Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Na bado utamjua zaidi na hata ukimjua haitakusaidia kituMahojiano na salim kikeke.
Inaonekana rais yupo nyuma ya hii yote. Na yoote yanayofanyika anaangalia tuu....
Anyway Leo ndo nimemjua rais tulienae
Hapo kabla ya msiba huyu malyenge alikua hapo Nairobi akasema alikua Dubai mara nchi za nje Ughaibuni kufanya biashara mara marehemu mwenda zake kafa huyo karudi na malyenge yake mara kaanza tena katiba Mpya lazima!Angesema Lisu alijificha Nairobi ningemuelewa. Lakini Mbowe mbona ametoka msibani kisha akaenda Mwanza, unasemaje huyu mtu alijificha.
Pia kudai Katiba wala hakujaanza mwaka huu.
Nami ndio nashangaa.Kwani ni dhambi kuanza harakati za katiba mpya?
..Mbona kila mtu alimuona Mbowe alipokuwa Nairobi?
..Na alifanya mahojiano na vyombo vya habari vya nchini Kenya.
..hebu tuleteeni taarifa nzima tujiridhishe kuwa kweli Rais amesema hiki mnachoripoti.
Bila kuzunguka mbuyu hili si jepesi kwa Mbowe. Nafikiri chama kijipange tofauti na waache mihemko! Kitu kimesukwa kiustadi mno. Mama kaongea kilaini lakini kuna ujumbe mzito katuma.
Mama kapulizia dawa ya rungu katika banda la ufipa,mende wanatapatapa ππππ Miezi mitatu hawa Chagadema walitupa shida sana, walianza kutukanana na kuwapa watu majina ya maajabu,mala Matanga,mala Sukuma gang.Mama haupigi mwingi tena?nawauliza nyie bavicha
[emoji23][emoji23]
Madhara ya mke wa 3 kuwa mtawala wa nyumba ndiyo haya sasa nyumba hata ikiungua moto yeye hajali
Hawa si walisema chanjo haifai leo inafaa.... Hawa hawa walisema Hakuna corona ila leo wanaikiri. Ndio wakisema Mbowe ni gaidi tuwaamini??Sasa nimeamini, Mbowe anakesi ya kujibu!!
Mh Raisi hawezi, hawezi, nasema tena hawezi kuwa na malumbano na Mbowe bila kuwepo hicho kilichopo kwa Mbowe, Chadema watulie tulii, mbowe ajibu
Kwa kweli ikulu imepatwa. Huyu nadhani stahili yake haikuwa zaidi ya uDC.Mahojiano ya leo yamemchafua kabisa hata akikaa kusikiliza....mh
Kaongea kama rais mwenye mamlaka...safi sana mh. Rais! Hamna kuremba, endelea kukabia juu tutafika tuMahojiano ya leo yamemchafua kabisa hata akikaa kusikiliza....mh
Waseme Ili wamsitue walikuwa wanamlia timing tuu aingie 18 ππππPolisi na CCM huwa wanasaidiana kufichiana aibu. hii kauli ya Samia na ile ya Sirro ukiangalia kwa makini utaona wote wana mtazamo unaofanana.
Kama Mbowe alijificha Nairobi waliwahi kusema? kuna Interpol kwanini hawakutangaza ili wasaidiwe kumtafuta?
Nashawishika kuamini Rais ameongea uongo, analeta propaganda kwenye haki za binadamu, kusema Mbowe alijificha Nairobi wakati muda wote alikuwa Dsm na Moshi kumzika ndugu yake ni maneno ya kisiasa tu.
Hiyo kesi ilikuwepo tokea siku ya matokeo kutangazwa eti walipanga kulipua vituo ghafla akaachiwa yeye na Boniface Jacob!! Eti leo ndio ushahidi unapatikana baada ya kudai katiba??Yawezekana Mbowe asiwe gaidi, ila kwamba kila kitu hawezi kufanya.
Wewe ni bodyguard wa Mbowe kwamba kula sehemu unakuwa nae? Au labda wewe ni mke wake kwamba lazima akuage kila anapokwenda?
System za usalama za Kenya naza hapa Tz zilithibitisha hilo, tuletee data zako zinazoonyesha kuwa huo ni uongo. Yaani Rais atasingizia kwa kutaja jina la nchi nyingine kizembe tu etieee[emoji23].
HahahahaHapo kabla ya msiba huyu malyenge alikua hapo Nairobi akasema alikua Dubai mara nchi za nje Ughaibuni kufanya biashara mara marehemu mwenda zake kafa huyo karudi na malyenge yake mara kaanza tena katiba Mpya lazima!
Mama atuite ikulu alipomaliza tu msiba wa kakaake.
Ndo haya yanatokea sasa sijui wa kulaumiwa nani?
Akili yangu hii ya shule Mlimba huko St Kanumba mama yenu atabadili vipi katiba wakati itatakiwa aondoke pia.
Manyumbu yanalishwa matango pori badala yakae home kula ugali kwao yanaenda kuandamana eti Free Man Mbowe,hilo ni jina lake pumbavu nyie
Ndyo ashakua rais hivyo ndg kama inauma chomoaMadhara ya mke wa 3 kuwa mtawala wa nyumba ndiyo haya sasa nyumba hata ikiungua moto yeye hajali.