Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Ni mpuuzi flani ambae hujiona ana akili sana wakati ni empty tu kichwani mwake!Kuna muda alimpumzika na kuacha kupiga kelele za corona kwa sababu hazikuwa na kiki wakati,kile kipindi cha kampeni hadi uchaguzi mwaka jana hakuwahi kuleta uzi wa kuhusu corona yeye alikuwa anampamba Lissu tu na kushindanisha nyomi na Magufuli.