Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Muisemusajiografii mmojawapo ni huyu A.K.A ndumilakuwili [emoji38]Nilidhani una hoja ya maana kumbe unaumwa ugonjwa wa sukuma gangiasis
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muisemusajiografii mmojawapo ni huyu A.K.A ndumilakuwili [emoji38]Nilidhani una hoja ya maana kumbe unaumwa ugonjwa wa sukuma gangiasis
Kwa hiyo una ushauri gani sasaUkweli SSH hakubaliki
Sasa nisumbuane nae vipi ikiwa mzee kastaafu mwaka juzi anakula pension yakeMzee wako hana hela.Anataka atafute visingizio ili msimsumbue hapo nyumbani kwenu.
Leta sector ya Bihashara, inflation rate, Tsh angaist Dollar etc, Leta wizara ya Ulinzi, sector ya MadiniTutajaza Seva bure..
Unataka kwenye sekta gani nikumiminie mambo?
View attachment 2233858
View attachment 2233859
View attachment 2233861
View attachment 2233862
View attachment 2233863
View attachment 2233864
View attachment 2233865
View attachment 2233866
View attachment 2233867
Basi ni mnoko wa kuzaliwa tu.Full unoko!Sasa nisumbuane nae vipi ikiwa mzee kastaafu mwaka juzi anakula pension yake
Familia yote Wana miji yao, mimi ndo nipo mji mmoja na mzee na kila wikiendi ndo narudi kumcheki
Fanya kufatilia michango yangu humu utagundua mimi simtegemei mzee
Inategemea mtoto wako(mrithi)ulimpa maujuzi kiasi gani!Biashara nyingi za urithi huwa hazidumu.
Zaidi ya machinga 1,000 wa Dodoma wanapewa mabanda ya kisasa bure yenye huduma zote yaani pamejengwa kama mall moja matata,eti hao wanamchukia Samia 😆😆😆Kwa wafanyakazi nakukatalia. Labda wazee na machinga na kwa machinga naona ameshaanza kuwapara na tujimilioni kumi sasa hivi wataanza mpigia vigelegele.
Uko sahihi maana naona unaleta mitazamo yako ya darasa la 3 kutaka kuonesha uko sahihiBasi ni mnoko wa kuzaliwa tu.Full unoko!
Kwanini watu hawasemi ukweli kuwa Samia hakubaliki Bali wanapiga propaganda tu?
Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida Ni nin jaman?
Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui Ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea Cha maana ,Walidai hivo,
Huku wakisema Wamemis sana Hotuba za Jpm ,
Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokon, manzese, nenda machinjion vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana
Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,
Wanaamini wez wamerudi serikalin,
Wanaamini Jpm alikuwa mtetez wao,
Wanaamini Kuna kund limemuondoa mwendazake
Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,
Utaleta majibu hapa ,
Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?
Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?
Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?
Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,
Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?
Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,
Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?
Hapo kwa kweli hapana. 😀Zaidi ya machinga 1,000 wa Dodoma wanapewa mabanda ya kisasa bure yenye huduma zote yaani pamejengwa kama mall moja matata,eti hao wanamchukia Samia 😆😆😆
Dar kwenye soko la Karoakoo na Ilala lililoungua ,zinajengwa structure matata za machinga na watapewa bure pale Kariakoo @ eti hao wanamchukia mama 😜😜
[emoji706][emoji706][emoji706]Tutajaza Seva bure..
Unataka kwenye sekta gani nikumiminie mambo?
View attachment 2233858
View attachment 2233859
View attachment 2233861
View attachment 2233862
View attachment 2233863
View attachment 2233864
View attachment 2233865
View attachment 2233866
View attachment 2233867
Ndio maana nakwambia huna akili unajidanganya Sana,subiria uchaguzi uone..Leta sector ya Bihashara, inflation rate, Tsh angaist Dollar etc, Leta wizara ya Ulinzi, sector ya Madini
Incapability imejidhiirisha kwa bi tozo kuliko kiongozi yeyote yule ndani ya system ya CCM.Kwanini watu hawasemi ukweli kuwa Samia hakubaliki Bali wanapiga propaganda tu?
Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida Ni nin jaman?
Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui Ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea Cha maana ,Walidai hivo,
Huku wakisema Wamemis sana Hotuba za Jpm ,
Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokon, manzese, nenda machinjion vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana
Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,
Wanaamini wez wamerudi serikalin,
Wanaamini Jpm alikuwa mtetez wao,
Wanaamini Kuna kund limemuondoa mwendazake
Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,
Utaleta majibu hapa ,
Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?
Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?
Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?
Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,
Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?
Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,
Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?
Chuki binafsi 😆😆😆🤣🤣🤣[emoji706][emoji706][emoji706]
Huu Utumbo Changanya Na Ndizi ule.Tutajaza Seva bure..
Unataka kwenye sekta gani nikumiminie mambo?
View attachment 2233858
View attachment 2233859
View attachment 2233861
View attachment 2233862
View attachment 2233863
View attachment 2233864
View attachment 2233865
View attachment 2233866
View attachment 2233867
Story za kupika hizi.