Rais Samia mteue Dkt. Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

Rais Samia mteue Dkt. Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

Kama ni usomi anaweza mzidi Mwigulu kweli?

Ni msomi ndio ila hawezi na hajui kujieleza kwa hiyo hata changamoto kama hizi za Uchumi hajui kuongea.

Nimemuona mara nyingi kwenye mikutano ya Ziara za Rais ameahindwa kutolea maelezo ya mambo ya kupanda Kwa bei za vitu na yeye ndio mhusika kwenye hiyo wizara ya viwanda na Biashara..

Pamoja na Chuki zenu sijamuona Waziri wa Fedha wa kumzidi Mwigulu kwa sasa hata yule Mchaga ndio kabisaa ataishia kupaniki na kujing'ata ulimi bure..

Hizo nafasi nyeti zinahaitaji uwe na uwezo wa kujieleza ambao Mwigulu anao na mara nyingi ametoka kutetea sera zake..

Mwisho uchumi unapimwa Kwa matokeo sio blaa blaa blaa zenu.
Madelu ni mojawapo ya mawaziri wa uchumi dhaifu sana kiuwezo niliowahi kuwashuhudia dunia hii.
 
GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Mwambie achague baraza zima liwe lawanawake na bunge na jeshi end.
 
Jay One mkuu wangu hata huyo Dkt Ashatu hanijui kabisa, kilichonisukuma ni uzalendo wake na uadilifu na uchapa kazi pamoja na uwezo wake wa kuchambua mambo.

You a long time member humu JF, nilitegemea una mawazo makubwa hasa upande wa siasa za nchi yetu, sasa unayempendekeza, unanipa mashaka sana juu ya uwezo wako, and if you keep this trend of thinking, i will nullify you as a great thinker, lazima uwe firm on issues and not on tissues..!! Labda umempendea sura. We are serious here.
 
Kwani makamu wa rais SI ni kpanga wa masuala ya uchumi, mipango na fedha? Kwanini hamshauri boss wake pale anapoona hapako sawa? Au naye ni mmoja wa wawania siti huko mbele?
Nilitegemea rais asingepata shida kabisa Kwa masuala haya ya mipango na uchumi kwani ana msaidizi wa karibu kabisa yaani makamu wa rais. Why asimshauri?
 
You a long time member humu JF, nilitegemea una mawazo makubwa hasa upande wa siasa za nchi yetu, sasa unayempendekeza, unanipa mashaka sana juu ya uwezo wako, and if you keep this trend of thinking, i will nullify you as a great thinker, lazima uwe firm on issues and not on tissues..!! Labda umempendea sura. We are serious here.
Bosi Jay One ni muhimu kabisa kujua kariba ya mtu. Dkt Ashatu kwa hiyo wizara anafaa.
 
GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Dr Charles KIMEI afaa kuokoa JAHAZI.
 
Ukiacha hizi teuzi mnazowatafutia hapo mabosi wenu kupitia mitandao, hivi mpaka nawe unateuliwa kuwa kunguni huwa mnapatikana vipi to kuaminiwa kuja kuandika takaxII hizi?.
 
Nafunga mjadala Wizara ya fedha apewe Dkt Pindi Chana 🤣🤣🤣🤣. Samahani lakini asubuhi niliamkia K-vant!
 
Nadhani Rais Samia anahitaji mtu sahihi kwa wakati sahihi.

Hivi nyie mnao sema Raisi hana washaul kwa upande wa uchumi, hamjui kua, Dr philipo Mpango makamu wa Rais ni mushaul wake namba moja?
 
GTs,

Nina maoni:

Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.

Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.

Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!

Inawezekana huyo pengine ni dada yako wa tumbo moja!
 
Back
Top Bottom