Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
13,628
Reaction score
20,992
Kwanini watu hawasemi ukweli kuwa Samia hakubaliki Bali wanapiga propaganda tu?

Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida ni nini jamani?

Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea cha maana ,Walidai hivo,

Huku wakisema Wamemmiss sana Hotuba za JPM ,

Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokoni, Manzese, nenda machinjion Vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana

Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,

Wanaamini wezi wamerudi serikalini,

Wanaamini Jpm alikuwa mtetezi wao,

Wanaamini Kuna kundi limemuondoa mwendazake

Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,

Utaleta majibu hapa ,

Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?

Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?

Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?

Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,

Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia




Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?

Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,

Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?
 
Ila ukweli mama hakubaliki, Mie mzee wangu ni ccm kindaki ndaki ila kila nikikaa nae tunaona habari mambo yalivyo hovyo analaumu sana uwezo wa mama

Jana ilikuwa habari ya kusafirisha mifugo kinyemela kwenda kenya akasema 'upuuzi huu usingetokea kipindi cha jpm' pia akanipa habari za mkandarasi kula m600 za ujenzi wa bwawa yote anadai ni udhaifu wa mama
 
Ila ukweli mama hakubaliki, Mie mzee wangu ni ccm kindaki ndaki ila kila nikikaa nae tunaona habari mambo yalivyo hovyo analaumu sana uwezo wa mama

Jana ilikuwa habari ya kusafirisha mifugo kinyemela kwenda kenya akasema 'upuuzi huu usingetokea kipindi cha jpm' pia akanipa habari za mkandarasi kula m600 za ujenzi wa bwawa yote anadai ni udhaifu wa mama
Huenda mzee wako ni mjinga
 
Ila ukweli mama hakubaliki, Mie mzee wangu ni ccm kindaki ndaki ila kila nikikaa nae tunaona habari mambo yalivyo hovyo analaumu sana uwezo wa mama

Jana ilikuwa habari ya kusafirisha mifugo kinyemela kwenda kenya akasema 'upuuzi huu usingetokea kipindi cha jpm' pia akanipa habari za mkandarasi kula m600 za ujenzi wa bwawa yote anadai ni udhaifu wa mama
Wewe kwaiyo enzi za marehemu wizi haukutokea?

Mzee wako ni Jau
 
Kwa upande wangu awamu hii imenikera katika Tozo...makato naona makubwa imefikia hatua ukiingia muamala chini ya laki sitoi nitaitumia kwa mambo madogo Hadi iishe
 
Ila ukweli mama hakubaliki, Mie mzee wangu ni ccm kindaki ndaki ila kila nikikaa nae tunaona habari mambo yalivyo hovyo analaumu sana uwezo wa mama

Jana ilikuwa habari ya kusafirisha mifugo kinyemela kwenda kenya akasema 'upuuzi huu usingetokea kipindi cha jpm' pia akanipa habari za mkandarasi kula m600 za ujenzi wa bwawa yote anadai ni udhaifu wa mama
Mzee wako hana hela.Anataka atafute visingizio ili msimsumbue hapo nyumbani kwenu.
 
Ila ukweli mama hakubaliki, Mie mzee wangu ni ccm kindaki ndaki ila kila nikikaa nae tunaona habari mambo yalivyo hovyo analaumu sana uwezo wa mama

Jana ilikuwa habari ya kusafirisha mifugo kinyemela kwenda kenya akasema 'upuuzi huu usingetokea kipindi cha jpm' pia akanipa habari za mkandarasi kula m600 za ujenzi wa bwawa yote anadai ni udhaifu wa mama
Mzee wako anakariri uwezo, amfufue magu.
Ni kweli uwezo ni mdogo lkn ni Salama
 
Back
Top Bottom