25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Na utakoselewa kweli kwa sababu watu wako wakuu wa mikoa wilaya wabunge mawaziri madiwani walio wengi ni mizigoLeo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.
"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan
Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.
"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
![]()
Mpaka sisi watu wachini tunaona kuwa hapa hela ipigwa lakini mkuu wa wilaya wala mbunge haoni hilo mfano hizi barabala zinazo kwanguliwa kipindi chote kila mwaka hazina mtalo mvua ikinyesha inazoa udongo wote mwakani wanakwangua huo kama sio wizi nini subili mikutano ianze uone ukweli ulivio