hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
Kwanini watu hawasemi ukweli kuwa Samia hakubaliki Bali wanapiga propaganda tu?
Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida ni nini jamani?
Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea cha maana ,Walidai hivo,
Huku wakisema Wamemmiss sana Hotuba za JPM ,
Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokoni, Manzese, nenda machinjion Vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana
Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,
Wanaamini wezi wamerudi serikalini,
Wanaamini Jpm alikuwa mtetezi wao,
Wanaamini Kuna kundi limemuondoa mwendazake
Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,
Utaleta majibu hapa ,
Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?
Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?
Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?
Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,
Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia
Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?
Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,
Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?
Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida ni nini jamani?
Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea cha maana ,Walidai hivo,
Huku wakisema Wamemmiss sana Hotuba za JPM ,
Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokoni, Manzese, nenda machinjion Vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana
Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,
Wanaamini wezi wamerudi serikalini,
Wanaamini Jpm alikuwa mtetezi wao,
Wanaamini Kuna kundi limemuondoa mwendazake
Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,
Utaleta majibu hapa ,
Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?
Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?
Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?
Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,
Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?
Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,
Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?