa wanazungumza wanajadiliana huko. Lakini kuna vyama vyenyewe vya siasa ambavyo vimeundwa na Katiba zao, na kwenda kwao au kufanya kwao kazi kunategemea katiba zao. Kwa mfano chama changu cha Mapinduzi, Katiba yangu inaniambia labda katika mwaka nitakuwa na vikao viwili vya Halmashauri Kuu ya Chama, Labda Vikao 6 vya Kamati Kuu na vikao vingine katika ngazi za chini Mikoa na Wilaya. Na hivyo vikao vimeelezea wajumbe ni wakina nani na kila kitu. hivyo Vikao vinaendeshwa bila bugudha bila kuomba ruhusa polisi kwasababu Katiba imeshaelezwa na imeshapita kote na najulikana. Na vivyo hivyo vyama vingine vyote vina katiba zao, zina system zao za Mikutano, wajumbe wao ni kina nani, hivyo wako free kufanya wakati wowote.

Kitu ambacho hakipendezi ni ile kutaka uhuru wa kufanya fujo za kisiasa, labda tumemaliza uchaguzi, Serikali imeundwa.. kinachotakiwa kuendelea ni kujenga nchi uwe na chama gani wote mnakuja pamoja mnajenga nchi yenu, ndicho kinachotakiwa kuwa.

Lakini kinapotokea chama, wao wanataka tu kuitisha maandamano kila siku, maandamano yasiyo mwisho, sijui maandamano nini, labda leo mkutano huko, kesho mkutano huko fujo vurugu, aaah ile

Kikeke: Ndio Uhuru wa Demokrasia

Rais Samia: Hapana, kama uhuru wa Demokrasia mbona Marekani hawa-observe, mbona Ulaya hawa-observe? Wakimaliza chaguzi ni kimya, wanaendelea shughuli zao za maendeleo, nchi inapewa nafasi inafanya kazi zake wanajijengea nchi zao. Hatujasikia vurugu za kila siku za huko Marekani na Ulaya, kama kutatokea maandamano ni Constituency ndogo wamekosa umeme jana na juzi umeme umekuja low Voltage wanaandamana mtaa huo wanakwenda kwa huyo mwenye umeme huko, wanasema ya kwao wanarudi peacefully. Sasa haya ya kwetu ya vurugu, piga magari, choma.. ah aha


KESI DHIDI YA FREEMAN MBOWE

Kikeke:
Nazungumzia suala hilo la kisiasa kwa sababu kiongozi wa upinzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakamani, amefunguliwa mashataka ya Ugaidi, wananchi wake wanasema mashtaka haya yamechochewa kisiasa

Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao, Lakini kwasababu na kama utakumbuka Mbowe hakuwepo nchini alikuwa Nairobi, sasa kwanini kakimbia sijui. Lakini alivyoingia tu nchini Kaitisha maandamano ya Katiba na madai ya katiba. Nadhani ni Calculation akijua kwamba ana kesi ya aina hiyo na hii vurugu ambayo ana-instigate akikamatwa aseme mmhh! kwasababu ya Katiba, kwasababu tumeitisha Katiba... nadhani sina hakika.

Lakini kwasababu jambo liko mahakamani, sina uhuru wa kulizungumzia kwa sana. Nadhani tuache Mahakama zioneshe ulimwengu kwamba hizo shutuma walizomshutumu zilikuwa za kweli au siyo za kweli Mahakama itaamua.


KUKUTANA NA WAPINZANI

Kikeke: Na Katika Suala hilo hilo la Siasa za upinzani, ulivyoingia madarakani ulisema uko tayari kuzungumza nao na hata Mbowe alikuwa anauliza ni lini utakutana naye, lini utakutana na viongozi wa upinzani?

Rais Samia: Nimesema nitakutana nao lakini sikutana kukutana nao wakiwa wamechambuka chambuka, kama nilivyokueleza hawa watu wana vyama vyao vidogo vidogo, wana mabaraza yao. Nilitaka kwanza wajiunge kwenye mabaraza yao. Na Baraza la Demokrasia nadhani la Vyama vya siasa wamefanya uchaguzi wiki mbili zilizopita au wiki iliyopita ndio wamejiunda vizuri. Kwa hiyo kama wamejiunga vizuri, na hizi kamati zao ndogo ndogo zimejiunda vizuri, basi tutatafuta tu siku tuitane tukae tuzungumze kwasababu hata mimi nataka kuzungumza nao niwaambie mwelekeo wangu kwamba sasa tumemaliza uchaguzi twendeni tukajenge nchi.

Na kwenye kujenga nchi mimi sichagui, nikimuona mpinzani amekaa vizuri ana mwelekeo namuweka kwenye serikali yangu twende tukajenge nchi kwasababu hakuna pahala pamesema baada ya uchaguzi chama kilichoshinda peke yake ndicho kitajenga nchi, hapana. Tumesema watanzania tutajenga nchi. So mtanzania yeyote mwenye ideology yoyote ya kisiasa kama ni mzuri anaweza ku-deliver na kuleta yale ambayo wananchi wanataka mimi namtumia tu, namuingiza kwenye system zangu tu twende namtumia

Kwa hiyo nataka waje tukae tuone tunakwendaje na hili, kwa hiyo wakati ukifika nitawatafuta, nitawaambia karibuni njooni tukae.
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
 
bado anaamini kwamba mtaani watu wanavutiwa na maneno matamu kumbe walishaondoka huko mda mrefu yeye afanye anachojisikia tu hakuna mwenye matumaini naye tena
 
Kisura mzuri shida roho
Ogopa sana sura Kama ya mama yaani hadi leo kila nikifumba macho na kufumbua siamini kabisa kweri ni huyu huyu mama wa ki zanzibar kweri the anayo yasema kutoka mdomoni mwake. mama una watoto pia Madaraka ni ya kupita tu, fikilia Mkapa yupo wapi?
 
Urais ni taasisi ndugu yangu mambo mengine yanafanyika hata yeye "NADHANI" huwa hajui. Rais hasilaumiwe sanaa


Lakini yeye ndiye Key player wa hiyo taasisi yote.

Inakuwaje mambo kufanyika bila yeye kujua?

Hata kama atakuwa hajajua kwa namna moja ama nyingine vipi kuhusu kupata mrejesho kutoka kwa wananchi kutokana na kile kilichofanywa na wengine kwenye taasisi bila yeye kujua?

Baada ya kusikia mfano kelele, malalamiko n.k toka kwa wananchi zidi ya kile kilichofanywa na wenzie bila yeye kujua baada ya kujua kinafanyika nini?
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.

Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake.

Wafuasi wa Bwana Mbowe wanadai kuwa mashtaka haya yamechochewa kisiasa.

Aidha katika suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wana uhuru wa kutosha.

BBC
---


UHURU WA KUJIELEZA

Kikeke:
Tanzania unayoingoza sasa hivi ina Uhuru wa Kujieleza na Demokrasia ya kutosha?

Rais Samia: Ahaaha! Wewe ni mwandishi wa habari toka umefika umesikia vyombo vya habari vimelalamika? Hakuna chombo kimelalamika kuna uhuru wa kutosha wanajieleza, na wanajieleza mpaka wanavuka mipaka saa nyingine. Lakini kwasababu viongozi inabidi mvae ngozi ngumu muangalie.

Lakini wakati mwingine kusema kwao bora umpe nafasi mtu a-offload alichonacho atoe umsikie kama kiongozi useme kumbe kinalalamikiwa hiki, basi unakifanyia kazi kuliko ukiwabana hawasemi, hujui wanafukuta na nini ndani, ile! Sasa Tanzania kuna uhuru wa kutosha, vyombo vyote vya habari viko huru, anayefuata sheria, anayefuata maadili ya kazi yao wako wanafanya kazi yao.


DEMOKRASIA

Kikeke:
Demokrasia ya Kisiasa?

Rais Samia: Demokrasia ya Kisiasa, Yes Ipo. Na hapa naomba nitofautishe baina ya Demokrasia ya Kisiasa na fujo za kisiasa.
Demokrasia ya Kisiasa ni nini? - Demokrasia ya Kisiasa tuna vyama vya Siasa, wana vyombo vyao, wanajadili mambo yao kwa mfano baraza la vyama vya siasa. Huko wanajichagua wao, wanajadili mambo yao ya kisiasa wanaelewana. Kuna kamati ya vyama vyenye wabunge Bungeni na wenyewe wana ya kwao, wakakaa wanazungumza wanajadiliana huko. Lakini kuna vyama vyenyewe vya siasa ambavyo vimeundwa na Katiba zao, na kwenda kwao au kufanya kwao kazi kunategemea katiba zao. Kwa mfano chama changu cha Mapinduzi, Katiba yangu inaniambia labda katika mwaka nitakuwa na vikao viwili vya Halmashauri Kuu ya Chama, Labda Vikao 6 vya Kamati Kuu na vikao vingine katika ngazi za chini Mikoa na Wilaya. Na hivyo vikao vimeelezea wajumbe ni wakina nani na kila kitu. hivyo Vikao vinaendeshwa bila bugudha bila kuomba ruhusa polisi kwasababu Katiba imeshaelezwa na imeshapita kote na najulikana. Na vivyo hivyo vyama vingine vyote vina katiba zao, zina system zao za Mikutano, wajumbe wao ni kina nani, hivyo wako free kufanya wakati wowote.

Kitu ambacho hakipendezi ni ile kutaka uhuru wa kufanya fujo za kisiasa, labda tumemaliza uchaguzi, Serikali imeundwa.. kinachotakiwa kuendelea ni kujenga nchi uwe na chama gani wote mnakuja pamoja mnajenga nchi yenu, ndicho kinachotakiwa kuwa.

Lakini kinapotokea chama, wao wanataka tu kuitisha maandamano kila siku, maandamano yasiyo mwisho, sijui maandamano nini, labda leo mkutano huko, kesho mkutano huko fujo vurugu, aaah ile

Kikeke: Ndio Uhuru wa Demokrasia

Rais Samia: Hapana, kama uhuru wa Demokrasia mbona Marekani hawa-observe, mbona Ulaya hawa-observe? Wakimaliza chaguzi ni kimya, wanaendelea shughuli zao za maendeleo, nchi inapewa nafasi inafanya kazi zake wanajijengea nchi zao. Hatujasikia vurugu za kila siku za huko Marekani na Ulaya, kama kutatokea maandamano ni Constituency ndogo wamekosa umeme jana na juzi umeme umekuja low Voltage wanaandamana mtaa huo wanakwenda kwa huyo mwenye umeme huko, wanasema ya kwao wanarudi peacefully. Sasa haya ya kwetu ya vurugu, piga magari, choma.. ah aha


KESI DHIDI YA FREEMAN MBOWE

Kikeke:
Nazungumzia suala hilo la kisiasa kwa sababu kiongozi wa upinzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakamani, amefunguliwa mashataka ya Ugaidi, wananchi wake wanasema mashtaka haya yamechochewa kisiasa

Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao, Lakini kwasababu na kama utakumbuka Mbowe hakuwepo nchini alikuwa Nairobi, sasa kwanini kakimbia sijui. Lakini alivyoingia tu nchini Kaitisha maandamano ya Katiba na madai ya katiba. Nadhani ni Calculation akijua kwamba ana kesi ya aina hiyo na hii vurugu ambayo ana-instigate akikamatwa aseme mmhh! kwasababu ya Katiba, kwasababu tumeitisha Katiba... nadhani sina hakika.

Lakini kwasababu jambo liko mahakamani, sina uhuru wa kulizungumzia kwa sana. Nadhani tuache Mahakama zioneshe ulimwengu kwamba hizo shutuma walizomshutumu zilikuwa za kweli au siyo za kweli Mahakama itaamua.


KUKUTANA NA WAPINZANI

Kikeke: Na Katika Suala hilo hilo la Siasa za upinzani, ulivyoingia madarakani ulisema uko tayari kuzungumza nao na hata Mbowe alikuwa anauliza ni lini utakutana naye, lini utakutana na viongozi wa upinzani?

Rais Samia: Nimesema nitakutana nao lakini sikutana kukutana nao wakiwa wamechambuka chambuka, kama nilivyokueleza hawa watu wana vyama vyao vidogo vidogo, wana mabaraza yao. Nilitaka kwanza wajiunge kwenye mabaraza yao. Na Baraza la Demokrasia nadhani la Vyama vya siasa wamefanya uchaguzi wiki mbili zilizopita au wiki iliyopita ndio wamejiunda vizuri. Kwa hiyo kama wamejiunga vizuri, na hizi kamati zao ndogo ndogo zimejiunda vizuri, basi tutatafuta tu siku tuitane tukae tuzungumze kwasababu hata mimi nataka kuzungumza nao niwaambie mwelekeo wangu kwamba sasa tumemaliza uchaguzi twendeni tukajenge nchi.

Na kwenye kujenga nchi mimi sichagui, nikimuona mpinzani amekaa vizuri ana mwelekeo namuweka kwenye serikali yangu twende tukajenge nchi kwasababu hakuna pahala pamesema baada ya uchaguzi chama kilichoshinda peke yake ndicho kitajenga nchi, hapana. Tumesema watanzania tutajenga nchi. So mtanzania yeyote mwenye ideology yoyote ya kisiasa kama ni mzuri anaweza ku-deliver na kuleta yale ambayo wananchi wanataka mimi namtumia tu, namuingiza kwenye system zangu tu twende namtumia

Kwa hiyo nataka waje tukae tuone tunakwendaje na hili, kwa hiyo wakati ukifika nitawatafuta, nitawaambia karibuni njooni tukae.
1. Huyu jini jike ni muongo na mchawi ona!
Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao, Lakini kwasababu na kama utakumbuka Mbowe hakuwepo nchini alikuwa Nairobi, sasa kwanini kakimbia sijui. Lakini alivyoingia tu nchini Kaitisha maandamano ya Katiba na madai ya katiba. Nadhani ni Calculation akijua kwamba ana kesi ya aina hiyo na hii vurugu ambayo ana-instigate akikamatwa aseme mmhh! kwasababu ya Katiba, kwasababu tumeitisha Katiba... nadhani sina hakika.


2. Hapa ni tusi--- kwa watanzania: Hapa kwetu tunaandamana kwa vurugu, kupiga magari?? na
 
Habari ni kwa mujibu wa tweet ya CHADEMA Media:

"Katika kesi hiyo ya Kikatiba Mhe. @freemanmbowetz anasema alipokuwa chini ya ulinzi wa Polisi aliambiwa maneno; 'Wewe si unajifanya unaijua na kuifahamu Katiba Mpya safari hii hautachomoka, tunakupa kesi ya ugaidi'." Wakili Peter Kibatala.
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.

Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake.

Wafuasi wa Bwana Mbowe wanadai kuwa mashtaka haya yamechochewa kisiasa.

Aidha katika suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wana uhuru wa kutosha.

BBC
---


UHURU WA KUJIELEZA

Kikeke:
Tanzania unayoingoza sasa hivi ina Uhuru wa Kujieleza na Demokrasia ya kutosha?

Rais Samia: Ahaaha! Wewe ni mwandishi wa habari toka umefika umesikia vyombo vya habari vimelalamika? Hakuna chombo kimelalamika kuna uhuru wa kutosha wanajieleza, na wanajieleza mpaka wanavuka mipaka saa nyingine. Lakini kwasababu viongozi inabidi mvae ngozi ngumu muangalie.

Lakini wakati mwingine kusema kwao bora umpe nafasi mtu a-offload alichonacho atoe umsikie kama kiongozi useme kumbe kinalalamikiwa hiki, basi unakifanyia kazi kuliko ukiwabana hawasemi, hujui wanafukuta na nini ndani, ile! Sasa Tanzania kuna uhuru wa kutosha, vyombo vyote vya habari viko huru, anayefuata sheria, anayefuata maadili ya kazi yao wako wanafanya kazi yao.


DEMOKRASIA

Kikeke:
Demokrasia ya Kisiasa?

Rais Samia: Demokrasia ya Kisiasa, Yes Ipo. Na hapa naomba nitofautishe baina ya Demokrasia ya Kisiasa na fujo za kisiasa.
Demokrasia ya Kisiasa ni nini? - Demokrasia ya Kisiasa tuna vyama vya Siasa, wana vyombo vyao, wanajadili mambo yao kwa mfano baraza la vyama vya siasa. Huko wanajichagua wao, wanajadili mambo yao ya kisiasa wanaelewana. Kuna kamati ya vyama vyenye wabunge Bungeni na wenyewe wana ya kwao, wakakaa wanazungumza wanajadiliana huko. Lakini kuna vyama vyenyewe vya siasa ambavyo vimeundwa na Katiba zao, na kwenda kwao au kufanya kwao kazi kunategemea katiba zao. Kwa mfano chama changu cha Mapinduzi, Katiba yangu inaniambia labda katika mwaka nitakuwa na vikao viwili vya Halmashauri Kuu ya Chama, Labda Vikao 6 vya Kamati Kuu na vikao vingine katika ngazi za chini Mikoa na Wilaya. Na hivyo vikao vimeelezea wajumbe ni wakina nani na kila kitu. hivyo Vikao vinaendeshwa bila bugudha bila kuomba ruhusa polisi kwasababu Katiba imeshaelezwa na imeshapita kote na najulikana. Na vivyo hivyo vyama vingine vyote vina katiba zao, zina system zao za Mikutano, wajumbe wao ni kina nani, hivyo wako free kufanya wakati wowote.

Kitu ambacho hakipendezi ni ile kutaka uhuru wa kufanya fujo za kisiasa, labda tumemaliza uchaguzi, Serikali imeundwa.. kinachotakiwa kuendelea ni kujenga nchi uwe na chama gani wote mnakuja pamoja mnajenga nchi yenu, ndicho kinachotakiwa kuwa.

Lakini kinapotokea chama, wao wanataka tu kuitisha maandamano kila siku, maandamano yasiyo mwisho, sijui maandamano nini, labda leo mkutano huko, kesho mkutano huko fujo vurugu, aaah ile

Kikeke: Ndio Uhuru wa Demokrasia

Rais Samia: Hapana, kama uhuru wa Demokrasia mbona Marekani hawa-observe, mbona Ulaya hawa-observe? Wakimaliza chaguzi ni kimya, wanaendelea shughuli zao za maendeleo, nchi inapewa nafasi inafanya kazi zake wanajijengea nchi zao. Hatujasikia vurugu za kila siku za huko Marekani na Ulaya, kama kutatokea maandamano ni Constituency ndogo wamekosa umeme jana na juzi umeme umekuja low Voltage wanaandamana mtaa huo wanakwenda kwa huyo mwenye umeme huko, wanasema ya kwao wanarudi peacefully. Sasa haya ya kwetu ya vurugu, piga magari, choma.. ah aha


KESI DHIDI YA FREEMAN MBOWE

Kikeke:
Nazungumzia suala hilo la kisiasa kwa sababu kiongozi wa upinzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakamani, amefunguliwa mashataka ya Ugaidi, wananchi wake wanasema mashtaka haya yamechochewa kisiasa

Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao, Lakini kwasababu na kama utakumbuka Mbowe hakuwepo nchini alikuwa Nairobi, sasa kwanini kakimbia sijui. Lakini alivyoingia tu nchini Kaitisha maandamano ya Katiba na madai ya katiba. Nadhani ni Calculation akijua kwamba ana kesi ya aina hiyo na hii vurugu ambayo ana-instigate akikamatwa aseme mmhh! kwasababu ya Katiba, kwasababu tumeitisha Katiba... nadhani sina hakika.

Lakini kwasababu jambo liko mahakamani, sina uhuru wa kulizungumzia kwa sana. Nadhani tuache Mahakama zioneshe ulimwengu kwamba hizo shutuma walizomshutumu zilikuwa za kweli au siyo za kweli Mahakama itaamua.


KUKUTANA NA WAPINZANI

Kikeke: Na Katika Suala hilo hilo la Siasa za upinzani, ulivyoingia madarakani ulisema uko tayari kuzungumza nao na hata Mbowe alikuwa anauliza ni lini utakutana naye, lini utakutana na viongozi wa upinzani?

Rais Samia: Nimesema nitakutana nao lakini sikutana kukutana nao wakiwa wamechambuka chambuka, kama nilivyokueleza hawa watu wana vyama vyao vidogo vidogo, wana mabaraza yao. Nilitaka kwanza wajiunge kwenye mabaraza yao. Na Baraza la Demokrasia nadhani la Vyama vya siasa wamefanya uchaguzi wiki mbili zilizopita au wiki iliyopita ndio wamejiunda vizuri. Kwa hiyo kama wamejiunga vizuri, na hizi kamati zao ndogo ndogo zimejiunda vizuri, basi tutatafuta tu siku tuitane tukae tuzungumze kwasababu hata mimi nataka kuzungumza nao niwaambie mwelekeo wangu kwamba sasa tumemaliza uchaguzi twendeni tukajenge nchi.

Na kwenye kujenga nchi mimi sichagui, nikimuona mpinzani amekaa vizuri ana mwelekeo namuweka kwenye serikali yangu twende tukajenge nchi kwasababu hakuna pahala pamesema baada ya uchaguzi chama kilichoshinda peke yake ndicho kitajenga nchi, hapana. Tumesema watanzania tutajenga nchi. So mtanzania yeyote mwenye ideology yoyote ya kisiasa kama ni mzuri anaweza ku-deliver na kuleta yale ambayo wananchi wanataka mimi namtumia tu, namuingiza kwenye system zangu tu twende namtumia

Kwa hiyo nataka waje tukae tuone tunakwendaje na hili, kwa hiyo wakati ukifika nitawatafuta, nitawaambia karibuni njooni tukae.
Hatuna rais tuna kituko ikulu
 
Huyu mama kumbe hapendi demokrasia na ndio maana kamkamata Mbowe, hio demokrasia ya fujo ni ipi? Nadhani ni ya kudai katiba mpya

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Amesema "anadhani" maana yake inawezekana kweli hajui, hili linanionesha kwamba;

- Inawezekana Rais haziamini taarifa anazopewa toka kwa wasaidizi wake.

au.

- Hapewi taarifa kabisa, na yeye anasoma Mbowe "gaidi" mitandaoni kama tunavyosoma na sisi wengine.
 
Hapa tumepigwa hatuna kiongoz
Kwamba wenzake na Mbowe hapo sentenced toka lini wenzake na Mbowe wamehukumiwa ?

Kama Mbowe alishitakiwa kwa kosa la Ugaidi mwezi September mwaka Jana kwa nini aliambiwa wakati kesi ya ugaid haina dhamana ?
Ikiwa wenzake wameshahukumiwa kwa nini Mbowe ashitakiwe leo ilihali wenzake walishahukumiwa ?

Toka lini mtuhumiwa aruhusiwe kutoroka aende nchi zingine ilihali ana makosa makubwa kama hayo na bado arudi afiwe na kaka yake umtumie salam pole mtu anayetuhumiwa na ugaid?

Hapa hakuna Rais .
Aliingia kwa Corona atatoka kwa Corona.
 
Back
Top Bottom