Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Tumia herufi ndogo kenge we unaumiza macho kusoma
 

Umefafanua vizuri na hizi snap shot, kama ni ufafanuzi sahihi kwa mujibu wa uislam, basi muhamad alikuwa pia mnazaret. Unless kama ulivyoonesha kwamba alikuwa haamini katika Yesu na Injili yake (yaani maisha na utume wake akiwa duniani). Atakuwa alikuwa mpagani
 
Kitendo cha kumuandika Mungu ukitoa m ya herufi ndogo kinaonyesha wewe bado mtoto mdogo kiumri na kimawazo.
 
Kitendo cha kumuandika Mungu ukitoa m ya herufi ndogo kinaonyesha wewe bado mtoto mdogo kiumri na kimawazo.
Hii ndiyo hili mijanaume mipumbavu ....haya nenda kawai sit kwa mfalme zumaridi na mwamposa 😁😁😁😁
 
Hii ndiyo hili mijanaume mipumbavu ....haya nenda kawai sit kwa mfalme zumaridi na mwamposa 😁😁😁😁
Mimi ni mkatoliki, ni mfuasi wa Moyo Mtakatifu wa Yesu. Sipo katika hayo makundi ya dini ambazo ni biashara maalum zenye kuvuna pesa za wajinga wengi tunaoishi nao kwenye jamii.
 
Mimi ni mkatoliki, ni mfuasi wa Moyo Mtakatifu wa Yesu. Sipo katika hayo makundi ya dini ambazo ni biashara maalum zenye kuvuna pesa za wajinga wengi tunaoishi nao kwenye jamii.
Ukishakuwa na madhehebu tu wewe ni mpumbavu kamili ...yesu siyo msabato wala mkatoloki wala mprostestant wala siyo mlokole ...tumia akili wacha umama
 
Ili mradi umejimwambafai mkuu
What the is a brainless brain?
Andika Kiswahili kama kiingereza chako ni kile Wakenya wanachotaka tucheka kila siku.
Huwezi kuwa na brain iliyo brainless 🤣
 
Ukishakuwa na madhehebu tu wewe ni mpumbavu kamili ...yesu siyo msabato wala mkatoloki wala mprostestant wala siyo mlokole ...tumia akili wacha umama
Akili huna wewe unayeandika kama vile limbukeni wa masuala ya imani.

Mimi ni mfuasi wa Kristo ndio maana ya neno Mkristo, haijalishi wewe ni mlokole, mprotestanti au mlutheri.
 
Akili huna wewe unayeandika kama vile limbukeni wa masuala ya imani.

Mimi ni mfuasi wa Kristo ndio maana ya neno Mkristo, haijalishi wewe ni mlokole, mprotestanti au mlutheri.
Ufalme uliofarakana hauta simama ....nyinyi ndiyo wale mlio nenewa haya maandiko 👉 CHUKIZO LA UHALIBIFU LILILO SIMAMA PATAKATIFU......Kwa upumbavu mnadanganya na wahuni kuwa kuna Mungu mwenye nafsi 3 ....huyo.papa ni uchafu mbele za Mungu
 
Ufalme uliofarakana hauta simama ....nyinyi ndiyo wale mlio nenewa haya maandiko 👉 CHUKIZO LA UHALIBIFU LILILO SIMAMA PATAKATIFU......Kwa upumbavu mnadanganya na wahuni kuwa kuna Mungu mwenye nafsi 3 ....huyo.papa ni uchafu mbele za Mungu
Hujui lolote bora ungeleta mjadala wa Yanga na Simba kuliko kuendelea kupoteza muda kuongea na mtu mgeni wa masuala ya kiroho.

Kiongozi wa kiroho (Padre) anasomea chuoni kwa miaka isiyopungua kumi mpaka kufikia hadhi anayokuwa nayo, wewe kwa maandiko yako hujui unaongea kitu gani.
 
Hao wasomi wa vyuo ndiyo maadui wa haki ya mungu ndiyo hao hao walio msulibisha yesu kama ulikuwa haujui....dini ya kweli siyo chuoni ni katika ucha mungu wa kweli ....wewe moja kwa moja ni mpumbavu wa madhehebu ya dini
 
Hao wasomi wa vyuo ndiyo maadui wa haki ya mungu ndiyo hao hao walio msulibisha yesu kama ulikuwa haujui....dini ya kweli siyo chuoni ni katika ucha mungu wa kweli ....wewe moja kwa moja ni mpumbavu wa madhehebu ya dini
Wewe ni Mpumbavu wa kilokole, unayedhani unajua mengi kumbe kichwa kitupu tu.
 
Kila siku humu huwa nasema hawa watu ni wajinga, Bado mnabisha?
 
Sasa wewe unataka nikuonyeshe uhusiano gani au wewe utanionyesha uhusiano gani wa hivyo vitabu na ukristo

Ukisema siwezi kuonesha uthibitisho wala hauta kufa na si dhambi.
Kuhusu biblia, nakuonesha uhusiano uliopo kati ya vitabu vya kabla ya injili (agano la kale) na injili (agano jipya). Aya hizo hapo chini zinaoneshwa kutabiriwa kuzaliwa kwa Yesu na Manabii waliomtangulia. Hiyo inaonyesha uhusiano wenye nguvu sana wa agano la kale na agano jipya
Angezaliwa na bikira, angeitwa Imanueli Isaya 7 : 14
Angezaliwa Bethlehemu Mika 5 : 2
Angeingia Yerusalemu kwa punda Zekaria 9 : 9
Utabiri wa Kuzaliwa kwake na sifa zake Isaya 9 : 6 - 7
Mesiya atakuwa Kiongozi na Mtawala Danieli 9 : 25
Angeteseka kwa ajili ya dhambi zetu Isaya 53 : 5 - 6
 
Agano la kale ndo nini? Si ndo biblia yenyewe au?
Nimekuambia nionyeshe uhusiano wa biblia na vitabu nilivyovitaja
 
Agano la kale ndo nini? Si ndo biblia yenyewe au?
Nimekuambia nionyeshe uhusiano wa biblia na vitabu nilivyovitaja
A: Biblia ina sehemu 2.
1. Agano la Kale (kabla ya kristo - KK)
2. Agano Jipya (Anno Domin Mwaka wa Bwana (Mwaka 0) na kuendelea yaani Baada ya Kristo BK)

B: Vitabu Ulivyovitaja
Vyote vinapatikana kwenye Agano la Kale (Vitabu vilivyoandikwa KK)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…