Rais Samia: Muda wa siasa za uhasama umekwisha

Rais Samia: Muda wa siasa za uhasama umekwisha

Kwa dhamira yake hii njema, Rais Samia, atabarikiwa na bila shaka atafanikiwa. Jamabo jema ni kwamba kama uongozi wake utafanikiwa, yatakuwa mafanikio ya Taifa.

Kama kuna nchi, siasa za ushindani humaanisha uhasama, siyo lazima sisi kuziiga hizo. Twende na kile tumachokiona ni chema, ili na wengine siku moja waje wajifunze kwetu.
 
Upinzani au ushindani ubaki kuwa utani wa jadi kama simba na yanga bila kupigana,hata yanga na simba enzi za kale tulishuhudia ugomvi mkubwa wa kutoana ngeo, ustaarabu umeingia umebaki kuwa utani wa jadi, pia CDM na CCM ibaki kuwa hivyo upendo, utani na kukosoana kwa minajili ya maendeleo. Fullstop. Mama kaelewa. Falsafa safi.
 
CCM ya Mwendazake hawataki siasa za amani, wamesikitishwa saana na hatua ya Mwenyekiti wetu Taifa kusema sasa yatosha - hawana uhakika kama watatoboa majukwaani maana wengi walisaidiwa kupita majimboni bila kupingwa, kuiba kura nk.
 
Leo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.

"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan

Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.

"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
FmGP6YCWQAAem9W
Atwambie muda upi ulikuwa wa siasa uhasama
 
Kumbe kulikuwa na siasa kipindi Cha J.P.M Mbona mlitwambia haliwazuia
Hizo ndiyo siasa za uhasama ndugu yangu,Mkurugenzi nimekuajiri,gari nmekupa mimi,mshahara nakulipa mimi halafu Mpinzani ashinde utakuwa huna kazi,"Mkichagua mpinzani jueni kwenu sileti maendeleo","Wapinzani walichewesha sana Maendeleo" hizo ni kauli za mwendazake kwa vipindi tofauti.
 
Rais Samia Ni chaguo la Mwenyezi MUNGU, aliyeinuliwa na Mwenyezi MUNGU ,aliyeandaliwa na Mwenyezi MUNGU Tangia Akiwa Tumboni mwa mama take, Aliye kuja kuwatumikia Waja wa Mwenyezi MUNGU,Aliye na hofu ya Mwenyezi MUNGU,mcha Mungu,Mwenye kumtangulia Mungu,Mwenye kuyaishi maneno take,Asiyetaka kumuumiza yeyote aliyeumbwa na Mwenyezi MUNGU,Kwa kuwa anatambua uongozi hutoka kwa Mwenyezi MUNGU pekee na Ni Mungu pekee anayejuwa hatima ya kila mmoja wetu
Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako.
 
Leo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.

"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan

Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.

"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
FmGP6YCWQAAem9W
Rais Samia Suluhu namuelewa sana hata ushauri wake anaotoa anaongea kama mama pia kama Rais wale waliozoea mambo ya kutumia nguvu bila kuelimishana hawatamuelewa
 
Hao uvccm hoja watolee wapi mana wote wana akili za kushikiwa
Haya ni mabadiliko na usikalili mzee huu ni utawala wa Rais Samia Suluhu na siasa zitakazofanywa kipindi hiki ni siasa za kistaarabu sio mlizozizoea
 
Kwa dhamira yake hii njema, Rais Samia, atabarikiwa na bila shaka atafanikiwa. Jamabo jema ni kwamba kama uongozi waje utafanikiwa, yatakuwa mafanikio ya Taifa.

Kama kuna nchi, siasa za ushindani humaanisha uhasama, siyo lazima sisi kuziiga hizo. Twende na kile tumachokiona ni chema, ili na wengine siku moja waje wajifunze kqetu.
Exactly Rais Samia Suluhu lazima afanikiwe na ameshafanikiwa kutuweka pamoja na sasa kwa pamoja tunaelekea kwenye ujenzi wa Tanzania mpya
 
SAWA MAMA Mtangulizi wako ALIZIPENDA SANA HIZO SIASA MUNGU akupe Afya njema na Busara ili UTUPATIE KATIBA MPYA
Siasa za uhasama mlizianzisha nyie chadema sema hamkujua uvumilivu wa kiongozi mmoja mmoja, kikwete alikuwa mvumilivu lkn ikawa tofauti Kwa magufuli, so revenge ya magufuli ilikuwa doubled ndo mana mkamuona yeye kama mshari Ila wachokozi mlikuwa nyinyi.
 
Rais Samia Ni chaguo la Mwenyezi MUNGU, aliyeinuliwa na Mwenyezi MUNGU ,aliyeandaliwa na Mwenyezi MUNGU Tangia Akiwa Tumboni mwa mama take, Aliye kuja kuwatumikia Waja wa Mwenyezi MUNGU,Aliye na hofu ya Mwenyezi MUNGU,mcha Mungu,Mwenye kumtangulia Mungu,Mwenye kuyaishi maneno take,Asiyetaka kumuumiza yeyote aliyeumbwa na Mwenyezi MUNGU,Kwa kuwa anatambua uongozi hutoka kwa Mwenyezi MUNGU pekee na Ni Mungu pekee anayejuwa hatima ya kila mmoja wetu
Dah!
Wewe ni bonge ya chawa.
Nafikiri unayo PhD kwenye uchawa🤔
 
Leo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.

"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan

Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.

"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
FmGP6YCWQAAem9W
Matusi ndio silaha yao ! Ngoja tuone
 
Back
Top Bottom