Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Kama ndo mnataka mbembelezwe basi mana shida kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And your point is?!Mama anafungua nchi!
Mama anarudisha hela mtaani ili sisi mibavicha tuwe tunaziokota
Mama anaupiga mwingi sana! Uchumi uko juu, mafuta bei chini, bidhaa bei chini.
Mama anawakomesha mataga, sukuma gng na kufuta legacy.
Bashiru na Polepole wanakiona cha moto.
Nasubiri katuni ya kipanya
My point is.. Mi 10 tena kwa mama!And your point is?!
Eeehhh...c mlisema anaupiga mwingii..sasa anashambulia kwenye goli lenu..kazi kwenu..mkizubaaa anawafungaa nyingii tuuu...Mahojiano na salim kikeke.
Inaonekana rais yupo nyuma ya hii yote. Na yoote yanayofanyika anaangalia tuu....
Anyway Leo ndo nimemjua rais tulienae
Yaani wewe ndio unajua zaidi ya rais?Hivi Mbowe alijificha lini Nairobi?
Mama anajua kuwa kusema uongo ni dhambi??
Kwani ulikuwa hujamuelewa tu,tofauti ya watu wa pwani na Bara ni moja tu,kutokuremba maneno,ila tulikibaliana Mama anaupiga mwingi🤣🤣🤣🤣Mahojiano na salim kikeke.
Inaonekana rais yupo nyuma ya hii yote. Na yoote yanayofanyika anaangalia tuu....
Anyway Leo ndo nimemjua rais tulienae
Mwenyekiti yoyote wa sisiemu ni kuhakikisha chama hakimfii yeye...samia sio exceptionalHuyu mwanamke alkuwa mtu poa,ila knachomponza ni uchu wa madaraka,anataka tena 2025 atoboe.
Pia kuna ile itikad ya ccm,inayomtaka mwanachama kukipigia chama kwa namna yoyote ile ili kibakie madarakani
Kipanya hawezi mchora vibaya huyo mama tangia aanze kumjua Mungu na kusali sana🤣🤣🤣🤣Nasubiri katuni ya kipanya
Leo hiii Samia kashakua dikteta😅😅Muulizeni Dikteta Samia kuna ubaya gani kudai katiba?
Kikwete alitaka kukiuua kukubali katiba mpya,sjui baadae walimkarisha mara akabadilikaMwenyekiti yoyote wa sisiemu ni kuhakikisha chama hakimfii yeye...samia sio exceptional
Mahojiano yenyewe yapo wapi tuyaoneMahojiano na salim kikeke.
Inaonekana rais yupo nyuma ya hii yote. Na yoote yanayofanyika anaangalia tuu....
Anyway Leo ndo nimemjua rais tulienae
Tatizo lenu mlihisi yeye sio CCM.Huyu mwanamke alkuwa mtu poa,ila knachomponza ni uchu wa madaraka,anataka tena 2025 atoboe.
Pia kuna ile itikad ya ccm,inayomtaka mwanachama kukipigia chama kwa namna yoyote ile ili kibakie madarakani