johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Prof Malima alizushiwa mengi lakini alikuwa mtu Makini na muadilifuBora Mgimwa ila Malima sina rekodi nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prof Malima alizushiwa mengi lakini alikuwa mtu Makini na muadilifuBora Mgimwa ila Malima sina rekodi nae
Leta Takwimu zake za uchumi hayo mengine sio kipimoProf Malima alizushiwa mengi lakini alikuwa mtu Makini na muadilifu
Kumbe unamjua na ulisema humjui. Anyway mie pia nampenda Dr. Ashatu ila wewe ni CHAWAHapana, kwenye u smart Dkt Ashatu ni genius! Ana kipaji cha akili! Fuatilia historia yake enzi anasoma IDM Mzumbe au wakati anasoma
PhD yake nchini Norway.
Naunga mkonoHuko tuu kwenye biashara naona kafeli,ujue kuna watu Bora wawe walimu tuu sio kazi kama hizo..
Mara elfu Mwigulu kuliko huyo mmama hajui kabisa kujieleza.
Dkt Ashatu uwezo wa kujieleza anao, tena she is an inspirational person. Sema humjui vizuri tu. Dkt Ashatu ana uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo.Kama ni usomi anaweza mzidi Mwigulu kweli?
Ni msomi ndio ila hawezi na hajui kujieleza kwa hiyo hata changamoto kama hizi za Uchumi hajui kuongea.
Nimemuona mara nyingi kwenye mikutano ya Ziara za Rais ameahindwa kutolea maelezo ya mambo ya kupanda Kwa bei za vitu na yeye ndio mhusika kwenye hiyo wizara ya viwanda na Biashara..
Pamoja na Chuki zenu sijamuona Waziri wa Fedha wa kumzidi Mwigulu kwa sasa hata yule Mchaga ndio kabisaa ataishia kupaniki na kujing'ata ulimi bure..
Hizo nafasi nyeti zinahaitaji uwe na uwezo wa kujieleza ambao Mwigulu anao na mara nyingi ametoka kutetea sera zake..
Mwisho uchumi unapimwa Kwa matokeo sio blaa blaa blaa zenu.
Huko tuu kwenye biashara naona kafeli,ujue kuna watu Bora wawe walimu tuu sio kazi kama hizo..
Mara elfu Mwigulu kuliko huyo mmama hajui kabisa kujieleza.
Unapozungumzia maboresho ya Uchumi na solo huria alivyofanya Rais Mwinyi huyu Prof Malima alikuwa ndio Injinia wa mabadiliko hayoLeta Takwimu zake za uchumi hayo mengine sio kipimo
Nimekuelewa hapo kwamba mara nyingi tuu nimemuona kwenye mikutano ya Rais akijiuma uma..Dkt Ashatu uwezo wa kujieleza anao, tena she is an inspirational person. Sema humjui vizuri tu. Dkt Ashatu ana uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo.
Mbona sifa mnampa Mkapa badala ya Mwinyi? Enzi hizo si ndio mnasema mfumuko wa bei ulikuwa haukamatiki?Unapozungumzia maboresho ya Uchumi na solo huria alivyofanya Rais Mwinyi huyu Prof Malima alikuwa ndio Injinia wa mabadiliko hayo
😬😬 Bila kusahau Mwamba Bashe na Naibu wake 👇Exaclty, Ashatu ni zero result oriented naweza sema hivyo..
Wako Mawaziri wanapiga kazi hadi basi mfano, Prof. Makame Mbarawa, Waziri wa Fedha, Dr. Mwigulu, au waziri wa Maji, Aweso, ila Ashatu mm katika Mawaziri nampa nafasi ya mwishooo kabisa, wizara yake tu imemlemea sana
Jamal, Malima, na Kibona walikuwepo in the past 20 years? Mgimwa naye ndio hivyo bahati mbaya.Walikuwepo Jamal, Malima, Kibona na hata yule Mgimwa!
Tulioshiriki vita ya Kagera tunaelewa Kazi kubwa iliyofanywa na Mzee Mwinyi baada ya kukabidhiwa nchiMbona sifa mnampa Mkapa badala ya Mwinyi? Enzi hizo si ndio mnasema mfumuko wa bei ulikuwa haukamatiki?
Nadhani Rais Samia anahitaji mtu sahihi kwa wakati sahihi ili amsaidie kuiongoza vema wizara ya fedha. Dkt Ashatu ni muadilifu na mchapa kazi, ni mzalendo na ni uhakika Mama atapa ushauri sahihi. Ktk kipindi alichokaa wizara ya Fedha na Mipango kama naibu waziri, tuliona kabisa alivyofanya kazi vizuri na Makamu wa rais Dkt Mpango, tunaamini hata sasa hii mifumuko ya bei isingekuwepo kama Dkt Ashatu angekuwa waziri wa Fedha na Mipango. Ndiyo Maana tunaomba Rais Samia amteue ili kubalance mambo na kurudisha imani kwa wapiga kura.Nimekuelewa hapo kwamba mara nyingi tuu nimemuona kwenye mikutano ya Rais akijiuma uma..
Kuwa intelligent ni kitu kingine na isitoshe amewahi kuwa Waziri Naibu Waziri wa Fedha..
Hana huo uwezo wa kujieleza kudefend mazingira ya siasa na weledi kwa pamoja kumzidi Mwigulu..
Unadhani wanaomteua Mwigulu toka zama za Kikwete ni Wajinga?
Bila wizara ya Fedha na Mipango kufanya vema basi wizara zote hamna kitu. Dkt Ashatu anafaa kuwa waziri wa Fedha na Mipango ili kuimarisha uchumiKiufupi Wizara ya Viwanda na Biashara Rais amteue Yule Mwarabu wa Gairo sio Hawa wasomi..
Huyu Dr.Kijaji arudi darasani kufundisha ndio kunamfaa..
Siyo kweli.china ni nchi ya ujamaa.haifanyi vizuri kuwa among G7?Hata angeteuliwa mchumi aliyeshinda tuzo ya Nobel asingeweza kwa sababu nchi bado ina mfumo mbovu wa Ujamaa. Ujamaa ndiyo unatukwamisha.
Acha utoto Mzee ,VP ni mshauri namba moja wa Uchumi wa Rais pamoja na Mwigulu na huyo huyo Dr.Kijaji sasa unaposema mifumuko isingekuwepo kwani hawapo sasa hivi?Nadhani Rais Samia anahitaji mtu sahihi kwa wakati sahihi ili amsaidie kuiongoza vema wizara ya fedha. Dkt Ashatu ni muadilifu na mchapa kazi, ni mzalendo na ni uhakika Mama atapa ushauri sahihi. Ktk kipindi alichokaa wizara ya Fedha na Mipango kama naibu waziri, tuliona kabisa alivyofanya kazi vizuri na Makamu wa rais Dkt Mpango, tunaamini hata sasa hii mifumuko ya bei isingekuwepo kama Dkt Ashatu angekuwa waziri wa Fedha na Mipango. Ndiyo Maana tunaomba Rais Samia amteue ili kubalance mambo na kurudisha imani kwa wapiga kura.
Nakupa historia ya wizaraJamal, Malima, na Kibona walikuwepo in the past 20 years? Mgimwa naye ndio hivyo bahati mbaya.
Hamna kitu kivipi ikiwa Kazi ya Wizara ya fedha ni kufikosha pesa na kuweka sera za Uchumi..Bila wizara ya Fedha na Mipango kufanya vema basi wizara zote hamna kitu. Dkt Ashatu anafaa kuwa waziri wa Fedha na Mipango ili kuimarisha uchumi