Rais Samia: Mbowe alijificha Nairobi aliporudi akaanza harakati za madai ya Katiba, nadhani ni Calculation akijua kwamba ana kesi

Rais Samia: Mbowe alijificha Nairobi aliporudi akaanza harakati za madai ya Katiba, nadhani ni Calculation akijua kwamba ana kesi

Hapo mama kachemka kweli hao alioshitakiwa nao mbowe ambak wameshahukumiwa ni akina nani?
 
Polisi na CCM huwa wanasaidiana kufichiana aibu. hii kauli ya Samia na ile ya Sirro ukiangalia kwa makini utaona wote wana mtazamo unaofanana.

Kama Mbowe alijificha Nairobi waliwahi kusema? kuna Interpol kwanini hawakutangaza ili wasaidiwe kumtafuta?

Nashawishika kuamini Rais ameongea uongo, analeta propaganda kwenye haki za binadamu, kusema Mbowe alijificha Nairobi wakati muda wote alikuwa Dsm na Moshi kumzika ndugu yake ni maneno ya kisiasa tu.

Mama anaelekea kukwama. Sasa kama hiz taarifa ameamu kuziweka ktk muktadha huu maelekezo hayo ni hakika

Kwa hiyo walio nnje kwasababu wao hawatafuti cover ya chochote je waendelee na madai ya katiba mpya?
 
Hiyo kesi ilikuwepo tokea siku ya matokeo kutangazwa eti walipanga kulipua vituo ghafla akaachiwa yeye na Boniface Jacob!! Eti leo ndio ushahidi unapatikana baada ya kudai katiba??

Btw Mbowe alikua Kenya na kina Mudavadi na Lissu na ile convention ilikua public kabisa na akarejea bongo. Sasa kujificha huko ndio vipi?? Alishiriki chadema dijitali mwezi mzima.... Akaenda kanda zote.... Kaenda kwa mazishi.... Kahudhuria kongamano la katiba ndio eti alikua anajificha??

Huyu mama ni shetani na anguko lake linakaribia
Wewe toka povu kwa kuingia ktk mtego wa mbowe ila rais kaongea kama mtu ambaye ameshapewa intels zote na kaamua utawala wake usiwe chaka la mbowe...
 
Mama ogopa Mungu wako aliyekuumba .... tunaweza kukusahau kama vile yule mtemi - mtangulizi wako..aliyefikiri dunia yote ni yake...ogopa sana maombi ya watanzania...yana nguvu za ajabu.

Mbowe huyu mmemvunjia bilicanas - akakaa kimya
Mbowe huyu mkalima saba lake la mbogamboga kumkomoa - akakaa kimya
Mbowe huyu mkambambikizia kodi ya ajabu kwenye hotel yake - akakaa kimya
Mbowe huyu mkampa kesi ya kumuua Akwilina - akashinda kesi na akabakia kimya
Mbowe huyu mkamvunja mguu ili kumtisha aachane na siasa za upinzani - akakaa kimya
Mbowe huyu huyu mkamfungia account zake zote kwa miaka 3 na ushee - akakaà kimya
.
Sasa kama haitoshi leo wewe na wenzako mmeamua kumpa kabisa UGAIDI ili kunyamazisha...hamtaweza.

CCM muogopeni Mungu wako..kudai katiba ndiyo ugaidi...
Mungu atashughulika na ninyi wote na familia zenu..wala si muda mrefu atatoa majibu ya maombi yetu..cha msingi tusije kulaumiana.

Mungu wa mbinguni huwa hadhihakiawi kamwe
 
Mbowe siyo gaidi
IMG_20210809_145256_076.jpg
 
Polisi na CCM huwa wanasaidiana kufichiana aibu. hii kauli ya Samia na ile ya Sirro ukiangalia kwa makini utaona wote wana mtazamo unaofanana.

Kama Mbowe alijificha Nairobi waliwahi kusema? kuna Interpol kwanini hawakutangaza ili wasaidiwe kumtafuta?

Nashawishika kuamini Rais ameongea uongo, analeta propaganda kwenye haki za binadamu, kusema Mbowe alijificha Nairobi wakati muda wote alikuwa Dsm na Moshi kumzika ndugu yake ni maneno ya kisiasa

Kuna anaekataa kuwa Mbowe hakukimbilia Kenya?
Yaani mtu kwenda kupumzika wewe jinga unasema kakimbia?
Kwani Mbowe ni mara ya kwanza kwenda Kenya au nje ya nchi na mara zote hizo huwa anakimbia kesi?? Kwa ushirikiano uliopo kati ya Tz na Kenya mbona ni rahisi sana kumkamata gaidi au mtuhumiwa yeyote anayehitajika pindi awapo Kenya.
Ni akili za ajabu sana hizi.Tumieni ubongo kufiki na sio kiungo kingine.!!
 
Yaani mtu kwenda kupumzika wewe jinga unasema kakimbia?
Kwani Mbowe ni mara ya kwanza kwenda Kenya au nje ya nchi na mara zote hizo huwa anakimbia kesi?? Kwa ushirikiano uliopo kati ya Tz na Kenya mbona ni rahisi sana kumkamata gaidi au mtuhumiwa yeyote anayehitajika pindi awapo Kenya.
Ni akili za ajabu sana hizi.Tumieni ubongo kufiki na sio kiungo kingine.!!
Wakati baba yake Mbowe anadai uhuru wa nchi yetu hii baba za wengine walikuwa wanawapikia chai wakoloni.. ( chawa)

Leo wanageuka na kumwita ati Mbowe Gaidi ...
 
Kuna vitu ambavyo sisi tulioko huku chini hatuvijui na kamwe hatuwezi kuvijua,sema tu kuna mahala inahitajika busara kwa mamlaka zinazohusika kuamua the way forward ili maisha yaendelee kwa commitment ya muhusika /taasisi kutorudia tena.
 
Kuna vitu ambavyo sisi tulioko huku chini hatuvijui na kamwe hatuwezi kuvijua,sema tu kuna mahala inahitajika busara kwa mamlaka zinazohusika kuamua the way forward ili maisha yaendelee kwa commitment ya muhusika /taasisi kutorudia tena.
Maza kashachemka...be straight.
 
Back
Top Bottom