Sasa kama linamhusu Samia si umpelekee ofisini kwake kuliko kutupigia kelele hapa?Huo mbona unakuhusu wewe zaidi. Wewe ni Samia? Hili bandiko ni mahsusi kwake. Wewe unawashwa washwa vipi?
Ujinga dawa yake elimu lakini:
View attachment 1829156
Nenda shule!
Congratulations. Go home now.
Mkuu lazima tuwepo watu wa kuwaambia ukweli ni katika harakati za kuwasaidia. Wewe upeo wako wa kufikiri upo chini sana. Soma sana vitabu, hizi story za CORONA hazikusaidii zinakufanya uzidi kuwa fala zaidi. Tangu hiyo mnayodai Corona wave1,2 na Sasa 3 kelele zako za CORONA zimekufikisha wapi zaidi ya kuendelea kuonekana MPUMBAVU!??... Hujishtukii!?.. Je zikiendelea hadi Corona wave 9,10... Si utakuwa umeshachizika na kuokota makopo!??
Acha bangi...... nimekwambia Uganda wanazika majeneza hewa.Hoja nyepesi nyepesi hata Makonda alikuwa nazo.
India nako (walikuwa) wanachoma nini?
So kumbe ulikua unaropoka tu bila content za maana,,nambie kauli thabiti wewe inakusaidia vipi kujikinga na corona,,?,hiyo kauli thabiti ikoje hasa,au unataka Rais aongee ongeaje hasa ndo we uone sasa imekidhi kuwa kauli thabiti?Bila shaka chai sasa umekunywa na michai chai hukusahau.
Sihitaji kukumbushwa na mtu yeyote kuvaa barakoa ninayoitumia kwa mujibu wa maelekezo ya wataalamu na si wewe.
Kwamba sieleweki nataka nini?
Si inatosha nikikwambia: "Jihurumie mjomba."
Acha bangi...... nimekwambia Uganda wanazika majeneza hewa.
Mkuu anaipenda sana Corona huyu jamaa. Kuna thread moja alijiapiza akipata mtoto atamwita CORONA. Nadhani tumsamehe bado anaishi kwa wazazi wake na pia akili zake hazipo sawa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mleta mada inawezekana kula yake inatokana na kuipigia debe corona!
Ana thread zaidi ya 200 zinazohusu corona, yani yeye tangu januari mwaka jana ni kupigania uwepo wa corona!
Leo unapewa za uso kila anayekuja kwenye thread yako, bado hujioni ulivyo MPUMBAVU!??.. Jitahidi kuwa bize sio kushinda kwa wazazi wako ukisubiri tamko jipya la Samia kuhusu COVID. Mnaboa sana watu mnaokula na kulala bure kwenu. Akili yenu inadumaa.Wewe upeo wa kufikiri huna. Yaani zezeta fulani tu. Nina haja ya kuendelea zaidi ya hapo kweli?
So kumbe ulikua unaropoka tu bila content za maana,,nambie kauli thabiti wewe inakusaidia vipi kujikinga na corona,,?,hiyo kauli thabiti ikoje hasa,au unataka Rais aongee ongeaje hasa ndo we uone sasa imekidhi kuwa kauli thabiti?
Mkuu anaipenda sana Corona huyu jamaa. Kuna thread moja alijiapiza akipata mtoto atamwita CORONA. Nadhani tumsamehe bado anaishi kwa wazazi wake na pia akili zake hazipo sawa.
Mnafikili mtaweza kuyumbisha serikali kwa vijineno vya shombo,si ndio?,,Wewe si ndiyo mwenye neno "dhabiti?" Umeshajua sasa namna ya kuliandika kwa usahihi. Hiyo hatua ya kwanza kwenye elimu.
Hatua ya pili tafuta sasa maana yake.
Nakazia: Elimu hufuta ujinga. Pole pole utafika. Uko kwenye right track.
Ninavaa sana barakoa. Kuvaa kwangu barakoa hakutamwokoa mama kuendelea na utawala wake.
Wa awamu ya tano alionywa pia:
Rais Magufuli kuhusiana na Corona bora ukachukua hatua bila kuchelewa zaidi unauweka uongozi wako njia panda
MODs natumaini mtaunusuru uzi huu kumwangazia mheshimiwa rais hali ilivyo, ili naye, aweze: 1. Kujinusuru mwenyewe kuweza kuendelea kuongoza kama kazi hiyo anaipenda. 2. Kuyanusuru maisha ya watu wake wasio na hatia kwa maana ndiyo kazi kuu tuliyompa kama rais wetu. 3. Kulinusuru taifa ili...www.jamiiforums.com
Kikinuka hata mama akiwa hai hatabaki madarakani. Na watakao mnanga ni pamoja na hawa hawa wanaonanga juhudi hizi leo.
Kauli yake thabiti ni kwa manufaa yake zaidi.
Itakua ushamba unamsumbua huyu,,yaani anagonjea aambiee kujikinga na ugonjwa kama kuwa hawezi kujiongeza mwenyewe,,he is dumb ,too dumbLeo unapewa za uso kila anayekuja kwenye thread yako, bado hujioni ulivyo MPUMBAVU!??.. Jitahidi kuwa bize sio kushinda kwa wazazi wako ukisubiri tamko jipya la Samia kuhusu COVID. Mnaboa sana watu mnaokula na kulala bure kwenu. Akili yenu inadumaa.
Mnafikili mtaweza kuyumbisha serikali kwa vijineno vya shombo,si ndio?,,
Unapoteza mda tu,,
Mkuu ukiwa unaanzisha nyuzi zako za ki.senge kuhusu CORONA uwe unaangalia hata upepo wa wachangiaji ndo kichwa chako kitapata akili kidogo ile next time uanzishe uzi wa maana. Kwa style hii utachelewa hata kutoka kwenu kuanza kujitegemea.Wajinga wajinga huwa tunajaribu kawaelimishe kwa muda tu tukitegemea wataelimika. Hatuendelei kuwaelimisha hadi kuja kwa Messiah mara ya pili:
View attachment 1829167
Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Ni kataahira haka mkuu!Mkuu anaipenda sana Corona huyu jamaa. Kuna thread moja alijiapiza akipata mtoto atamwita CORONA. Nadhani tumsamehe bado anaishi kwa wazazi wake na pia akili zake hazipo sawa.
Kuna muda alimpumzika na kuacha kupiga kelele za corona kwa sababu hazikuwa na kiki wakati huo, kile kipindi cha kampeni hadi uchaguzi mwaka jana hakuwahi kuleta uzi wa kuhusu corona yeye alikuwa anampamba Lissu tu na kushindanisha nyomi na Magufuli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mleta mada inawezekana kula yake inatokana na kuipigia debe corona!
Ana thread zaidi ya 200 zinazohusu corona, yani yeye tangu januari mwaka jana ni kupigania uwepo wa corona!
Manufaayake yapi?
Afya yake inakuhusu Nini?
Kauli gani unataka atoe?Ya lockdown au ipi?
Mbona unawazia nchi yako mabaya kiasi hicho?
We jamaa SI bule,utakuwa Ni kibaraka.
Wewe ni kajinga sana! Mwaka wa 2 huu unaipigia debe corona tu! Una shida gani?Na hili - "Mnafikili" ni neno la kiswahili?
Si uandike hata kwa ile lugha yenu pendwa tu?
Kiiraq?,,tetea hoja yako basi,,kauli thabiti ndo kitu gani,mbona unakwepa?,unaanzisha topic huwezi kuitetea?..wewe ni hopeless,,an insult to the family you came from,,,too weak reasoning..Na hili - "Mnafikili" ni neno la kiswahili?
Si uandike hata kwa ile lugha yenu pendwa tu?