#COVID19 Rais Samia muda wa kauli thabiti kuhusu Korona unakuyoyoma

#COVID19 Rais Samia muda wa kauli thabiti kuhusu Korona unakuyoyoma

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kumekuwapo maonyo mengi tangia ugonjwa huu ulipoingia. Ni wazi kuwa kutokana na kauli mkanganyiko zilizokuwapo katika nyakati mbali mbali hali halisi ndiyo hii inayoonekana leo.

Ugonjwa uliopaswa kushughulikiwa na wataalamu wa afya ukawa wa kushughulikiwa na wanasiasa. Matokeo yake miongoni mwetu wangalipo wasioamini hata uwepo tu wa ugonjwa huu duniani.

Hivi sasa dunia inakabiliwa na wimbi la tatu ambalo ni baya zaidi:


Hawatakuja manabii kutoka mbinguni kutuletea jumbe maalumu za kutuasa kutoka kwake mola. Tunaposikia wenzetu wakinyolewa kama hivyo, ndiyo jumbe zetu hizo.

Awamu ya tano walionywa sana hadi kufikia huku:


Kumbuka kikulacho ki nguoni mwako. Waliokuwa wakipinga naye uwepo wa Corona, leo hii kimya kimya barakoa haziwabanduki nyusoni.

Kauli yako italiokoa taifa hili. Wakati chelewa yako (nasikitika kusema) hali ikija kuwa mbaya utawala wako utakuwa njia panda.

Walio mstari wa mbele leo na vi propaganda uchwara vya kukushinikiiza kutokuuzingatia ushauri uliopewa na watalaamu uliowateua, watakuwa vinara wa kukunanga mambo yatakapo haribika.

Kinga ni bora zaidi kuliko tiba. Ni heri ukosee ukichukua tahadhari kuliko kubweteka.

Hili sasa ni lako wewe kama mkuu wa nchi.

Ninawasilisha.
 
Vaa barakoa, kauli siyo dawa ya covid

Ninavaa sana barakoa. Kuvaa kwangu barakoa hakutamwokoa mama kuendelea na utawala wake.

Wa awamu ya tano alionywa pia:


Kikinuka hata mama akiwa hai hatabaki madarakani. Na watakao mnanga ni pamoja na hawa hawa wanaonanga juhudi hizi leo.

Kauli yake thabiti ni kwa manufaa yake zaidi.
 
Kauli dhabiti ndo nini!,,mi nakushauri ukanywe chai bro..

Siyo ukanywe wewe usiyeweza kutofautisha hata maneno tu? Kwa mfano "dhabiti" ndiyo nini?

Usisahau pia kuongezea na michai chai.
 
Siyo ukanywe wewe usiyeweza kutofautisha hata maneno tu? Kwa mfano "dhabiti" ndiyo nini?

Usisahau pia kuongezea na michai chai.
Sababu hata hueleweki unataka nini?,kauli thabiti ndo dawa ya corona? nyie ndo kutwa mkimulaumu JPM eti atoe tamko muanze kuvaa barakoa,,jpm akaona hawa vipi, ina maana hawana akili za kutumia hadi yeye aseme.

Vaa barakoa, epuka msongamano,nawa mikono hiyo, hii inahitaji kauli thabiti ipi?,kwani tumekua dumb kiasi mpaka rais aseme vaa barakoa?
 
Sababu hata hueleweki unataka nini?,kauli thabiti ndo dawa ya corona?,,nyie ndo kutwa mkimulaumu JPM eti atoe tamko muanze kuvaa barakoa,,jpm akaona hawa vipi,ina maana hawana akili za kutumia hadi yeye aseme,,Vaa barakoa,epuka msongamano,nawa mikono hiyo,
Hii inahitaji kauli thabiti ipi?,kwani tumekua dumb kiasi mpaka rais aseme vaa barakoa?

Bila shaka chai sasa umekunywa na michai chai hukusahau.

Sihitaji kukumbushwa na mtu yeyote kuvaa barakoa ninayoitumia kwa mujibu wa maelekezo ya wataalamu na si wewe.

Kwamba sieleweki nataka nini?

Si inatosha nikikwambia: "Jihurumie mjomba."
 
Congratulations. U ve been appointed the head of COVID-21 MISSmanagement committee. Fika ofisini haraka kuchukua V8. 😎

I answer you in your native swahili. Sad my Sukuma translator has already left:

2817943_IMG_20210624_132438_541.jpg


Pole lakini eeh!
 
Bila shaka chai sasa umekunywa na michai chai hukusahau.

Sihitaji kukumbushwa na mtu yeyote kuvaa barakoa ninayoitumia kwa mujibu wa maelekezo ya wataalamu na si wewe...
We jamaa hujionagi Kama m.senge asiye na akili au zwazwa kukaa unaiwaza Corona tangu may 2020 unakomalia lockdown hadi leo!?.. hunaga kazi,mke au watoto au hata demu wa kukuweka bize!?.. Kuna watu mmezaliwa ili neno MPUMBAVU lipate watu wa kuwa mfano halisi.
 
Ndg zao wakianza kupukutika watakuelewa vizuri! Hali ni tete aisee!
 
I answer you in your native swahili. Sad my Sukuma translator has already left:

View attachment 1829145

Pole lakini eeh!
Kiuhalisia IQ yako na thinking capacity yako ipo very low. Sema sababu yawezekana tatizo la ujinga ni la kurithi(ukoo wenu) wala hutakaa ujue kwamba huna akili sababu hata waliokuzunguka ni mbumbumbu kama wewe.
 
Kitakwimu malaria inauwa sana watu ila bado mtu akisikia kuwa kuna mtu kafa kwa malaria anashangaa ilikuaje hadi akafa kwa malaria tu na wakati tiba zipo. Sasa corona inaambukiza tena kwa kasi sana na ni ugonjwa hatari zaidi ya malaria na hauna dawa, serikali bado inaendelea kuficha huu ugonjwa na watu wanakufa kimya kimya ndio maana hadi sasa hakuna takwimu.
 
We jamaa hujionagi Kama m.senge asiye na akili au zwazwa kukaa unaiwaza Corona tangu may 2020 unakomalia lockdown hadi leo!?.. hunaga kazi,mke au watoto au hata demu wa kukuweka bize!?.. Kuna watu mmezaliwa ili neno MPUMBAVU lipate watu wa kuwa mfano halisi.

Huo mbona unakuhusu wewe zaidi. Wewe ni Samia? Hili bandiko ni mahsusi kwake. Wewe unawashwa washwa vipi?

Ujinga dawa yake elimu lakini:

IMG_20210625_093922_275.jpg


Nenda shule!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mleta mada inawezekana kula yake inatokana na kuipigia debe corona!

Ana thread zaidi ya 200 zinazohusu corona, yani yeye tangu januari mwaka jana ni kupigania uwepo wa corona!
 
Kiuhalisia IQ yako na thinking capacity yako ipo very low. Sema sababu yawezekana tatizo la ujinga ni la kurithi(ukoo wenu) wala hutakaa ujue kwamba huna akili sababu hata waliokuzunguka ni mbumbumbu kama wewe.

Wewe hata thinking capacity huna. Si bora ungekuwa nayo japo kidogo. Nilishakupa hii nisiache kukupa tena:

IMG_20210625_093922_275.jpg
 
Back
Top Bottom