#COVID19 Rais Samia muda wa kauli thabiti kuhusu Korona unakuyoyoma


Wewe upeo wa kufikiri huna. Yaani zezeta fulani tu. Nina haja ya kuendelea zaidi ya hapo kweli?
 
Bila shaka chai sasa umekunywa na michai chai hukusahau.

Sihitaji kukumbushwa na mtu yeyote kuvaa barakoa ninayoitumia kwa mujibu wa maelekezo ya wataalamu na si wewe.

Kwamba sieleweki nataka nini?

Si inatosha nikikwambia: "Jihurumie mjomba."
So kumbe ulikua unaropoka tu bila content za maana,,nambie kauli thabiti wewe inakusaidia vipi kujikinga na corona,,?,hiyo kauli thabiti ikoje hasa,au unataka Rais aongee ongeaje hasa ndo we uone sasa imekidhi kuwa kauli thabiti?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mleta mada inawezekana kula yake inatokana na kuipigia debe corona!

Ana thread zaidi ya 200 zinazohusu corona, yani yeye tangu januari mwaka jana ni kupigania uwepo wa corona!
Mkuu anaipenda sana Corona huyu jamaa. Kuna thread moja alijiapiza akipata mtoto atamwita CORONA. Nadhani tumsamehe bado anaishi kwa wazazi wake na pia akili zake hazipo sawa.
 
Wewe upeo wa kufikiri huna. Yaani zezeta fulani tu. Nina haja ya kuendelea zaidi ya hapo kweli?
Leo unapewa za uso kila anayekuja kwenye thread yako, bado hujioni ulivyo MPUMBAVU!??.. Jitahidi kuwa bize sio kushinda kwa wazazi wako ukisubiri tamko jipya la Samia kuhusu COVID. Mnaboa sana watu mnaokula na kulala bure kwenu. Akili yenu inadumaa.
 
So kumbe ulikua unaropoka tu bila content za maana,,nambie kauli thabiti wewe inakusaidia vipi kujikinga na corona,,?,hiyo kauli thabiti ikoje hasa,au unataka Rais aongee ongeaje hasa ndo we uone sasa imekidhi kuwa kauli thabiti?

Wewe si ndiyo mwenye neno "dhabiti?" Umeshajua sasa namna ya kuliandika kwa usahihi. Hiyo hatua ya kwanza kwenye elimu.

Hatua ya pili tafuta sasa maana yake.

Nakazia: Elimu hufuta ujinga. Pole pole utafika. Uko kwenye right track.
 
Mkuu anaipenda sana Corona huyu jamaa. Kuna thread moja alijiapiza akipata mtoto atamwita CORONA. Nadhani tumsamehe bado anaishi kwa wazazi wake na pia akili zake hazipo sawa.

Wajinga wajinga huwa tunajaribu kuwaelimishe kwa muda tu tukitegemea wataelimika. Hatuendelei kuwaelimisha hadi kuja kwa Messiah mara ya pili:



Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Wewe si ndiyo mwenye neno "dhabiti?" Umeshajua sasa namna ya kuliandika kwa usahihi. Hiyo hatua ya kwanza kwenye elimu.

Hatua ya pili tafuta sasa maana yake.

Nakazia: Elimu hufuta ujinga. Pole pole utafika. Uko kwenye right track.
Mnafikili mtaweza kuyumbisha serikali kwa vijineno vya shombo,si ndio?,,
Unapoteza mda tu,,
 
Manufaayake yapi?
Afya yake inakuhusu Nini?
Kauli gani unataka atoe?Ya lockdown au ipi?

Mbona unawazia nchi yako mabaya kiasi hicho?
We jamaa SI bule,utakuwa Ni kibaraka.
 
Leo unapewa za uso kila anayekuja kwenye thread yako, bado hujioni ulivyo MPUMBAVU!??.. Jitahidi kuwa bize sio kushinda kwa wazazi wako ukisubiri tamko jipya la Samia kuhusu COVID. Mnaboa sana watu mnaokula na kulala bure kwenu. Akili yenu inadumaa.
Itakua ushamba unamsumbua huyu,,yaani anagonjea aambiee kujikinga na ugonjwa kama kuwa hawezi kujiongeza mwenyewe,,he is dumb ,too dumb
 
Mnafikili mtaweza kuyumbisha serikali kwa vijineno vya shombo,si ndio?,,
Unapoteza mda tu,,

Na hili - "Mnafikili" ni neno la kiswahili?

Si uandike hata kwa ile lugha yenu pendwa tu?
 
Wajinga wajinga huwa tunajaribu kawaelimishe kwa muda tu tukitegemea wataelimika. Hatuendelei kuwaelimisha hadi kuja kwa Messiah mara ya pili:

View attachment 1829167

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Mkuu ukiwa unaanzisha nyuzi zako za ki.senge kuhusu CORONA uwe unaangalia hata upepo wa wachangiaji ndo kichwa chako kitapata akili kidogo ile next time uanzishe uzi wa maana. Kwa style hii utachelewa hata kutoka kwenu kuanza kujitegemea.
 
Mkuu anaipenda sana Corona huyu jamaa. Kuna thread moja alijiapiza akipata mtoto atamwita CORONA. Nadhani tumsamehe bado anaishi kwa wazazi wake na pia akili zake hazipo sawa.
Ni kataahira haka mkuu!
.
Ndio shida ya hawa vijana wanaokaa kwa waume za dada zao! Akiweka bando lake la jero aliloiba alipotumwa kununua nyanya basi akija humu ni kuhara tu,

Akiambiwa lockdown anashangilia sana maana hajui kwamba kutoka kwa shemeji yake ndio kula yake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mleta mada inawezekana kula yake inatokana na kuipigia debe corona!

Ana thread zaidi ya 200 zinazohusu corona, yani yeye tangu januari mwaka jana ni kupigania uwepo wa corona!
Kuna muda alimpumzika na kuacha kupiga kelele za corona kwa sababu hazikuwa na kiki wakati huo, kile kipindi cha kampeni hadi uchaguzi mwaka jana hakuwahi kuleta uzi wa kuhusu corona yeye alikuwa anampamba Lissu tu na kushindanisha nyomi na Magufuli.
 
Manufaayake yapi?
Afya yake inakuhusu Nini?
Kauli gani unataka atoe?Ya lockdown au ipi?

Mbona unawazia nchi yako mabaya kiasi hicho?
We jamaa SI bule,utakuwa Ni kibaraka.

"Afya yake inakuhusu nini?"

Umeona nani kaongelewa afya yake?

Labda tuanzie hapo ikiwa utakuwa hujakurupuka kutoka chooni tu.

Ya "si bule" hayo baadaye au vipi?
 
Na hili - "Mnafikili" ni neno la kiswahili?

Si uandike hata kwa ile lugha yenu pendwa tu?
Wewe ni kajinga sana! Mwaka wa 2 huu unaipigia debe corona tu! Una shida gani?

Tulishakwambia jifungieni wewe na ukoo wako siku ukisikia corona hakuna kabisa duniani ndio mnatoka sawa?
 
Na hili - "Mnafikili" ni neno la kiswahili?

Si uandike hata kwa ile lugha yenu pendwa tu?
Kiiraq?,,tetea hoja yako basi,,kauli thabiti ndo kitu gani,mbona unakwepa?,unaanzisha topic huwezi kuitetea?..wewe ni hopeless,,an insult to the family you came from,,,too weak reasoning..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…