Tunakaa na ndugu nyumba moja wengine Simba wengine Yanga miaka nenda rudi baada ya mpira tunakaa meza moja tunalenga mawe sinia la ubwabwaSiasa by uhasama haziendi, aangalie Brazil au Marekani nk..
Kwanza Hilo haliwezekani,ushindani huzaa uhasama Ila kikibwa Ni kuvumiliana.
Akianza kampeni ndio ataelewa.SAWA MAMA Mtangulizi wako ALIZIPENDA SANA HIZO SIASA MUNGU akupe Afya njema na Busara ili UTUPATIE KATIBA MPYA
Samia asichukulie rahisi kihivo cos hiyo nafasi yake watu wanaitaka na wanajua kuwa kuipata lazima wafanyekazi kubwa na sio kutabasam mda wote
Atwambie muda upi ulikuwa wa siasa uhasamaLeo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.
"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan
Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.
"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
Awamu ya Tano.Atwambie muda upi ulikuwa wa siasa uhasama
Kumbe kulikuwa na siasa kipindi Cha J.P.M Mbona mlitwambia haliwazuiaAwamu ya Tano chini ya dicteta magufuri siasa za ugomvi,vijembe,matusi,dharau na kukomoana zilishamiri sana.
Hizo ndiyo siasa za uhasama ndugu yangu,Mkurugenzi nimekuajiri,gari nmekupa mimi,mshahara nakulipa mimi halafu Mpinzani ashinde utakuwa huna kazi,"Mkichagua mpinzani jueni kwenu sileti maendeleo","Wapinzani walichewesha sana Maendeleo" hizo ni kauli za mwendazake kwa vipindi tofauti.Kumbe kulikuwa na siasa kipindi Cha J.P.M Mbona mlitwambia haliwazuia
Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako.Rais Samia Ni chaguo la Mwenyezi MUNGU, aliyeinuliwa na Mwenyezi MUNGU ,aliyeandaliwa na Mwenyezi MUNGU Tangia Akiwa Tumboni mwa mama take, Aliye kuja kuwatumikia Waja wa Mwenyezi MUNGU,Aliye na hofu ya Mwenyezi MUNGU,mcha Mungu,Mwenye kumtangulia Mungu,Mwenye kuyaishi maneno take,Asiyetaka kumuumiza yeyote aliyeumbwa na Mwenyezi MUNGU,Kwa kuwa anatambua uongozi hutoka kwa Mwenyezi MUNGU pekee na Ni Mungu pekee anayejuwa hatima ya kila mmoja wetu
Rais Samia Suluhu namuelewa sana hata ushauri wake anaotoa anaongea kama mama pia kama Rais wale waliozoea mambo ya kutumia nguvu bila kuelimishana hawatamuelewaLeo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.
"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan
Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.
"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
Haya ni mabadiliko na usikalili mzee huu ni utawala wa Rais Samia Suluhu na siasa zitakazofanywa kipindi hiki ni siasa za kistaarabu sio mlizozizoeaHao uvccm hoja watolee wapi mana wote wana akili za kushikiwa
Exactly Rais Samia Suluhu lazima afanikiwe na ameshafanikiwa kutuweka pamoja na sasa kwa pamoja tunaelekea kwenye ujenzi wa Tanzania mpyaKwa dhamira yake hii njema, Rais Samia, atabarikiwa na bila shaka atafanikiwa. Jamabo jema ni kwamba kama uongozi waje utafanikiwa, yatakuwa mafanikio ya Taifa.
Kama kuna nchi, siasa za ushindani humaanisha uhasama, siyo lazima sisi kuziiga hizo. Twende na kile tumachokiona ni chema, ili na wengine siku moja waje wajifunze kqetu.
Siasa za uhasama mlizianzisha nyie chadema sema hamkujua uvumilivu wa kiongozi mmoja mmoja, kikwete alikuwa mvumilivu lkn ikawa tofauti Kwa magufuli, so revenge ya magufuli ilikuwa doubled ndo mana mkamuona yeye kama mshari Ila wachokozi mlikuwa nyinyi.SAWA MAMA Mtangulizi wako ALIZIPENDA SANA HIZO SIASA MUNGU akupe Afya njema na Busara ili UTUPATIE KATIBA MPYA
Sie wanaccm hatunaga jau na mtu, chadema walitunyanyasa Sana enzi za kikwete, Kwa mwamba waccm tulipumuaBaadhi ya wana CCM wenzetu hawataki amani, hawajapenda kabisa hii move.
Dah!Rais Samia Ni chaguo la Mwenyezi MUNGU, aliyeinuliwa na Mwenyezi MUNGU ,aliyeandaliwa na Mwenyezi MUNGU Tangia Akiwa Tumboni mwa mama take, Aliye kuja kuwatumikia Waja wa Mwenyezi MUNGU,Aliye na hofu ya Mwenyezi MUNGU,mcha Mungu,Mwenye kumtangulia Mungu,Mwenye kuyaishi maneno take,Asiyetaka kumuumiza yeyote aliyeumbwa na Mwenyezi MUNGU,Kwa kuwa anatambua uongozi hutoka kwa Mwenyezi MUNGU pekee na Ni Mungu pekee anayejuwa hatima ya kila mmoja wetu
Matusi ndio silaha yao ! Ngoja tuoneLeo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.
"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan
Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.
"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu