Rais Samia Mgeni Rasmi Maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Agosti 21, 2023

Rais Samia Mgeni Rasmi Maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Agosti 21, 2023

Mmeuza mali zenu kishenzi kwa bei ya kutupa mnataka kugawa bandari kwa wajomba? Pelekeni ushenzi wenu huko!
Mali gani tumeuza ?

East Africa Muslim Welfare ndio jumuiya ya Waislam, ilivunjwa na Serikali na Serikali ikaunda Bakwata, Bakwata Ikiuza Mali za Waislam badala ya Kulaumu Serikali unalaumu Waislam ulivyojaa chuki kifuani

Jumuiya ya Wazazi ( CCM) ikiuza Shule ilizopora za Umma uende kumlaumu Baba yako kwa kuwa nae ni Mzazi?
 
Mali gani tumeuza ?

East Africa Muslim Welfare ndio jumuiya ya Waislam, ilivunjwa na Serikali na Serikali ikaunda Bakwata, Bakwata Ikiuza Mali za Waislam badala ya Kulaumu Serikali unalaumu Waislam ulivyojaa chuki kifuani

Jumuiya ya Wazazi ( CCM) ikiuza Shule ilizopora za Umma uende kumlaumu Baba yako kwa kuwa nae ni Mzazi?
Serikali ndo imeuza mali za Bakwata? Zile nyumba zote na viwanja imeuza serikali? Hela zimeliwq na serikali? Mkiambiwa ukweli mnasema chuki kubalini hamna akili na ni wadhaifu sana msioweza kujisimamia!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 60 Ya Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yatakayofanyika Jumatatu tarehe 21 Agosti 2023 katika Chuo cha Tumaini Makumira mkoani Arusha.

Mwenyeji wa Rais Samia anatarajiwa kuwa Mkuu wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo
View attachment 2722805
Kama vp na yy ateme Nyongo kama pale Mara..,
 
Imeisha kitu gani?

Mamako mwenyewe hapo hajiamini, anajua anaweza kuondoka hapo, nyuma jamaa wanatoa tamko lao na kupinga ule mkataba wa hovyo wa bandari.

Usichokijua, hii issue ya kuhudhuria inakuwa imeshapangwa muda mrefu, kwa hiyo kinachotokea hapo hakikutarajia kama hali ya kisiasa itakuwa kama ilivyo kwa sasa nchini, na hakiwezi kubadilisha msimamo wa KKKT juu ya kile walichopanga kuongea kuhusu ule mkataba wa hovyo.
Uhovyo wa mkataba uko wapi, tamko Zima la tec mbona hawajasema uhovyo wake zaidi ya kutetea interests zao tu zisipokonywe!!
 
Serikali ndo imeuza mali za Bakwata? Zile nyumba zote na viwanja imeuza serikali? Hela zimeliwq na serikali? Mkiambiwa ukweli mnasema chuki kubalini hamna akili na ni wadhaifu sana msioweza kujisimamia!
Ukiona kelele zinazidi Jua umegusa kwenyewe

Kupitisha bidhaa za kibiashara kwa mgongo wa Taasisi za kidini umepatikana muarobaini wake
 
Kuna watu may be umri wao mdogo, ama wajinga au wapo kwny Propaganda

Makanisa mara zote huwa wanatoa matamko makali sana ma Rais wa Nchi wanapokuwa sio watu wa dini yao baada ya m

Wadanganyeni usafi wenu Waumini ila dola inawajua vizuri sana
Kama ilivyo hata shetan ana mazuri yake. Tujikite kwenye hoja kwa maslahi mapana ya taifa bila kuzingatia aliyesema ni mzinzi, mchawi, mshirikina, kafiri, muislam, mkristo, mlawiti, shetani mradi kuna hoja yenye manufaa.
 
Kuna watu may be umri wao mdogo, ama wajinga au wapo kwny Propaganda

Makanisa mara zote huwa wanatoa matamko makali sana ma Rais wa Nchi wanapokuwa sio watu wa dini yao baada ya muda maisha yanaendelea kama kawaida

kwa waliopevuka kiakili baada ya uchaguzi wa 2010 may be naweza kuwajulisha kuwa Kanisa lilitembea bega kwa bega na Katibu wao wa zamani Wilbroad Slaa kuhakikisha wanamuangusha Rais Jakaya Kikwete

Walitoa Waraka nyakati za Kampeni kutaka Wakristo wote wachague Mgombea Mchamungu ( Dr Slaa) lakini kama ilivyo kawaida yetu Raia wa kawaida…tunawasikiliza Viongozi wetu wachochezi, tunawashangilia lakini ikifika wakati wa Maamuzi huwa tunaamua kwa Maslahi ya Nchi yetu

Waraka umesomwa utajadiliwa na utakuwa talk of the town kwa wiki kadhaa baada ya hapo Maisha yataendelea kama kawaida.

kama kuna Mtu ana rekodi ingependeza sana angetuwekea ma nyaraka kadhaa yanayotolewa na kanisa yaliwahi kumtisha Rais gani wa Nchi hii?

Tena kile ki Mzee Mwinyi ndio Hatare kabisa …anawasikiliza mnavyomtukana vyema sana na hata ikibidi anaweza akawaomba radhi lakini akitoka hapo anaendelea na mambo yake kama kawaida

Alimfanyia hivyo Nyerere kwny kufuta Azimio la Arusha na kuruhusu Uhuru wa watu kujieleza …kanisa nalo likamsakama sana lakini aliwaheshimu sana lakini hakuruhusu wachezee Mamlaka yake ya ki dola, the same to Mwana kijiji mwenzangu wa Msoga …tena mnakutana kwny Vikao mnampangia mikakati, kabla ya kutoa press release ya Waraka tayari yeye ana nakala kupitia Wandani wake waliopo Kanisani

Dola inazijua sana Taasisi za kidini pamoja na mapungufu yake, hayati JPM alipoanzisha heka heka ya vyeti feki na kukagua Fedha za Serikal kila eneo ikiwemo zinazokwenda kwny Taasisi za Kidini alikutana na Madudu mengi sana hadi Yule Sister Mkuu wa Idara ya Fedha na Bajeti wa pale Bugando alijirusha kutoka ghorofani na kufariki papo hapo

Wadanganyeni usafi wenu Waumini ila dola inawajua vizuri sana
Umemaliza kila kitu mwamba
 
Kuna watu may be umri wao mdogo, ama wajinga au wapo kwny Propaganda

Makanisa mara zote huwa wanatoa matamko makali sana ma Rais wa Nchi wanapokuwa sio watu wa dini yao baada ya muda maisha yanaendelea kama kawaida

kwa waliopevuka kiakili baada ya uchaguzi wa 2010 may be naweza kuwajulisha kuwa Kanisa lilitembea bega kwa bega na Katibu wao wa zamani Wilbroad Slaa kuhakikisha wanamuangusha Rais Jakaya Kikwete

Walitoa Waraka nyakati za Kampeni kutaka Wakristo wote wachague Mgombea Mchamungu ( Dr Slaa) lakini kama ilivyo kawaida yetu Raia wa kawaida…tunawasikiliza Viongozi wetu wachochezi, tunawashangilia lakini ikifika wakati wa Maamuzi huwa tunaamua kwa Maslahi ya Nchi yetu

Waraka umesomwa utajadiliwa na utakuwa talk of the town kwa wiki kadhaa baada ya hapo Maisha yataendelea kama kawaida.

kama kuna Mtu ana rekodi ingependeza sana angetuwekea ma nyaraka kadhaa yanayotolewa na kanisa yaliwahi kumtisha Rais gani wa Nchi hii?

Tena kile ki Mzee Mwinyi ndio Hatare kabisa …anawasikiliza mnavyomtukana vyema sana na hata ikibidi anaweza akawaomba radhi lakini akitoka hapo anaendelea na mambo yake kama kawaida

Alimfanyia hivyo Nyerere kwny kufuta Azimio la Arusha na kuruhusu Uhuru wa watu kujieleza …kanisa nalo likamsakama sana lakini aliwaheshimu sana lakini hakuruhusu wachezee Mamlaka yake ya ki dola, the same to Mwana kijiji mwenzangu wa Msoga …tena mnakutana kwny Vikao mnampangia mikakati, kabla ya kutoa press release ya Waraka tayari yeye ana nakala kupitia Wandani wake waliopo Kanisani

Dola inazijua sana Taasisi za kidini pamoja na mapungufu yake, hayati JPM alipoanzisha heka heka ya vyeti feki na kukagua Fedha za Serikal kila eneo ikiwemo zinazokwenda kwny Taasisi za Kidini alikutana na Madudu mengi sana hadi Yule Sister Mkuu wa Idara ya Fedha na Bajeti wa pale Bugando alijirusha kutoka ghorofani na kufariki papo hapo

Wadanganyeni usafi wenu Waumini ila dola inawajua vizuri sana
Pohamba umeandika busara za kiuutu uzima. Kila kitu kinatii namna muda unavyopita. Ni nguvu ya Mungu pekee isiyotii kupita kwa kasi kwa muda.

Suala likishapita bungeni na likajadiliwa na kupigiwa kura na wabunge zaidi ya mia tatu tayari ni sheria inayoweza kutumika.

Walichofanya TEC ni sawa na maagizo ya Yesu kwamba mkiingia kwenye mji na wakawakataa basi nyinyi panguseni viatu vyenu na muondoke mahali hapo, wamejivua uhusika wa lolote litakalotokea huko mbele ya safari na ni agizo kwa waumini wote makanisani kwamba wasijihusishe na hiyo biashara.

Tunarudi kule kule kwenye busara ya namna muda unavyopita kwa kasi.
 
sisi waislamu mnatuchangaya sasa, hatujui tufanye nini.

tuwajibu kwanza wakatoliki kupitia ule walaka wao au tuvute subira kusubiri tamko la KKKT then tutoe kauli za jumla jumla?.
 
Ukiona kelele zinazidi Jua umegusa kwenyewe

Kupitisha bidhaa za kibiashara kwa mgongo wa Taasisi za kidini umepatikana muarobaini wake
Mbona unapinda pinda? Nimekuuliza serikali ndo imeuza mali za bakwata mbona unakimbia swali na kudakia vihoja vya kipumbavu?
 
Mbona unapinda pinda? Nimekuuliza serikali ndo imeuza mali za bakwata mbona unakimbia swali na kudakia vihoja vya kipumbavu?
Serikali ndio Bakwata, sijajibu swali hilo kwa kuwa jibu lake ni obvious
 
Acha ujinga we kima mmeuza mali kwa tamaa zenu na bei ya kutupa leo mmebaki kama hayawani!!
Tatizo lako una jazba, matusi ya nini?

Jumuiya ya Waislam iliyokuwepo ilivunjwa na dola, na Dola ikaanzisha Bakwata na kuwapa Vipenyo kuendesha Bakwata kuanzia 1960s mwishoni mpaka leo?

ina maana unajifanya hujui kuwa kilio kikuu cha Waislam ni Bakwata kutambulika kama jumuiya ya Waislam wakati haina baraka za Waislam wenyewe ?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 60 Ya Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yatakayofanyika Jumatatu tarehe 21 Agosti 2023 katika Chuo cha Tumaini Makumira mkoani Arusha.

Mwenyeji wa Rais Samia anatarajiwa kuwa Mkuu wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo

View attachment 2722805
Hiyo sherehe inaanza saa ngapi!?
 
Back
Top Bottom