Kumbe unaweza kukomenti bila ya matusi ya fedheha...π€£
Unaweza kukiweka hapa hicho kilichomuondoa Dr.Slaa CDM?!!
Mwenyekiti wako mh.Mbowe ataendelea kushangaza kwa ile "gia angani"....π€£
Mkuu umechagua matusi katika mijadala... sina haki ya kukubadilisha π€£Unataka NIREMBE ukiandika upumbavu? Ili iweje?
π³π³π³
''Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administrationβs key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzaniaβs international reputation.''Juzi akiwa Chato, Rais Sami alishangiliwa sana alipoonesha kwamba anataka kuongelea suala la Chato kuwa mkoa. Angekuwa mtu wa kufuata kelele za kisiasa lazima angingia mkumbo halafu kichwakichwa aseme Chato ni mkoa.
Hii sio mara ya kwanza kwa Rais wetu kuonesha wazi kwamba yeye ni mtu mkweli na sio mtu wa kufuata kelele na mkumbo wa Kisiasa. Hilo linathibitika kupitia
1. Kesi ya Mbowe. Kwa kelele nyingi za wapinzani, angekuwa Rais wa kuyumbishwa naamini angemuambia DPP aachane na ile kesi. Lakini kwa sababu hayumbishwi, ameiacha Mahakama ifanye kazi yake.
2. Tozo. Watu waliongea saaana, lakini kaendelea kuwaambia ukweli kwamba tunahitaji pesa ile hivyo lazima tutoe kodi.
3. Sabaya. Alimuondoa kazini, akaacha Sheria ifuatwe, Ni historia.
Ni baadhi tu ya mambo, ila huyu ni Rais mwenye msiamo.
Mkuu umechagua matusi katika mijadala... sina haki ya kukubadilisha π€£
Je unaweza kunieleza kilichomuondoa Dr.Slaa ?!!
Kwani ile "gia ya angani" haikuwa ya kitoto π€£
Umeamua kusimamia unachokiamini ila si kweli kuwa miaka 60 ya Uhuru hatuna maendeleo......Ukiandika UPUMBAVU ni lazima uambiwe ukweli. Unasifia vipi chama kilichopo madarakani kwa miaka 60 nchi yenye utajiri mkubwa sana, mikopo na misaada ya trillions lakini haina cha kujivunia?
Unasifia vipi chama kilicho madarakani kwa miaka 60 na miaka ya nyuma Tanzania iliheshimiwa sana duniani kote na kulikuwa na mshikamano mkubwa sana wa raia lakini sasa Tanzania INADHARAULIKA duniani kote na mshikamano umepotea.
Mtu wa hivyo kama siyo mpumbavu, mpuuzi etc. Unataka tumuite nani? GENIUS!? Remember this is JF WHERE WE DARE TO TALK OPENLY.
π³π³π³
Umeamua kusimamia unachokiamini ila si kweli kuwa miaka 60 ya Uhuru hatuna maendeleo......
Hivi pale JKCI panapofanyika upasuaji mkubwa wa moyo/kupandikiza mioyo chini ya Prof.Janabi si maendeleo ?!!!
Hivi hao wagonjwa wanaopandikizwa FIGO na UROTO wa mifupa si maendeleo makubwa hayo?!!! Khaaaa π²π€£π€£
Swali tanzania tuna maabara ya level gani??Umeamua kusimamia unachokiamini ila si kweli kuwa miaka 60 ya Uhuru hatuna maendeleo......
Hivi pale JKCI panapofanyika upasuaji mkubwa wa moyo/kupandikiza mioyo chini ya Prof.Janabi si maendeleo ?!!!
Hivi hao wagonjwa wanaopandikizwa FIGO na UROTO wa mifupa si maendeleo makubwa hayo?!!! Khaaaa π²π€£π€£
Unajidanganya!Sawa...historia hujirudia...tutafahamu zaidi 2030...mark my words
Mkuu BAK huwa unapenda sana kuniita mjinga na matusi kedekede....sasa wewe "mwerevu" unalinganisha HISTORIA YA UCHUMI ya KOREA KUSINI NA TANZANIA?!!! Khaaaa π³π€£Unajua maendeleo wewe? Angalia nchi ambazo uchumi wako miaka ya 60 ulikuwa sawa nΓ‘ Tanzania South Korea, Malaysia, Singapore walivyotuacha mbali. Yale ni maendeleo.
Umeendelea wakati nchi haina ajira, mamilioni ya Watanzania hata mlo mmoja tu kwa siku hawajui watautoa wapi!!! Upatikanaji wa huduma muhimu maji umeme matibabu kwa Watanzania wengi ni shida kubwa sana. Mishahara ni midogo sana na Wafanyakazi wengi kote nchi wanalalamika kwamba mishahara haitoshi kutokana na gharama kubwa za maisha.
Nchi yenye maendeleo na bado ina upungufu mkubwa sana wa Walimu, Wahandisi. Wahasibu, Manesi, etc lakini inashindwa kuwapa ajira!!!
Kajifinze maana halisi ya neno MAENDELEO badala ya kuandika ujinga ujinga.
Unajidanganya!
Hayo unayotamani hayatatokea.
Raisi Samia anaendelea kufanya vizuri sana.
Mkuu BAK huwa unapenda sana kuniita mjinga na matusi kedekede....sasa wewe "mwerevu" unalinganisha HISTORIA YA UCHUMI ya KOREA KUSINI NA TANZANIA?!!! Khaaaa π³π€£
Mwerevu huwajui CHAEBOLS wa Korea kusini?!! Duuuh π€£π€£
Mwalimu Nyerere hakuujenga uchumi wa nchi chini ya watu kama hao.....
Mkuu BAK umehamisha magoli tena ?!!! π€£π€£Bado unaonyesha jinsi ulivyo mpumbavu. Eti Tanzania nayo ina maendeleo!!! Bagonza wala hakukosea aliposema nchi hii ina Wapumbavu wengi sana pamoja na kuwa tuna idadi kubwa ya vyuo vikuu ukilinganisha na tulipokuwa na Chuo Kikuu kimoja.
Mkuu BAK umehamisha magoli tena ?!!! π€£π€£
Mwerevu hujui mchango wa CHAEBOLS kwa uchumi wa Korea Kusini kufikia kutufananisha na sisi ?!!! Ha ha ha
Mwerevu umetaja nchi 3... nimekutolea mfano wa moja....je unakubali kuwa HUJUI historia ya uchumi wa Korea Kusini kabla ya mimi kuendelea na MALAYSIA NA SINGAPORE?!!!Nasema hivi wewe ni mjinga!!! Nimezitaja nchi ngapi hapo? Au zote hizo kulikuwa na hao chaebols? Acha kuonyesha ujuha wako hadharani.
Mwerevu umetaja nchi 3... nimekutolea mfano wa moja....je unakubali kuwa HUJUI historia ya uchumi wa Korea Kusini kabla ya mimi kuendelea na MALAYSIA NA SINGAPORE?!!!
Sawa...tathmini ya ukweli itafanyika 2030Unajidanganya!
Hayo unayotamani hayatatokea.
Raisi Samia anaendelea kufanya vizuri sana.