Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Huyo anawaza kumkandamiza mwananchi tu,hamna anachifikiria zaidi ya tozoMadelu vipi maana nae ana sifa kuwa aliwahi kuwa TO hapo zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anawaza kumkandamiza mwananchi tu,hamna anachifikiria zaidi ya tozoMadelu vipi maana nae ana sifa kuwa aliwahi kuwa TO hapo zamani
Amaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wewe ni kama sigara bwege, nyuma na mbele kote unavutwa
GTs,
Nina maoni:
Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.
Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.
Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Story za vijiweni!Huyu si ndiye alipumzikaga akiwa nje ya nchi alipoenda kuchukua pesa zake nakukuta patupu, [emoji25]
Sijasema Mama alikosea, tunachotaka ni kurekebisha mwenendo wa uchumi, Dkt Ashatu ndiye anayefaa kwa mazingira tuliyonayo. Naamini utaelewa.Hujui kitu ww, uchawa ushakuharibu, Ashatu na Mwigulu who is smart? Kumbe ww hujui kitu kabisa, ulijua Mh. Rais kumteua Dr. Mwigulu na kumpa Wizara ya Fedha, ulidhania kakosea au hakujua ni mtu smart and brilliant? Ashatu, there is in no way ukamlinganisha na Mwigulu, sbb uchawa umekujaa, hujui kitu
Acha speculation nina jambo na Dr. MwiguluGTs,
Nina maoni:
Naona kabisa Mh. Rais akimteua Dkt Ashatu Kijaji kwa nafasi ya waziri wa Fedha na Mipango itakuwa vema kwa uchumi wetu.
Sababu:
1. Dkt Ashatu ni msomi na mbobevu katika masuala ya mipango na fedha.
2. Dkt Ashatu ni muadilifu na mwenye maadili
3. Dkt Ashatu ni mcha Mungu na ana hofu ya Mungu hivyo atamshauri Mama kwa maslahi ya watanzania
4. Dkt Ashatu ana uzoefu wa kuongoza wizara ya Fedha na Mipango na ktk kipindi chake akiwa naibu waziri tulishuhudia uchumi ukiimalika.
5. Dkt Ashatu anauwezo mkubwa sana kiakili siyo tu darasani lakini pia ktk mahusiano na watu.
Naamini huu uzi Mama atausoma au wasaidizi wake wamfikishie. Watanzania tunamtaka Dkt Ashatu!
Unajua mwanamke akiwa na akili za ziada kama Dkt Ashatu au Mama Samia huwezi mlinganisha na mwanaume. Rais Samia ana akili nyingi mno maana kutoboa IDM Mzumbe enzi zile haikuwa rahisi hata Mwl Nyerere alishawahi kukiri. Ninachokishauri acha kusifia kitu usichokijua.Hujui kitu ww, uchawa ushakuharibu, Ashatu na Mwigulu who is smart? Kumbe ww hujui kitu kabisa, ulijua Mh. Rais kumteua Dr. Mwigulu na kumpa Wizara ya Fedha, ulidhania kakosea au hakujua ni mtu smart and brilliant? Ashatu, there is in no way ukamlinganisha na Mwigulu, sbb uchawa umekujaa, hujui kitu
Kama ww chawa wa Ashatu, basi in terms of IQ ww utakuwa the lowest IQ of all the time. Someone with just a little good IQ hawezi kusema huu upuuziSijasema Mama alikosea, tunachotaka ni kurekebisha mwenendo wa uchumi, Dkt Ashatu ndiye anayefaa kwa mazingira tuliyonayo. Naamini utaelewa.
Hapana mi siyo chawa na sijawahi kuwa Chawa kabisa. Tumuunge mkonk Rais Samia ktk kuleta mabadilko nchini.Kama ww chawa wa Ashatu, basi in terms of IQ ww utakuwa the lowest IQ of all the time. Someone with just a little good IQ hawezi kusema huu upuuzi
Unajua mwanamke akiwa na akili za ziada kama Dkt Ashatu au Mama Samia huwezi mlinganisha na mwanaume. Rais Samia ana akili nyingi mno maana kutoboa IDM Mzumbe enzi zile haikuwa rahisi hata Mwl Nyerere alishawahi kukiri. Ninachokishauri acha kusifia kitu usichokijua.
Kama unadhani sasa hivi mambo yanaenda mrama amteue huyo Dr Ashatu halafu uone kitakachofuata.Hapana unakosea, Mama Samia ana weledi, ni mwenye uwezo mkubwa sana. Dkt Ashatu anafaa kabisa.
Nadhani tumpe nafasi, na sababu kubwa ktk kipindi akiwa naibu waziri chini ya waziri Mpango tulishuhudia uchumi ukiimarika. Nadhani Mh. Mpango itakuwa rahisi kufanya naye kazi kwa sababu ni bosi wake na ni rahisi pia kwa Dkt Ashatu kufanyia kazi ushauri.
Sasa mabadiliko unayotaka kwa kuweka Waziri wa Fedha awe Ashatu, mabadiliko unajua inataka watu wa uwezo gani? Au unaongea ili mradi umepewa hela huko unapiga piga kelele humu, U can't make reforms au mabadiliko kwa mawazo yako finyu hayo, take that note.Hapana mi siyo chawa na sijawahi kuwa Chawa kabisa. Tumuunge mkonk Rais Samia ktk kuleta mabadilko nchini.
Jay One mkuu wangu hata huyo Dkt Ashatu hanijui kabisa, kilichonisukuma ni uzalendo wake na uadilifu na uchapa kazi pamoja na uwezo wake wa kuchambua mambo.Sasa mabadiliko unayataka kwa kuweka Waziri wa Fedha awe Ashatu, mabadiliko unajua inataka watu wa uwezo gani? Au unaongea ili mradi umepewa hela huko unapiga piga kelele humu, U can't make reforms au mabadiliko kwa mawazo yako finyu hayo, take that note.
Hapana, kwenye u smart Dkt Ashatu ni genius! Ana kipaji cha akili! Fuatilia historia yake enzi anasoma IDM Mzumbe au wakati anasoma
PhD yake nchini Norway.
Ebu tupe mfano ata wa speech yake moja akiongelea maswala ya uchumi.Jay One mkuu wangu hata huyo Dkt Ashatu hanijui kabisa, kilichonisukuma ni uzalendo wake na uadilifu na uchapa kazi pamoja na uwezo wake wa kuchambua mambo.
ExactlyHakuna mtu mwenye huo muda wa kufuatilia, wewe ndio utuambie hapa alifanya nini cha maana