Rais Samia, mfute kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, mzungu naye akamatwe na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi

Janabi huyu Katibu mkuu mtarajiwa?
 
Enzi za Jasiri Dr Slaa haya mambo ya Mamba mkubwa kuliko wote Duniani kuuwawa yangeibuliwa Mapema Sana ila hii Chadema ya sasa yote imevimbewa inaachilia hewa nzito nzito tu

Yesu akasema ole wenu mnaocheka sasa maana baadae mtalia
Jinga kubwa! Kwani huyo mamba angeishi maisha bila kufa!
Sinibora inchi imeingiza kipato hata kama kidogo, kuliko mwisho wasiku angekula watu na baadaye yeye kufa kwa amri ya mungu inchi ingeambulia nini?
Tafadhali usitupotezee muda alaa! [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Slaa angemuona kabla hajauliwa wakati jamaa ndo analenga shabaha au?

Kwani huyu si imeibuliwa baada ya kifo chake tu?

Hata hivyo kwanini mnahusisha kuibuliwa haya makashfa na chadema, ccm wao hawawezi kulalamika kwa vitu kama hivi?
😂😂😂😂🌟
 
New member 😂😂😂😂🌟
 
Nchi gani ambayo ilibadilisha uongozi wa kivyama ilibaki pale pale?
 
Yaaan ww box sana kwan hakuna vyanzo vya kupata pesa zaidi ya mamba kweli CCM HOVYO
 
Enzi za Jasiri Dr Slaa haya mambo ya Mamba mkubwa kuliko wote Duniani kuuwawa yangeibuliwa Mapema Sana ila hii Chadema ya sasa yote imevimbewa inaachilia hewa nzito nzito tu

Yesu akasema ole wenu mnaocheka sasa maana baadae mtalia
lakini yule mamba hajafa mbona
 
Enzi za Jasiri Dr Slaa haya mambo ya Mamba mkubwa kuliko wote Duniani kuuwawa yangeibuliwa Mapema Sana ila hii Chadema ya sasa yote imevimbewa inaachilia hewa nzito nzito tu

Yesu akasema ole wenu mnaocheka sasa maana baadae mtalia
CHADEMA si kwamba hawaoni. Wameamua kuwaachia wananchi waendelee kupambana na maisha yao wanayoyapenda. Kwani umesikia wamezungumza chochote hata kwenye kuongezeka kwa bei (Bidhaa, nauli n.k)
 

Na wapo vibaraka wao hapa wanatetea kwa mamba adhimu kama huyo kuuawa!!
 
Enzi za Jasiri Dr Slaa haya mambo ya Mamba mkubwa kuliko wote Duniani kuuwawa yangeibuliwa Mapema Sana ila hii Chadema ya sasa yote imevimbewa inaachilia hewa nzito nzito tu

Yesu akasema ole wenu mnaocheka sasa maana baadae mtalia
Lakini wakikwambia ingia barabarani unajificha uchochoroni Leo unalaumu wanaokupa mbinu za kudai haki. Hakika we ni zuzu kama watanzania wenzio
 
Enzi za Jasiri Dr Slaa haya mambo ya Mamba mkubwa kuliko wote Duniani kuuwawa yangeibuliwa Mapema Sana ila hii Chadema ya sasa yote imevimbewa inaachilia hewa nzito nzito tu

Yesu akasema ole wenu mnaocheka sasa maana baadae mtalia

Usipende kumtaja Yesu Kristo kwenye mambo yasiyokuwa na maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…