Rais Samia: Mijadala Bungeni haina afya kwa Taifa. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi

Rais Samia: Mijadala Bungeni haina afya kwa Taifa. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amekuwa akifuatilia mijadala ya Bunge na kuongeza kuwa kuna mijadala isiyo ya afya kwa Taifa

Amesema: "Kipindi hiki ndugu zangu Wabunge tunatakiwa kupitisha Bajeti za Sekta mbalimbali za Serikali kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Naomba jikiteni sana huko, mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amekuwa akifuatiloa mijadala ya Bunge na kuongeza ni mijadala isiyo ya afya kwa Taifa

Amesema, kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha bajeti za sekta mbalimbali za serikali kwa ajili ya maendeleo ya taifa. Naomba jikiteni sana huko, mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"
Vitendo siku zote ni kufanya? ukiwa kiongozi.
 
Bunge lenyewe limejaa mataga walio zoea kumtukuza mtu mmoja tu! Sasa anategemea watajadili nini? Kama ni wapinzani wa kuwaoiga vijembe, nao hawapo!

Wacha tu tuendelee kushuhudia hayo madudu yao ya kutaka kumlinganisha yeye na mtangulizi wake.
What do you mean?
 
Ndugai kaweka nia zake mbele kuliko taifa. Sasa Bagamoyo imekuja vipi kwenye budget 🤔 anajali zaidi account yake ya bank huko nje kuliko taifa na naibu kanyamaza makusudi anasuburi apigwe chini


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amekuwa akifuatilia mijadala ya Bunge na kuongeza kuwa kuna mijadala isiyo ya afya kwa Taifa

Amesema: "Kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha Bajeti za Sekta mbalimbali za Serikali kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Naomba jikiteni sana huko, mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"
 
Back
Top Bottom