Rais Samia mteue Dkt. Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

Rais Samia mteue Dkt. Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

Attachments

  • Screenshot_20220724-104300.png
    Screenshot_20220724-104300.png
    63.2 KB · Views: 6
GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!


Declared intetest??!!
 
Shida tunaamini kwenye wasomi waliosoma na kujaza nadharia kichwani na kuwaacha watumie nadharia zao kuongoza Taifa la watu zaidi ya 60mil.

Uongozi wa Tanzania unahitaji wahuni wahuni watoto wa mjini wanaojua nini maana ya "real business" wanaojua maisha kivitendo na kuyapractice, jamii ya watu kama JK, MBOWE, ADAM MALIMA, RAMADHANI DAU, LEMA, SUGU, PROP JAY, PAPAA MAKALA, RIZ JK, MAKAMBA JUNIOR, ENG HERSI WA YANGA, KINANA, NAPE, KENYATA JNR WA KENYA & na wanaofanana. Hawa watu wa theory mnawapa nafasi nyeti kutest theory zao lazima mtafeli tu..

Business need real people who knows a,b,c of how things happens, watoto wa shule wasio na exposure ni hatari kwa ustawi wa Taifa hili.

Tunapozungumzia exposure tunazungumzia mipambano na mikiki mikiki ya kimjinimjini na uhuni wote wa dunia hii.
 
Unampa mtu Uwaziri ambaye hajuna anachojua zaidi ya maisha ya shule na A's za darasani, hajui kuplot hata basics graph ya street life..

Chain yoote ya marais wa USA utaona wengi ni wahuni wahuni watoto wa mjini mjini wanaojua mipango na fitina za dunia.

Ugenius wa darasani sio sawa na ugenius wa kitaa na duniani humu, tunaamini sana magenius wa shule matokeo yake tunawapa madaraka na kujikuta wanazidiwa ujanja kila siku na magenius wa kitaa na kutesa mamilioni ya watu, Magenius wakitaa ndio wanaofit kwenye nafasi za uongozi na hawa darasani kuna kazi zao zinazowahitaji si hizi tunazowapa.
 
Kama ni usomi anaweza mzidi Mwigulu kweli?

Ni msomi ndio ila hawezi na hajui kujieleza kwa hiyo hata changamoto kama hizi za Uchumi hajui kuongea.

Nimemuona mara nyingi kwenye mikutano ya Ziara za Rais ameahindwa kutolea maelezo ya mambo ya kupanda Kwa bei za vitu na yeye ndio mhusika kwenye hiyo wizara ya viwanda na Biashara..

Pamoja na Chuki zenu sijamuona Waziri wa Fedha wa kumzidi Mwigulu kwa sasa hata yule Mchaga ndio kabisaa ataishia kupaniki na kujing'ata ulimi bure..

Hizo nafasi nyeti zinahaitaji uwe na uwezo wa kujieleza ambao Mwigulu anao na mara nyingi ametoka kutetea sera zake..

Mwisho uchumi unapimwa Kwa matokeo sio blaa blaa blaa zenu.
Umeongea ukweli kabisa. Sijaona wa kumzidi mwigulu.
 
GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!h

GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Dkt Ashatu ni moja kati ya Waziri mzigo kwenye nchi hii
1. Amekuwa waziri wa Mawasiliano na Teknologia. Tukashudua mabando yakapanda gafla isivyo kawaida mpaka raisi wa Nchi akaingilia kati.
2.Kahamishiwa wizara ya uwekezaji na Biashara. Ambopo FCC ipo chini yake ila Tunaendelea kushuhudia bei ya bidhaa zinapanda isivyo kawaida.
Amewahi kutoa matamko kadhaa juu ya kupanda kwa bidhaa ila yote yamepuuziwa kabisa.
Ni Ujinsia tu ndio unaendelea kumuweka hapo alipo.
 
GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Sasa maswala ya Mungu yana tuhusu nini sisi WATANZANIA katika maendeleo yetu?
 
Ni ujamaa upi uliopo Tanzania

Ulioandikwa kwenye Ilani ya CCM

1
ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020
SURA YA KWANZA
UTANGULIZI
1. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa vyama vya TANU
na ASP na baadae CCM, imejengwa katika misingi ya ujamaa na kujitegemea
inayozingatia utu, usawa na haki. Misingi hii imeimarishwa na siasa safi na
uongozi bora wa CCM na imekuwa ndio nguzo ya kudumisha amani, umoja
na mshikamano wa kitaifa. CCM itaendelea kuzisimamia Serikali zake
kuhakikisha kuwa zinazingatia, kulinda na kudumisha misingi hii adhimu.
 
Mwigulu unamchukia kitu gani?au alikukopa nini?
 
Back
Top Bottom