Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

Mzee wako hana hela.Anataka atafute visingizio ili msimsumbue hapo nyumbani kwenu.
Sasa nisumbuane nae vipi ikiwa mzee kastaafu mwaka juzi anakula pension yake

Familia yote Wana miji yao, mimi ndo nipo mji mmoja na mzee na kila wikiendi ndo narudi kumcheki

Fanya kufatilia michango yangu humu utagundua mimi simtegemei mzee
 
Kwa wafanyakazi nakukatalia. Labda wazee na machinga na kwa machinga naona ameshaanza kuwapara na tujimilioni kumi sasa hivi wataanza mpigia vigelegele.
Zaidi ya machinga 1,000 wa Dodoma wanapewa mabanda ya kisasa bure yenye huduma zote yaani pamejengwa kama mall moja matata,eti hao wanamchukia Samia 😆😆😆

Dar kwenye soko la Karoakoo na Ilala lililoungua ,zinajengwa structure matata za machinga na watapewa bure pale Kariakoo @ eti hao wanamchukia mama 😜😜
 
Binafsi nilichokiona watu bado wanaamini katika RAIS MWANAUME. Ila kwenye kufanya kazi vizuri MAMA SAMIA yuko Far better than MAGUFULI. NAMKUBALI KINOMA NOMA JPM ila mama Samia anatumia Busara, Hekima, nidhamu na Utu katika kuongoza. Kama huyu mama angekuwa Rais mara baada ya KIKWETE amini nakwambia hii nchi ingekuwa mbali mno, kwanye Sekta nyingi sana, Ajira, Biashara, Uvuvi, Kilimo nk.

Thank You Hon. Pres. Samia.

Watu wamezoea vitisho.
 
Ndio wanavyopata cheo siku hizi. Majam azi sugu wanakwenda kwa Rais wanamwambia watamlinda. Ambayo ni kosa. Rais ni Amirat,kwa hiyo analindwa na wanajeshi.
Lakini hawa majambazi wanamwahidi Rais ulinzi,wanamwambia usiwajali hao wapinzani wenye mdomo mrefu.
 
Kwanini watu hawasemi ukweli kuwa Samia hakubaliki Bali wanapiga propaganda tu?

Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida Ni nin jaman?

Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui Ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea Cha maana ,Walidai hivo,

Huku wakisema Wamemis sana Hotuba za Jpm ,

Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokon, manzese, nenda machinjion vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana

Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,

Wanaamini wez wamerudi serikalin,

Wanaamini Jpm alikuwa mtetez wao,

Wanaamini Kuna kund limemuondoa mwendazake

Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,

Utaleta majibu hapa ,

Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?

Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?

Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?

Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,

Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia




Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?

Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,

Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?

Utafiti wa kuwa mama hakubaliki umeufanya wapi...kwa taarifa yako mama hata kama hafanyi chochote, ile kuondoa tu upuuzi wa jiwe kwake ni credit... atahaeshimika sana, kwanza yeye anachotakiwa kufanya kwa sasa ni kufuta ule ujinga ujinga wote.. nasisitiza ujinga, aendeleze mazuri yote, maana pia Jiwe nae alikuwa pia na mazuri aliyofanya siwezi kataa.
 
Zaidi ya machinga 1,000 wa Dodoma wanapewa mabanda ya kisasa bure yenye huduma zote yaani pamejengwa kama mall moja matata,eti hao wanamchukia Samia 😆😆😆

Dar kwenye soko la Karoakoo na Ilala lililoungua ,zinajengwa structure matata za machinga na watapewa bure pale Kariakoo @ eti hao wanamchukia mama 😜😜
Hapo kwa kweli hapana. 😀
 
Leta sector ya Bihashara, inflation rate, Tsh angaist Dollar etc, Leta wizara ya Ulinzi, sector ya Madini
Ndio maana nakwambia huna akili unajidanganya Sana,subiria uchaguzi uone..

Biashara ipi unayoisemea wakati maelfu ya biashara zinafunguliwa? Umesikia biashara zinafungwa msimu huu kama Jiwe?

Kule posta huoni Majumba ya kupangisha yamekuwa occupied?

Shilingi ya Tanzania ndio iko imara dhidi ya dola,Ya Kenya na ya Uganda zimeporomoka..mfano mdogo TSH.ina trade kwenye 19 vs Ksh kutoka 20.1..

Kwenye biashara ndio usiguse,tutajaza Seva bure..Afu usihangaike Sana kama hujui kutafuta habari wewe zunguka tuu mitaani ukiona ujenzi utapata jibu kwamba kumbe Uchumi umefunguka kweli.👇

Screenshot_20220521-221208.png


Screenshot_20220521-221503.png


Screenshot_20220521-220800.png


Screenshot_20220521-195720.png


Screenshot_20220522-085233.png


Screenshot_20220520-184438.png


Screenshot_20220520-191002.png


Screenshot_20220520-083743.png


Screenshot_20220520-100034.png


Screenshot_20220520-083539.png
 
Kwanini watu hawasemi ukweli kuwa Samia hakubaliki Bali wanapiga propaganda tu?

Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida Ni nin jaman?

Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui Ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea Cha maana ,Walidai hivo,

Huku wakisema Wamemis sana Hotuba za Jpm ,

Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokon, manzese, nenda machinjion vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana

Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,

Wanaamini wez wamerudi serikalin,

Wanaamini Jpm alikuwa mtetez wao,

Wanaamini Kuna kund limemuondoa mwendazake

Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,

Utaleta majibu hapa ,

Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?

Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?

Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?

Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,

Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia




Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?

Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,

Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?
Incapability imejidhiirisha kwa bi tozo kuliko kiongozi yeyote yule ndani ya system ya CCM.

Mbaya zaidi inaonekana hii ni reincarnation ya awamu ya Msoga ila ikiwa mwiba zaidi kwa raia sababu ya tozo za ajabu na inflation huku ufisadi ukifumbiwa macho.
 
Actually.watu wanapiga poyoyo tu mtu lakini inside wanamkubali Maza kichizi
 
Back
Top Bottom