Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM yote ni takataka tupuWakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Ni tatizo kubwa kwa taifa letu, Ukiwa na fikra tunduizi basi wewe unaonekana hauko sawa, na unapaswa kuchukuliwa hatua kali.fikra tunduizi pasina kusahau kuhoji hojaji zenye hoja.
Upumbavu na ujinga wa hali ya juu kwa mtu kuanza kufikiri kuwa kukosoa ni usaliti au matusi.Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Acha kujaribu kumtetea mama. Mbona iko wazi kabisa. Kabariki ulaji hela ya umma. Badala ya kumnanga polepole mshaurini huyo mama aachie ngazi maana kakiuka kiapo cha urais.Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Kuvimbiwa ni lazima maana tunafanya kazi halali za kipato kizuri tu.Na wewe sifa unazofanya kwa sasa huo ushamba unautoa wapi au wewe ni chawa wa mama na kazi yako ni kusifia tu?
Nyani haoni kundure sasa ni zamu yako
Nasikia sasa mnajipimia na kuvimbiwa tu ndio maana zimewatoka akili mnasigia hadi kinyesi chake.
Upumbavu zaidi ni ule unafiki mliposhindwa kumkosoa muuaji yule.Upumbavu na ujinga wa hali ya juu kwa mtu kuanza kufikiri kuwa kukosoa ni usaliti au matusi.
Hii tabia imeota mizizi sana kwa jamii ya wanaccm mbumbumbu...HAKUNA KOSA KUMKOSOA RAIS,acheni ujinga uliopitiliza!
Kumbe wewe ni kilaza, unatupotezea muda pumbafffAwamu ya 5 iko Chato, 6 feet under!
Mkuu mimi nakula kwa urefu wa kamba yangu, nimejiajiri na sijaaajiriwa popote, ukitaka kuniajiri unanirefushia kamba ya kula.Ninachojua ipo siku utabadilika tu baada ya kuondolewa kwenye hiyo nafasi na utaanza kumnanga huyo mama.
Enzi ya magufuli kuna watu walikua wanamshangilia humu ila ghafla unakuta wana anza kumpinga, kumbe ni baada ya dhahama la kutumbuliwa ndo linawabadilisha.
Kwa hiyi na ninyi ni swala la muda tu.
Sasa ulitakaje, ukifa na wewe fufuka tuone!Kumbe wewe ni kilaza, unatupotezea muda pumbafff
Ataondolewa kwa staili ile ile waliyoiasisi.Mi naona wamwache na ubunge wake ilu awe na ukomo wa kauli zake maana wakimtumbua tuu akawa free atawavua nguo mchana kweupe labda wammalize
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila atawaaibisha sanaAtaondolewa kwa staili ile ile waliyoiasisi.
Kwani kina Lwajabe wako wapi?
kwahio hii nchi kila mtu hana uhuru wa kutoa mawazo yake? kika mtu hana uhuru wa kusimamia kitu anachokiamini?Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.
Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.
Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.
Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.
Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
CCM ni yenu wewe masopakyindi na nani?We fala nini, tafuta mada nashabikia CHADEMA!
Daqa yenu ni 2025 ndo mtajua watu wana raha au wana hasira?Kuvimbiwa ni lazima maana tunafanya kazi halali za kipato kizuri tu.
Hatutegemei kodi za dhuluma , hakuna watekaji, hakuna kubambikwa kesi uhujumu.
Kwa nini tusinanepe?
Tatizo liko kwenu mliokuwa mnatumwa kuiba kule Arusha kwenye Bureu De Change, kupora wafanya biashara, na sasa mna magari mazuri liyonunua kwa hela za kupora lakini mwaweka mafuta ya buku tatu kukufikisha nyumbani.
Mama Samia oyee!
Polepole 2015View attachment 2102724
Huyu jamaa ajue tu kuwa muda wake umepita, na hana chake tena.
The only asset aliyokuwa nayo ni mdomo wake, na aliutumia vibaya, na anaendelea kutoushirikisha ubongo wake hata sasa.
Kuna sehemu unakwepa kodi kwa furaha ya mama sio?Mkuu mimi nakula kwa urefu wa kamba yangu, nimejiajiri na sijaaajiriwa popote, ukitaka kuniajiri unanirefushia kamba ya kula.
Sasa na wewe jitengenezee kamba yako ule kwa nafasi yako.
Wewe ni kilaza, huna hoja kaa kimyaSasa ulitakaje, ukifa na wewe fufuka tuone!