Rais Samia mtu mkweli asiyeyumbishwa

Rais Samia mtu mkweli asiyeyumbishwa

Hata Siri hazivuj tena. Na hivyo ndivyo serikali inavyofanya kazi zake
 
Kama ya nchi yako tu huyajui utawezaje kuyajua ya nchi za mbali? Hujiulizi kama maccm yanafanya vizuri na yanapendwa sana na Watanzania kwanini yanahofia Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi? Kwanini yanahofia uchaguzi HURU na wa HAKI? Kwanini kila uchaguzi ni lazima YAIBE kura Kwa mtutu wa bunduki na kupitia Tume FEKI ya uchaguzi? Kwanini wako madarakani miaka 60 lakini Watanzania hatuna cha kujivunia.
Ungekuwa unajiuliza haya maswali na kuyajibu sawa sawa basi usingeandika huu ujinga ujinga wako wa kuyakumbatia haya majizi, mafisadi na wauaji lakini kwa vile umeamua kuwa mchumia tumbo ili kutafuta TEUZI basi hayo yote umeyafumbia macho. Eti unayajua ya South Korea, Malaysia na Singapore lakini ya nchini kwako HUYAJUI!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mkuu baki are you ok. Maendeleo Ni process. Miaka 60 Ni michache sana. Kila nchi itakuwa na stage yake ya maendeleo. Factors na mazingira hayafanani. Unaishi Nchi gani wewe. Of course najua unakotokea. Your major in this argument Ni kutaka kusema ingekuwepo CHadema Basi Tanzania ingekuwa sio Tanzania Bali Korea. Au Malaysia nk. Ukimwona Lissu amekaa na kukumbatia na kukumbatiwa na wazungu. Mabepari kwa Amani na furaha. Wewe unayejua uchumi. Na unayewajua wazungu unaona ndo yatatoka maendeleo kwake. Tanzania Ni yetu wote. Kila mtz Ana mchango kwa maendeleo ya nchi. Serikali Ni Sisi. Tutakaosimimanisha maendeleo ya nchi yetu Ni Sisi. Tabia. Maelekeo nk.

Wewe unaonekana Ni King wa wajinga na wapumbavu. Unaweka chama kwanza kabla ya kuwa Mtanzania. Una hoja mfu na kusadikika. Wewe umefanya Nini katika kufanya ulipo pabadilke. Kama una akili kiasi hicho. Umesaidiaje ukoo wako kuplay Part Yao katika maendeleo hata mahalia tu. Soma historia ya nchi yako, Acha vitabu nenda kaongee na wazee wanaoshi toka kabla ya uhuru. Baada. Vita vya kagera nk. Soma ujue mataifa yaliondelea yanavyokuwa stumbling block kwa mataifa Kama yetu. Historia sio rahisi kuikimbia. Past. Present ndo future inakuja.

Kabla ya Kuandika mada zako. Toka CHadema kwanza kifikra. Look around you and start writing.

Eti hapa we dare talk openly. Hata anayeharisha anakuwa anapumua openly. Tofautisha Kati ya license and Freedom. Right and responsibility. Uwazi na kuharisha. Anayedare to talk openly mbele yake zitakuwa facts bila kujali jina Mbowe. lissu. Majaliwa nk. Facts watu watasoma na kuona hapa mada imenigusa mimi. Dare to talk openly about what and to what end. Wewe mwenyewe umebadilika Vipi.

Acha hasira. Acha unazi and then utaona mwanga na points za Wenzako. Mpumbavu asiyejua Kama mpumbavu.
 
Back
Top Bottom