Rais Samia mtu mkweli asiyeyumbishwa

Rais Samia mtu mkweli asiyeyumbishwa

Joined
Sep 17, 2021
Posts
39
Reaction score
84
Juzi akiwa Chato, Rais Sami alishangiliwa sana alipoonesha kwamba anataka kuongelea suala la Chato kuwa mkoa. Angekuwa mtu wa kufuata kelele za kisiasa lazima angingia mkumbo halafu kichwakichwa aseme Chato ni mkoa.

Hii sio mara ya kwanza kwa Rais wetu kuonesha wazi kwamba yeye ni mtu mkweli na sio mtu wa kufuata kelele na mkumbo wa Kisiasa. Hilo linathibitika kupitia

1. Kesi ya Mbowe. Kwa kelele nyingi za wapinzani, angekuwa Rais wa kuyumbishwa naamini angemuambia DPP aachane na ile kesi. Lakini kwa sababu hayumbishwi, ameiacha Mahakama ifanye kazi yake.

2. Tozo. Watu waliongea saaana, lakini kaendelea kuwaambia ukweli kwamba tunahitaji pesa ile hivyo lazima tutoe kodi.

3. Sabaya. Alimuondoa kazini, akaacha Sheria ifuatwe, Ni historia.

Ni baadhi tu ya mambo, ila huyu ni Rais mwenye msiamo.
 
Juzi akiwa Chato, Rais Sami alishangiliwa sana alipoonesha kwamba anataka kuongelea suala la Chato kuwa mkoa. Angekuwa mtu wa kufuata kelele za kisiasa lazima angingia mkumbo halafu kichwakichwa aseme Chato ni mkoa.

Hii sio mara ya kwanza kwa Rais wetu kuonesha wazi kwamba yeye ni mtu mkweli na sio mtu wa kufuata kelele na mkumbo wa Kisiasa. Hilo linathibitika kupitia

1. Kesi ya Mbowe. Kwa kelele nyingi za wapinzani, angekuwa Rais wa kuyumbishwa naamini angemuambia DPP aachane na ile kesi. Lakini kwa sababu hayumbishwi, ameiacha Mahakama ifanye kazi yake.

2. Tozo. Watu waliongea saaana, lakini kaendelea kuwaambia ukweli kwamba tunahitaji pesa ile hivyo lazima tutoe kodi.

3. Sabaya. Alimuondoa kazini, akaacha Sheria ifuatwe, Ni historia.

Ni baadhi tu ya mambo, ila huyu ni Rais mwenye msiamo.
Sawa...historia hujirudia...tutafahamu zaidi 2030...mark my words
 
Anayumbishwa sana tu huyu bibi. Sema umeamua kuchagua mambo yanayokufurahisha wewe tu na kuyaacha usiyoyapenda.

Nikujuze mahala alipoyumba.

Akilihutubia bunge aliahidi kukutana na vyama vya upinzani. Mpk leo hajafanya hivyo.

Chadema waliandikiwa mpaka barua na alitoa ahadi ya kukutana na chadema mpk leo ziii.
 
Na neema zitaendelea kumiminika ndani ya nchi yetu hii.

Haikuhitaji hata dakika chache kujua kwamba nchi iko katika mikono salama na mikono sahihi baada ya Mwamba wa Africa kufariki dunia.

Mama will prove to be the best president this country has never had before.

Mungu mbariki rais wetu, mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
 
Anayumbishwa sana tu huyu bibi. Sema umeamua kuchagua mambo yanayokufurahisha wewe tu na kuyaacha usiyoyapenda.

Nikujuze mahala alipoyumba.

Akilihutubia bunge aliahidi kukutana na vyama vya upinzani. Mpk leo hajafanya hivyo.

Chadema waliandikiwa mpaka barua inayotoa ahadi ya kukutana na chadema mpk leo ziii.
Tatizo hamna staha wala busara.

Lawama zote kwa Mdude chadema.
 
Juzi akiwa Chato, Rais Sami alishangiliwa sana alipoonesha kwamba anataka kuongelea suala la Chato kuwa mkoa. Angekuwa mtu wa kufuata kelele za kisiasa lazima angingia mkumbo halafu kichwakichwa aseme Chato ni mkoa.

Hii sio mara ya kwanza kwa Rais wetu kuonesha wazi kwamba yeye ni mtu mkweli na sio mtu wa kufuata kelele na mkumbo wa Kisiasa. Hilo linathibitika kupitia

1. Kesi ya Mbowe. Kwa kelele nyingi za wapinzani, angekuwa Rais wa kuyumbishwa naamini angemuambia DPP aachane na ile kesi. Lakini kwa sababu hayumbishwi, ameiacha Mahakama ifanye kazi yake.

2. Tozo. Watu waliongea saaana, lakini kaendelea kuwaambia ukweli kwamba tunahitaji pesa ile hivyo lazima tutoe kodi.

3. Sabaya. Alimuondoa kazini, akaacha Sheria ifuatwe, Ni historia.

Ni baadhi tu ya mambo, ila huyu ni Rais mwenye msiamo.
Rais Samia ni kiongozi, Rais Samia ni Mama, Rais Samia ni jabali
 
Juzi akiwa Chato, Rais Sami alishangiliwa sana alipoonesha kwamba anataka kuongelea suala la Chato kuwa mkoa. Angekuwa mtu wa kufuata kelele za kisiasa lazima angingia mkumbo halafu kichwakichwa aseme Chato ni mkoa.

Hii sio mara ya kwanza kwa Rais wetu kuonesha wazi kwamba yeye ni mtu mkweli na sio mtu wa kufuata kelele na mkumbo wa Kisiasa. Hilo linathibitika kupitia

1. Kesi ya Mbowe. Kwa kelele nyingi za wapinzani, angekuwa Rais wa kuyumbishwa naamini angemuambia DPP aachane na ile kesi. Lakini kwa sababu hayumbishwi, ameiacha Mahakama ifanye kazi yake.

2. Tozo. Watu waliongea saaana, lakini kaendelea kuwaambia ukweli kwamba tunahitaji pesa ile hivyo lazima tutoe kodi.

3. Sabaya. Alimuondoa kazini, akaacha Sheria ifuatwe, Ni historia.

Ni baadhi tu ya mambo, ila huyu ni Rais mwenye msiamo.
Umeongea ukweli mtupu....😍

Mh.Rais Samia ameanza mapema kutuonesha jinsi alivyo STATESWOMAN.....

Ana sifa za kipekee mno kutokwenda na UPEPO wa watu...hizi ndizo haswa kaliba za VIONGOZI WA KWELI WASIOPENDA maigizo na "status quo"💪

SIEMPRE CHIEF MKUU HANGAYA

Mwenyezi Mungu azidi kumlinda aaaamin aaaamin🙏
 
Rais Samia ni kiongozi, Rais Samia ni Mama, Rais Samia ni jabali
Samia ana sifa moja tu hiyo ya ujabali. Maana jabali huwa halisikii Wala haliambiliki.

Sifa ya uongozi Samia Hana, sifa ya umama haidhihirishi ktk uongozi wake. Angekuwa na sifa hizi mbili angefuta tozo na angemwachia Mbowe asiye na hatia
 
Anayumbishwa sana tu huyu bibi. Sema umeamua kuchagua mambo yanayokufurahisha wewe tu na kuyaacha usiyoyapenda.

Nikujuze mahala alipoyumba.

Akilihutubia bunge aliahidi kukutana na vyama vya upinzani. Mpk leo hajafanya hivyo.

Chadema waliandikiwa mpaka barua inayotoa ahadi ya kukutana na chadema mpk leo ziii.
Ahadi aliyoitoa aliipa muda ?!!!

Rais hapangiwi na kulazimisha kukutana na watu....

Hata JK alipanga siku ya kukutana nao kule ikulu.....
 
Twende nyuma turudi mbele Rais Samia anastahili pongez kweli kweli. Mdomoni anasema hakujiandaa lakin kwenye matendo unaona kabisa mwenyezi Mungu alishamuandaa kuwatumikia watanzania.

CDM na wapinzani wengi walifikir Kwa kuwa ni mama basi watafanya wanachotaka na watampelekesha Sana,, hizi fikra zimewagharim pakubwa.

Mh. Samia anafanya Mambo makubwa bila kutumia nguvu nyingi wala kuwa na magenge sirini au hadharani.

Chini ya Samia watanzania tutapiga hatua kubwa maana yeye muda wa kuonea mtu wewe fanya shughuli zako halali pata mabilioni idadi yoyote hakuna atakayekughasi.
 
Anayumbishwa sana tu huyu bibi. Sema umeamua kuchagua mambo yanayokufurahisha wewe tu na kuyaacha usiyoyapenda.

Nikujuze mahala alipoyumba.

Akilihutubia bunge aliahidi kukutana na vyama vya upinzani. Mpk leo hajafanya hivyo.

Chadema waliandikiwa mpaka barua inayotoa ahadi ya kukutana na chadema mpk leo ziii.
Kwahilo mnamuonea mama na ndiyo mjuwe kuwa hayumbishwi suala la kukutana na wapinzani lipo ila chadema wanjifanya wao ji spesho sana hawataki kukutana pamoja wanataka wakutane naye wao pekeyao na ndiyo maana kawapuuza hawana jipya kwani vyama vingine siyo vyama ila wao tu hayumbishwi na kelele zao ndiyo msingi wa huu Uzi uelewe waambie chadema wasijione kuwa wao ni spesho kuliko vyama vingine wao ji nani?
 
Samia ana sifa moja tu hiyo ya ujabali. Maana jabali huwa halisikii Wala haliambiliki.

Sifa ya uongozi Samia Hana, sifa ya umama haidhihirishi ktk uongozi wake. Angekuwa na sifa hizi mbili angefuta tozo na angemwachia Mbowe asiye na hatia
Kwani TOZO amepanga mh.Samia?!!

Anyways....

Rais JPM alifariki March 17...ikumbukwe BAJETI YA SERIKALI ilipangwa toka 7/2020...

Ila ikumbukwe TOZO iliwekwa kwa madhumuni mazuri tu....

Kazi mojawapo ya serikali ni kuibua vyanzo vipya vya mapato......
 
Twende nyuma turudi mbele Rais Samia anastahili pongez kweli kweli. Mdomoni anasema hakujiandaa lakin kwenye matendo unaona kabisa mwenyezi Mungu alishamuandaa kuwatumikia watanzania.

CDM na wapinzani wengi walifikir Kwa kuwa ni mama basi watafanya wanachotaka na watampelekesha Sana,, hizi fikra zimewagharim pakubwa.

Mh. Samia anafanya Mambo makubwa bila kutumia nguvu nyingi wala kuwa na magenge sirini au hadharani.

Chini ya Samia watanzania tutapiga hatua kubwa maana yeye muda wa kuonea mtu wewe fanya shughuli zako halali pata mabilioni idadi yoyote hakuna atakayekughasi.
Hakika😍

Chadema walijiandaa kumwendesha WATAKAVYO.....
 
Hahaha! Aliposema atamnyoa kwa wembe uliyotumika??

Hiyo ndiyo kuyumba kwenyewe. Mtoa mada amesema huwa hayumbishwi, Sasa mbona kayumbishwa na Mdude??
Mdude alikuwa bado anamawengw ya jela angewaharinia kabisa chadema nafikiri wamemuonya aache ujinga wake mtu mwenyewe katoka kwa huruma za huyo mama Tena anakuja kujigamba eti kashinda kesi nakumkejeli mama sasahivi unamsikia akiongea kimya na ndiyo salama ya chadema wangeendelea kuonekana kikundi Cha wahuni
 
Mdude alikuwa bado anamawengw ya jela angewaharinia kabisa chadema nafikiri wamemuonya aache ujinga wake mtu mwenyewe katoka kwa huruma za huyo mama Tena anakuja kujigamba eti kashinda kesi nakumkejeli mama sasahivi unamsikia akiongea kimya na ndiyo salama ya chadema wangeendelea kuonekana kikundi Cha wahuni
Siasa za Mdude zinashangaza sana Sana....
 
UPUUZI MTUPU!!

Juzi akiwa Chato, Rais Sami alishangiliwa sana alipoonesha kwamba anataka kuongelea suala la Chato kuwa mkoa. Angekuwa mtu wa kufuata kelele za kisiasa lazima angingia mkumbo halafu kichwakichwa aseme Chato ni mkoa.

Hii sio mara ya kwanza kwa Rais wetu kuonesha wazi kwamba yeye ni mtu mkweli na sio mtu wa kufuata kelele na mkumbo wa Kisiasa. Hilo linathibitika kupitia

1. Kesi ya Mbowe. Kwa kelele nyingi za wapinzani, angekuwa Rais wa kuyumbishwa naamini angemuambia DPP aachane na ile kesi. Lakini kwa sababu hayumbishwi, ameiacha Mahakama ifanye kazi yake.

2. Tozo. Watu waliongea saaana, lakini kaendelea kuwaambia ukweli kwamba tunahitaji pesa ile hivyo lazima tutoe kodi.

3. Sabaya. Alimuondoa kazini, akaacha Sheria ifuatwe, Ni historia.

Ni baadhi tu ya mambo, ila huyu ni Rais mwenye msiamo.
 
Ni huyu aliyedanganya juzi kuwa kwenye kesi ya Mbowe kuna watuhumiwa wengine walishahukumiwa au Samia yupi hasa?
 
Back
Top Bottom