Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Yawezekana Mbowe asiwe gaidi, ila kwamba kila kitu hawezi kufanya.Hivi Mbowe alijificha lini Nairobi?
Hivi Mama anajua kuwa kusema uongo ni dhambi??
Wewe ni bodyguard wa Mbowe kwamba kula sehemu unakuwa nae? Au labda wewe ni mke wake kwamba lazima akuage kila anapokwenda?
System za usalama za Kenya naza hapa Tz zilithibitisha hilo, tuletee data zako zinazoonyesha kuwa huo ni uongo. Yaani Rais atasingizia kwa kutaja jina la nchi nyingine kizembe tu etieee[emoji23].