Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
"Kuna karne itakuja kwa wajinga kuwa viongozi na wenye akili timamu kuwa wafuasi, Nadhani karne yenyewe ndo hii"Shaaban Robert
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Machadema nyie ni ama majinga au mnajisahaulisha.Huyu Rais kaanza kampeni mapema kabla ya muda. Sijui anaogopa Nini? Tume ya Uchaguzi ni ya kwake, Polisi wa kwake, JWTZ wa kwake nk ila kaanza kampeni kabla ya muda.
Naomba nimpe Rais ushauri ufuatao;
1. Achana na kampeni kabla ya muda.
Wewe kama Rais wa Nchi unatakiwa kuwa namba moja Kwa kutii Sheria. Sheria ya uchaguzi inahitaji kampeni zifanyike kwenye muda wa kampeni na si vinginevyo. Rais unapopita huku na kule na kuwaambia wananchi wasiwachague wapinzani bado ni wachanga bali wachague CCM hiyo ni kampeni ya wazi.
Ni aibu Kwa Rais mzima aliyeapa kuilinda Katiba na Sheria za nchi, kuanza ujinga wa kampeni mapema. Je wenzako wafanye nini? Je na wao wafanye kampeni ya kuomba kuchaguliwa mwaka mmoja kabla ya uchaguzi?.
2. Inabidi utofautishe Ziara za kampeni na Ziara za kiserikali.
Wewe ni Rais wa Nchi, inabidi utofautishe kati ya Ziara ya kampeni na Ziara ya kiserikali. Hizi Ziara zako unazofanya huko Katavi na Rukwa ni Ziara za kiserikali, Kwa maana nyingine ni Ziara zinazo gharamiwa na Kodi za wananchi. Ni ujinga kutumia Kodi za wananchi kujipigia debe na kukipigia debe chama chako.
Nilishangaa sana ulipomlazimsha mbunge wa Nkasi kupitia CHADEMA mwanamama Aida Kenani kuanza na salamu ya CCM oye. Nikajiuliza hii ni Ziara ya Rais au Ziara ya chama Cha mapinduzi. Unamwambiaje mbunge aanze na salamu ya chama wakati ni Ziara ya kiserikali?. Ulipotoka sana.
Nikushauri tu, Kama unataka kujipigia debe basi anzisha Ziara za kichama na sio kutumia raslimali za Serikali na Kodi za wananchi kufanya makampeni yako ya kijinga. Yani utumie Magari ya Serikali na walinzi wa Serikali kujipigia kampeni? No please.
Pia soma: Kampeni za Uchaguzi 2025 zimeanza?
Nikushauri tu, hizi ni Ziara za kikazi zitumie kufanya kazi za Serikali , achana na huu ujinga unaoufanya wa kampeni, acha mara moja.
3. Tumia Ziara hizi kujibu maswali magumu ya watanzania.
Nikushauri ya kwamba kwa sababu upo kwenye Ziara ya kiserikali jaribu kutoa ufumbuzi kwa mambo yanayoendelea Tanzania. Jikite kwenye mambo ya msingi kama masuala ya utekaji, sukari, maji, mmonyoko wa maadili, malalamiko ya wafanyabiashara, ajira nk. Jikite huko na uongee na Raia na kusikiliza shida zao achana na vijembe havisaidii kwa Sasa watu Wana shida nyingi sana na hawaitaji vijembe vyako.
4. Mwisho punguza kauli za dharau na kiburi.
Unadai upinzani ni wachanga hawawezi kuongoza nchi. Nikuulize swali, mwaka 2015 CCM ilipata asilimia 57 ya Kura za Urais, Kwa maana nyingine wapinzani walipata asilimia 42, tofauti ya asilimia 15. Je hiyo tofauti ya asilimia 15% ni ya wachanga au wakubwa? Tena kwenye mfumo wa uchaguzi ambao unaifavour CCM.
Nijuzi tu hapa 2019, wagombea wa viti vya seriakali za mtaa wa upinzani waliondolewa kugombea kwa asilimia 80% mpaka wakaamua kususia uchaguzi wote na CCM kupata ushindi wa asilimia 95%.
Kama hiyo haitoshi, 2020 wagombea wa Ubunge wa vyama vya upinzani wakaondolewa tena kwenye kugombea Ubunge. Cha kusikitisha wengine wakiwa ni wabunge waliomaliza muda wao Kama mbunge Susan Kiwanga, aliondolewa kwenye kinyang'anyiro Cha Ubunge wakati alikuwa amehudumu kwa muda wa miaka mitano. Cha kusikitisha zaidi siku ya kupiga kura mtandao ukazimwa kwa wiki nzima, na ujinga mwingi kufanyika.
Nikuulize swali, je Kama upinzani ni wachanga kwanini mnatumia nguvu na mabavu kupambana nao. Yani wewe baba mzima wa miaka 60 unapigana na mtoto mchanga kwa kutumia rungu, huo sio utaahira?. Hivyo basi hakuna Cha mchanga Wala Mzee, kila kiongozi akiingia madarakani ataongozwa na Katiba iliyopo na sio umri wa miaka yake.
Niishie hapo
By Econonist.
Labda ABDUL ndiye bado Mchanga .... Vyama vina umri zaidi ya miaka 30 sasa ...!!Wewe kama Rais wa Nchi unatakiwa kuwa namba moja Kwa kutii Sheria. Sheria ya uchaguzi inahitaji kampeni zifanyike kwenye muda wa kampeni na si vinginevyo. Rais unapopita huku na kule na kuwaambia wananchi wasiwachague wapinzani bado ni wachanga bali wachague CCM hiyo ni kampeni ya wazi.
Hao bila majini confidence 0,,,,,,we minya majini yao wanakua wadogo balaaHivi Hawa jamaa, bila Pete ya majini, hawezi Kutoka nyumbani🤔
sidhani kama ana masikioHuyu Rais kaanza kampeni mapema kabla ya muda. Sijui anaogopa Nini? Tume ya Uchaguzi ni ya kwake, Polisi wa kwake, JWTZ wa kwake nk ila kaanza kampeni kabla ya muda.
Naomba nimpe Rais ushauri ufuatao;
1. Achana na kampeni kabla ya muda.
Wewe kama Rais wa Nchi unatakiwa kuwa namba moja Kwa kutii Sheria. Sheria ya uchaguzi inahitaji kampeni zifanyike kwenye muda wa kampeni na si vinginevyo. Rais unapopita huku na kule na kuwaambia wananchi wasiwachague wapinzani bado ni wachanga bali wachague CCM hiyo ni kampeni ya wazi.
Ni aibu Kwa Rais mzima aliyeapa kuilinda Katiba na Sheria za nchi, kuanza ujinga wa kampeni mapema. Je wenzako wafanye nini? Je na wao wafanye kampeni ya kuomba kuchaguliwa mwaka mmoja kabla ya uchaguzi?.
2. Inabidi utofautishe Ziara za kampeni na Ziara za kiserikali.
Wewe ni Rais wa Nchi, inabidi utofautishe kati ya Ziara ya kampeni na Ziara ya kiserikali. Hizi Ziara zako unazofanya huko Katavi na Rukwa ni Ziara za kiserikali, Kwa maana nyingine ni Ziara zinazo gharamiwa na Kodi za wananchi. Ni ujinga kutumia Kodi za wananchi kujipigia debe na kukipigia debe chama chako.
Nilishangaa sana ulipomlazimsha mbunge wa Nkasi kupitia CHADEMA mwanamama Aida Kenani kuanza na salamu ya CCM oye. Nikajiuliza hii ni Ziara ya Rais au Ziara ya chama Cha mapinduzi. Unamwambiaje mbunge aanze na salamu ya chama wakati ni Ziara ya kiserikali?. Ulipotoka sana.
Nikushauri tu, Kama unataka kujipigia debe basi anzisha Ziara za kichama na sio kutumia raslimali za Serikali na Kodi za wananchi kufanya makampeni yako ya kijinga. Yani utumie Magari ya Serikali na walinzi wa Serikali kujipigia kampeni? No please.
Pia soma: Kampeni za Uchaguzi 2025 zimeanza?
Nikushauri tu, hizi ni Ziara za kikazi zitumie kufanya kazi za Serikali , achana na huu ujinga unaoufanya wa kampeni, acha mara moja.
3. Tumia Ziara hizi kujibu maswali magumu ya watanzania.
Nikushauri ya kwamba kwa sababu upo kwenye Ziara ya kiserikali jaribu kutoa ufumbuzi kwa mambo yanayoendelea Tanzania. Jikite kwenye mambo ya msingi kama masuala ya utekaji, sukari, maji, mmonyoko wa maadili, malalamiko ya wafanyabiashara, ajira nk. Jikite huko na uongee na Raia na kusikiliza shida zao achana na vijembe havisaidii kwa Sasa watu Wana shida nyingi sana na hawaitaji vijembe vyako.
4. Mwisho punguza kauli za dharau na kiburi.
Unadai upinzani ni wachanga hawawezi kuongoza nchi. Nikuulize swali, mwaka 2015 CCM ilipata asilimia 57 ya Kura za Urais, Kwa maana nyingine wapinzani walipata asilimia 42, tofauti ya asilimia 15. Je hiyo tofauti ya asilimia 15% ni ya wachanga au wakubwa? Tena kwenye mfumo wa uchaguzi ambao unaifavour CCM.
Nijuzi tu hapa 2019, wagombea wa viti vya seriakali za mtaa wa upinzani waliondolewa kugombea kwa asilimia 80% mpaka wakaamua kususia uchaguzi wote na CCM kupata ushindi wa asilimia 95%.
Kama hiyo haitoshi, 2020 wagombea wa Ubunge wa vyama vya upinzani wakaondolewa tena kwenye kugombea Ubunge. Cha kusikitisha wengine wakiwa ni wabunge waliomaliza muda wao Kama mbunge Susan Kiwanga, aliondolewa kwenye kinyang'anyiro Cha Ubunge wakati alikuwa amehudumu kwa muda wa miaka mitano. Cha kusikitisha zaidi siku ya kupiga kura mtandao ukazimwa kwa wiki nzima, na ujinga mwingi kufanyika.
Nikuulize swali, je Kama upinzani ni wachanga kwanini mnatumia nguvu na mabavu kupambana nao. Yani wewe baba mzima wa miaka 60 unapigana na mtoto mchanga kwa kutumia rungu, huo sio utaahira?. Hivyo basi hakuna Cha mchanga Wala Mzee, kila kiongozi akiingia madarakani ataongozwa na Katiba iliyopo na sio umri wa miaka yake.
Niishie hapo
By Econonist.
Wale wanafanyaga research, anajua mtaani kukoje. Lakini ujanja si kuwai ni kupata..Huyu Rais kaanza kampeni mapema kabla ya muda. Sijui anaogopa Nini? Tume ya Uchaguzi ni ya kwake, Polisi wa kwake, JWTZ wa kwake nk ila kaanza kampeni kabla ya muda.
Naomba nimpe Rais ushauri ufuatao;
1. Achana na kampeni kabla ya muda.
Wewe kama Rais wa Nchi unatakiwa kuwa namba moja Kwa kutii Sheria. Sheria ya uchaguzi inahitaji kampeni zifanyike kwenye muda wa kampeni na si vinginevyo. Rais unapopita huku na kule na kuwaambia wananchi wasiwachague wapinzani bado ni wachanga bali wachague CCM hiyo ni kampeni ya wazi.
Ni aibu Kwa Rais mzima aliyeapa kuilinda Katiba na Sheria za nchi, kuanza ujinga wa kampeni mapema. Je wenzako wafanye nini? Je na wao wafanye kampeni ya kuomba kuchaguliwa mwaka mmoja kabla ya uchaguzi?.
2. Inabidi utofautishe Ziara za kampeni na Ziara za kiserikali.
Wewe ni Rais wa Nchi, inabidi utofautishe kati ya Ziara ya kampeni na Ziara ya kiserikali. Hizi Ziara zako unazofanya huko Katavi na Rukwa ni Ziara za kiserikali, Kwa maana nyingine ni Ziara zinazo gharamiwa na Kodi za wananchi. Ni ujinga kutumia Kodi za wananchi kujipigia debe na kukipigia debe chama chako.
Nilishangaa sana ulipomlazimsha mbunge wa Nkasi kupitia CHADEMA mwanamama Aida Kenani kuanza na salamu ya CCM oye. Nikajiuliza hii ni Ziara ya Rais au Ziara ya chama Cha mapinduzi. Unamwambiaje mbunge aanze na salamu ya chama wakati ni Ziara ya kiserikali?. Ulipotoka sana.
Nikushauri tu, Kama unataka kujipigia debe basi anzisha Ziara za kichama na sio kutumia raslimali za Serikali na Kodi za wananchi kufanya makampeni yako ya kijinga. Yani utumie Magari ya Serikali na walinzi wa Serikali kujipigia kampeni? No please.
Pia soma: Kampeni za Uchaguzi 2025 zimeanza?
Nikushauri tu, hizi ni Ziara za kikazi zitumie kufanya kazi za Serikali , achana na huu ujinga unaoufanya wa kampeni, acha mara moja.
3. Tumia Ziara hizi kujibu maswali magumu ya watanzania.
Nikushauri ya kwamba kwa sababu upo kwenye Ziara ya kiserikali jaribu kutoa ufumbuzi kwa mambo yanayoendelea Tanzania. Jikite kwenye mambo ya msingi kama masuala ya utekaji, sukari, maji, mmonyoko wa maadili, malalamiko ya wafanyabiashara, ajira nk. Jikite huko na uongee na Raia na kusikiliza shida zao achana na vijembe havisaidii kwa Sasa watu Wana shida nyingi sana na hawaitaji vijembe vyako.
4. Mwisho punguza kauli za dharau na kiburi.
Unadai upinzani ni wachanga hawawezi kuongoza nchi. Nikuulize swali, mwaka 2015 CCM ilipata asilimia 57 ya Kura za Urais, Kwa maana nyingine wapinzani walipata asilimia 42, tofauti ya asilimia 15. Je hiyo tofauti ya asilimia 15% ni ya wachanga au wakubwa? Tena kwenye mfumo wa uchaguzi ambao unaifavour CCM.
Nijuzi tu hapa 2019, wagombea wa viti vya seriakali za mtaa wa upinzani waliondolewa kugombea kwa asilimia 80% mpaka wakaamua kususia uchaguzi wote na CCM kupata ushindi wa asilimia 95%.
Kama hiyo haitoshi, 2020 wagombea wa Ubunge wa vyama vya upinzani wakaondolewa tena kwenye kugombea Ubunge. Cha kusikitisha wengine wakiwa ni wabunge waliomaliza muda wao Kama mbunge Susan Kiwanga, aliondolewa kwenye kinyang'anyiro Cha Ubunge wakati alikuwa amehudumu kwa muda wa miaka mitano. Cha kusikitisha zaidi siku ya kupiga kura mtandao ukazimwa kwa wiki nzima, na ujinga mwingi kufanyika.
Nikuulize swali, je Kama upinzani ni wachanga kwanini mnatumia nguvu na mabavu kupambana nao. Yani wewe baba mzima wa miaka 60 unapigana na mtoto mchanga kwa kutumia rungu, huo sio utaahira?. Hivyo basi hakuna Cha mchanga Wala Mzee, kila kiongozi akiingia madarakani ataongozwa na Katiba iliyopo na sio umri wa miaka yake.
Niishie hapo
By Econonist.
Kwa hoja nzito ulizozitoa, mtu mzima hana namna, itampasa achutame tu.Huyu Rais kaanza kampeni mapema kabla ya muda. Sijui anaogopa Nini? Tume ya Uchaguzi ni ya kwake, Polisi wa kwake, JWTZ wa kwake nk ila kaanza kampeni kabla ya muda.
Naomba nimpe Rais ushauri ufuatao;
1. Achana na kampeni kabla ya muda.
Wewe kama Rais wa Nchi unatakiwa kuwa namba moja Kwa kutii Sheria. Sheria ya uchaguzi inahitaji kampeni zifanyike kwenye muda wa kampeni na si vinginevyo. Rais unapopita huku na kule na kuwaambia wananchi wasiwachague wapinzani bado ni wachanga bali wachague CCM hiyo ni kampeni ya wazi.
Ni aibu Kwa Rais mzima aliyeapa kuilinda Katiba na Sheria za nchi, kuanza ujinga wa kampeni mapema. Je wenzako wafanye nini? Je na wao wafanye kampeni ya kuomba kuchaguliwa mwaka mmoja kabla ya uchaguzi?.
2. Inabidi utofautishe Ziara za kampeni na Ziara za kiserikali.
Wewe ni Rais wa Nchi, inabidi utofautishe kati ya Ziara ya kampeni na Ziara ya kiserikali. Hizi Ziara zako unazofanya huko Katavi na Rukwa ni Ziara za kiserikali, Kwa maana nyingine ni Ziara zinazo gharamiwa na Kodi za wananchi. Ni ujinga kutumia Kodi za wananchi kujipigia debe na kukipigia debe chama chako.
Nilishangaa sana ulipomlazimsha mbunge wa Nkasi kupitia CHADEMA mwanamama Aida Kenani kuanza na salamu ya CCM oye. Nikajiuliza hii ni Ziara ya Rais au Ziara ya chama Cha mapinduzi. Unamwambiaje mbunge aanze na salamu ya chama wakati ni Ziara ya kiserikali?. Ulipotoka sana.
Nikushauri tu, Kama unataka kujipigia debe basi anzisha Ziara za kichama na sio kutumia raslimali za Serikali na Kodi za wananchi kufanya makampeni yako ya kijinga. Yani utumie Magari ya Serikali na walinzi wa Serikali kujipigia kampeni? No please.
Pia soma: Kampeni za Uchaguzi 2025 zimeanza?
Nikushauri tu, hizi ni Ziara za kikazi zitumie kufanya kazi za Serikali , achana na huu ujinga unaoufanya wa kampeni, acha mara moja.
3. Tumia Ziara hizi kujibu maswali magumu ya watanzania.
Nikushauri ya kwamba kwa sababu upo kwenye Ziara ya kiserikali jaribu kutoa ufumbuzi kwa mambo yanayoendelea Tanzania. Jikite kwenye mambo ya msingi kama masuala ya utekaji, sukari, maji, mmonyoko wa maadili, malalamiko ya wafanyabiashara, ajira nk. Jikite huko na uongee na Raia na kusikiliza shida zao achana na vijembe havisaidii kwa Sasa watu Wana shida nyingi sana na hawaitaji vijembe vyako.
4. Mwisho punguza kauli za dharau na kiburi.
Unadai upinzani ni wachanga hawawezi kuongoza nchi. Nikuulize swali, mwaka 2015 CCM ilipata asilimia 57 ya Kura za Urais, Kwa maana nyingine wapinzani walipata asilimia 42, tofauti ya asilimia 15. Je hiyo tofauti ya asilimia 15% ni ya wachanga au wakubwa? Tena kwenye mfumo wa uchaguzi ambao unaifavour CCM.
Nijuzi tu hapa 2019, wagombea wa viti vya seriakali za mtaa wa upinzani waliondolewa kugombea kwa asilimia 80% mpaka wakaamua kususia uchaguzi wote na CCM kupata ushindi wa asilimia 95%.
Kama hiyo haitoshi, 2020 wagombea wa Ubunge wa vyama vya upinzani wakaondolewa tena kwenye kugombea Ubunge. Cha kusikitisha wengine wakiwa ni wabunge waliomaliza muda wao Kama mbunge Susan Kiwanga, aliondolewa kwenye kinyang'anyiro Cha Ubunge wakati alikuwa amehudumu kwa muda wa miaka mitano. Cha kusikitisha zaidi siku ya kupiga kura mtandao ukazimwa kwa wiki nzima, na ujinga mwingi kufanyika.
Nikuulize swali, je Kama upinzani ni wachanga kwanini mnatumia nguvu na mabavu kupambana nao. Yani wewe baba mzima wa miaka 60 unapigana na mtoto mchanga kwa kutumia rungu, huo sio utaahira?. Hivyo basi hakuna Cha mchanga Wala Mzee, kila kiongozi akiingia madarakani ataongozwa na Katiba iliyopo na sio umri wa miaka yake.
Niishie hapo
By Econonist.
Angalao wakati wa Kikwete kulikuwa na Demokrasia.Kikwete alianza kampeni 1995 kwa Uchaguzi wa 2005
Kawaida Sana 😂🔥🌹
Hili limama lina uchu wa madaraka ili liendelee kuuza rasilimali za Tanganyika. Liliaza kampeni tangu lilipoapishwa, linatumia mafisadi kuliweka kwenye mabango nchi nzima. Kwa tamaa hizi linapaswa kuogopwa kama ukomaHuyu Rais kaanza kampeni mapema kabla ya muda. Sijui anaogopa Nini? Tume ya Uchaguzi ni ya kwake, Polisi wa kwake, JWTZ wa kwake nk ila kaanza kampeni kabla ya muda.
Naomba nimpe Rais ushauri ufuatao;
1. Achana na kampeni kabla ya muda.
Wewe kama Rais wa Nchi unatakiwa kuwa namba moja Kwa kutii Sheria. Sheria ya uchaguzi inahitaji kampeni zifanyike kwenye muda wa kampeni na si vinginevyo. Rais unapopita huku na kule na kuwaambia wananchi wasiwachague wapinzani bado ni wachanga bali wachague CCM hiyo ni kampeni ya wazi.
Ni aibu Kwa Rais mzima aliyeapa kuilinda Katiba na Sheria za nchi, kuanza ujinga wa kampeni mapema. Je wenzako wafanye nini? Je na wao wafanye kampeni ya kuomba kuchaguliwa mwaka mmoja kabla ya uchaguzi?.
2. Inabidi utofautishe Ziara za kampeni na Ziara za kiserikali.
Wewe ni Rais wa Nchi, inabidi utofautishe kati ya Ziara ya kampeni na Ziara ya kiserikali. Hizi Ziara zako unazofanya huko Katavi na Rukwa ni Ziara za kiserikali, Kwa maana nyingine ni Ziara zinazo gharamiwa na Kodi za wananchi. Ni ujinga kutumia Kodi za wananchi kujipigia debe na kukipigia debe chama chako.
Nilishangaa sana ulipomlazimsha mbunge wa Nkasi kupitia CHADEMA mwanamama Aida Kenani kuanza na salamu ya CCM oye. Nikajiuliza hii ni Ziara ya Rais au Ziara ya chama Cha mapinduzi. Unamwambiaje mbunge aanze na salamu ya chama wakati ni Ziara ya kiserikali?. Ulipotoka sana.
Nikushauri tu, Kama unataka kujipigia debe basi anzisha Ziara za kichama na sio kutumia raslimali za Serikali na Kodi za wananchi kufanya makampeni yako ya kijinga. Yani utumie Magari ya Serikali na walinzi wa Serikali kujipigia kampeni? No please.
Pia soma: Kampeni za Uchaguzi 2025 zimeanza?
Nikushauri tu, hizi ni Ziara za kikazi zitumie kufanya kazi za Serikali , achana na huu ujinga unaoufanya wa kampeni, acha mara moja.
3. Tumia Ziara hizi kujibu maswali magumu ya watanzania.
Nikushauri ya kwamba kwa sababu upo kwenye Ziara ya kiserikali jaribu kutoa ufumbuzi kwa mambo yanayoendelea Tanzania. Jikite kwenye mambo ya msingi kama masuala ya utekaji, sukari, maji, mmonyoko wa maadili, malalamiko ya wafanyabiashara, ajira nk. Jikite huko na uongee na Raia na kusikiliza shida zao achana na vijembe havisaidii kwa Sasa watu Wana shida nyingi sana na hawaitaji vijembe vyako.
4. Mwisho punguza kauli za dharau na kiburi.
Unadai upinzani ni wachanga hawawezi kuongoza nchi. Nikuulize swali, mwaka 2015 CCM ilipata asilimia 57 ya Kura za Urais, Kwa maana nyingine wapinzani walipata asilimia 42, tofauti ya asilimia 15. Je hiyo tofauti ya asilimia 15% ni ya wachanga au wakubwa? Tena kwenye mfumo wa uchaguzi ambao unaifavour CCM.
Nijuzi tu hapa 2019, wagombea wa viti vya seriakali za mtaa wa upinzani waliondolewa kugombea kwa asilimia 80% mpaka wakaamua kususia uchaguzi wote na CCM kupata ushindi wa asilimia 95%.
Kama hiyo haitoshi, 2020 wagombea wa Ubunge wa vyama vya upinzani wakaondolewa tena kwenye kugombea Ubunge. Cha kusikitisha wengine wakiwa ni wabunge waliomaliza muda wao Kama mbunge Susan Kiwanga, aliondolewa kwenye kinyang'anyiro Cha Ubunge wakati alikuwa amehudumu kwa muda wa miaka mitano. Cha kusikitisha zaidi siku ya kupiga kura mtandao ukazimwa kwa wiki nzima, na ujinga mwingi kufanyika.
Nikuulize swali, je Kama upinzani ni wachanga kwanini mnatumia nguvu na mabavu kupambana nao. Yani wewe baba mzima wa miaka 60 unapigana na mtoto mchanga kwa kutumia rungu, huo sio utaahira?. Hivyo basi hakuna Cha mchanga Wala Mzee, kila kiongozi akiingia madarakani ataongozwa na Katiba iliyopo na sio umri wa miaka yake.
Niishie hapo
By Econonist.
Wewe nadhani kwenye ubongo wako kuna kinyesi cha waarabu, hujui kitu zaidi ya udiniwl wa kijingaM Sha Allah mama anatawala Kiislam kabisa, lazima ajuwe raia zake wakoje.
Kitu cha kwanaza anachokipigania mama toka aingie madarakani ni chakula, raia washibe. Huo ndiyo Uislam.
Ma Sha Allah mama anatawala Kiislam kabisa, kimya kimya anafanya mabo yake, bila kelele bila kujimwambafai hata akitukanwa.Wewe nadhani kwenye ubongo wako kuna kinyesi cha waarabu, hujui kitu zaidi ya udiniwl wa kijinga
ni vizuri na muhimu sana mh.Rais Dr Samia Suluhu Hassan akaachwa arudishe feedback ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 kwa wanaichi iliyofanya wanainchi wakaiamini na kuichagua CCM kushika dollar, kuunda Serikali na kuongoza nchi na waTanzania wote...Huyu Rais kaanza kampeni mapema kabla ya muda. Sijui anaogopa Nini? Tume ya Uchaguzi ni ya kwake, Polisi wa kwake, JWTZ wa kwake nk ila kaanza kampeni kabla ya muda.
Naomba nimpe Rais ushauri ufuatao;
1. Achana na kampeni kabla ya muda.
Wewe kama Rais wa Nchi unatakiwa kuwa namba moja Kwa kutii Sheria. Sheria ya uchaguzi inahitaji kampeni zifanyike kwenye muda wa kampeni na si vinginevyo. Rais unapopita huku na kule na kuwaambia wananchi wasiwachague wapinzani bado ni wachanga bali wachague CCM hiyo ni kampeni ya wazi.
Ni aibu Kwa Rais mzima aliyeapa kuilinda Katiba na Sheria za nchi, kuanza ujinga wa kampeni mapema. Je wenzako wafanye nini? Je na wao wafanye kampeni ya kuomba kuchaguliwa mwaka mmoja kabla ya uchaguzi?.
2. Inabidi utofautishe Ziara za kampeni na Ziara za kiserikali.
Wewe ni Rais wa Nchi, inabidi utofautishe kati ya Ziara ya kampeni na Ziara ya kiserikali. Hizi Ziara zako unazofanya huko Katavi na Rukwa ni Ziara za kiserikali, Kwa maana nyingine ni Ziara zinazo gharamiwa na Kodi za wananchi. Ni ujinga kutumia Kodi za wananchi kujipigia debe na kukipigia debe chama chako.
Nilishangaa sana ulipomlazimsha mbunge wa Nkasi kupitia CHADEMA mwanamama Aida Kenani kuanza na salamu ya CCM oye. Nikajiuliza hii ni Ziara ya Rais au Ziara ya chama Cha mapinduzi. Unamwambiaje mbunge aanze na salamu ya chama wakati ni Ziara ya kiserikali?. Ulipotoka sana.
Nikushauri tu, Kama unataka kujipigia debe basi anzisha Ziara za kichama na sio kutumia raslimali za Serikali na Kodi za wananchi kufanya makampeni yako ya kijinga. Yani utumie Magari ya Serikali na walinzi wa Serikali kujipigia kampeni? No please.
Pia soma: Kampeni za Uchaguzi 2025 zimeanza?
Nikushauri tu, hizi ni Ziara za kikazi zitumie kufanya kazi za Serikali , achana na huu ujinga unaoufanya wa kampeni, acha mara moja.
3. Tumia Ziara hizi kujibu maswali magumu ya watanzania.
Nikushauri ya kwamba kwa sababu upo kwenye Ziara ya kiserikali jaribu kutoa ufumbuzi kwa mambo yanayoendelea Tanzania. Jikite kwenye mambo ya msingi kama masuala ya utekaji, sukari, maji, mmonyoko wa maadili, malalamiko ya wafanyabiashara, ajira nk. Jikite huko na uongee na Raia na kusikiliza shida zao achana na vijembe havisaidii kwa Sasa watu Wana shida nyingi sana na hawaitaji vijembe vyako.
4. Mwisho punguza kauli za dharau na kiburi.
Unadai upinzani ni wachanga hawawezi kuongoza nchi. Nikuulize swali, mwaka 2015 CCM ilipata asilimia 57 ya Kura za Urais, Kwa maana nyingine wapinzani walipata asilimia 42, tofauti ya asilimia 15. Je hiyo tofauti ya asilimia 15% ni ya wachanga au wakubwa? Tena kwenye mfumo wa uchaguzi ambao unaifavour CCM.
Nijuzi tu hapa 2019, wagombea wa viti vya seriakali za mtaa wa upinzani waliondolewa kugombea kwa asilimia 80% mpaka wakaamua kususia uchaguzi wote na CCM kupata ushindi wa asilimia 95%.
Kama hiyo haitoshi, 2020 wagombea wa Ubunge wa vyama vya upinzani wakaondolewa tena kwenye kugombea Ubunge. Cha kusikitisha wengine wakiwa ni wabunge waliomaliza muda wao Kama mbunge Susan Kiwanga, aliondolewa kwenye kinyang'anyiro Cha Ubunge wakati alikuwa amehudumu kwa muda wa miaka mitano. Cha kusikitisha zaidi siku ya kupiga kura mtandao ukazimwa kwa wiki nzima, na ujinga mwingi kufanyika.
Nikuulize swali, je Kama upinzani ni wachanga kwanini mnatumia nguvu na mabavu kupambana nao. Yani wewe baba mzima wa miaka 60 unapigana na mtoto mchanga kwa kutumia rungu, huo sio utaahira?. Hivyo basi hakuna Cha mchanga Wala Mzee, kila kiongozi akiingia madarakani ataongozwa na Katiba iliyopo na sio umri wa miaka yake.
Niishie hapo
By Econonist.
Aiseeeeee!!!tumejipanga na huyu kauli mbiu yake
View attachment 3045473
Kuna mdau humu kaandika kwamba Mama anasafiri na Wahudhuriaji, magari 200 kila gari lina watu 6 hadi 8, wakishuka hao ni wangapi? Ongeza na msafara wa DC, DAS,RC,RAS, OCD, RPC.Uchaguz uwe waz na huru tuone ...kama kwel anakubalika kuna watu hapo wamefuata kumuona alivo