Rais Samia: Muda wa siasa za uhasama umekwisha

Rais Samia: Muda wa siasa za uhasama umekwisha

Kuna ushahidi wa Maneno,Mkichague Mbunge MPINZANI sileti maendeleo jimboni kwenu,Mkurugenzi gari nikupe mimi,mshahara nikulipe mimi halafu mpinzani ashinde utanitambua,Wapinzani walichelewesha maendeleo.Ushahidi wa Matukio muda wote wa utawala wake MAFISADI aliokuwa anawaongelea ni wapinzani hasa hasa CHADEMA na karibia wale wote wenye ushawishi waliishia kusweka jela na kupigwa ,Tukio la Tundu Lisu Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania halijawahi tokea Tanzania tangu nchi ipate uhuru na hata kabla ya uhuru ila limetokea kwa shetani wa Chato.Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 haujawahi fanywa vile tangu nchi ipate uhuru na kabla ya uhuru.Sijawahi ona Uchaguzi Mkuu ukuisimamiwa na wanaccm,vifaru na wanajeshi kama uchaguzi wa 2020.

Kwa hiyo kama familia yako ni wajinga na wapumbavu endelevu ambao huzimishwa kwa maneno ya viyisho mimi siyo saizi hiyo niliyoyaona maovu ya Magufuri na wewe umeyaona sema tu ulikuwa upande wake.Akija mwingine kutoka Kanda nyingine na akaamuwa kuwatendea ubaya watu wa kanda yenu na kabila lenu hata asipokufunga wewe lakini macho yako na masikio yakiwa yanashuhudia hutafurahia hata siku moja.Tunapomsema Magufuri kwa ubaya siyo kwa sababu tunamchukia mbona zamani alikuwa Waziri wa kuigwa kila wizara aliyoisimamia ilifanya vizuri.Sisi tunachukia matendo aliyoyaleta Tanzania ambayo hayakuwahi kutokea hata kipindi cha mkoloni.

Siku hizi Kesi za UCHOCHEZI unazisikia???Na kama huzisikii zimeenda wapi wakati polisi ni wale wale waliokuwa wanatekeleza amri yake?Zamani ilikuwa ni rahisi kwa Mkubwa au mwenye mamlaka kudanganya wadogo.Hata sisi mama zetu wakijifungua tulikuwa tunaambiwa na wazazi kuwa Mtoto amenunuliwa sokoni na tukaamini kama vile wewe Magufuri alivyokuaminisha kuwa ADUI wa maendeleo Tanzania nia CHADEMA au Vyama vyama vya upinzani,Mafisadi,Wavivu,Wezi,Vibaraka wa Mabebru,Mashoga,Omba omba wanapatikana Upinzani.

Kua basi huu ni mwaka 2023 badilika leo CCM imebaki pekee yake ushuhudie jinsi Maendeleo yatakavyopaa na yakipaa kwa kasi yenu tutawakubali maana Wapinzani walichelewesha Maendeleo.Mkishindwa tutawasema kama tunavyomsema Magufuri baada ya kuleta siasa za Machafuko nchini Tanzania enzi za utawala wake.Tanzania ni yetu na hatuna mahali pa kwenda zaidi ya Tanzania,Ndoto ya mtu mmoja isitufanye kuwa sisi hatufai kuishi Tanzania.
Huo sio Ushahidi.
Ni maneno maneno ya Uchochezi.
Nafikiria mmefika stage nyingine.
Mtavuna mnacho panda.

Huwezi Kudai haki kwa kujishusha, kwa kujiita Mjinga, na yote yanayohusishwa na Ujinga.

Huna Upande wowote ule unaotetea, Iwe ni Mtanzania, Wananchi wake, CCM Chadema au Chama chochote kile.

Tafuta amani mapema. NUMBERS 12:1
 
Toka mwanzo wa mada hii kumekuwa na Uhasam, pamoja na kuwa mleta mada mwanahudhuri Kalacha Mateo amedai
" Muda wa Siasa za Uhasma Umekwisha"
Najiuliza;
Je ni Maneno yaliyonukuliwa moja kwa moja kutoka kwenye Hotuba ya Raisi? Ni maneno ya Raisi(ad-lib) au Ni maneno ya Kachala?
Who said dem words!!!!???? Muda wa Siasa za Uhasama umekwisha?

Nani alikuwa mlengwa wa hayo?....Ninachojua kwa uhakika walengwa wakuu walikuwa UVCCM
Kama kuna wengine huyo Kalacha Mateo aje atueleze....inawezekana yumu humu na ID tofauti.


Halikadhaliaka tunaweza sema walengwa ni Vijana wote Tanzania, Wananchi wa Tanzania....Sasa kwa nini bado huo Uhasama, bado unaokana wazi humu?? Why?
 
Siasa by uhasama haziendi, aangalie Brazil au Marekani nk..

Kwanza Hilo haliwezekani,ushindani huzaa uhasama Ila kikibwa Ni kuvumiliana.

Siwezi kuvumilia kwa haya yafuatayo.

Kwanza niseme kwa mada zako, kwa maneno yako hauchangii kingine zaidi ya kuleta , na kuendeleza Huo Uhasama una nongwa, una unduminakuwili.
Hakuna sehemu yoyote ile ambayo umeomba au kudai uvumilivu. Nani avumilie? Na kwa sababu zipi?

Mna mitindo ya kuspin mambo mengi tu humu ilimradi inatosheleza azma yenu-Uhasama na mwishowe muone Nchi kama Tanzania inamegeka kwa itikadi, kitu ambacho hakipo. Ulikuwa mstari wa mbele kuona mikoa ya kusini na kaskazini inagawanyika kwa itikadi zenu za Ushetani.

Unabisha?

Ukiulizwa kwa hoja unakurupuka na kuanza matusi! Unaleta mzaha mzaha unajichekesha, unasepa.,
Seriously, you cannot lecture anyone about Uvumilivu- huna hulka hiyo na kuna uthibitisho tosha wa kuwa wewe sio Mvumilivu. Na hilo unalodai ni Ushindani ni Ushindani gani huo?
 
SAWA MAMA Mtangulizi wako ALIZIPENDA SANA HIZO SIASA MUNGU akupe Afya njema na Busara ili UTUPATIE KATIBA MPYA

Ulicho bandika ndicho kinaitwa Kinafiki nafiki

Huna lolote lile ulilosema zaidi ya Kupindisha aliyoyasema.
 
Rais Samia Ni chaguo la Mwenyezi MUNGU, aliyeinuliwa na Mwenyezi MUNGU ,aliyeandaliwa na Mwenyezi MUNGU Tangia Akiwa Tumboni mwa mama take, Aliye kuja kuwatumikia Waja wa Mwenyezi MUNGU,Aliye na hofu ya Mwenyezi MUNGU,mcha Mungu,Mwenye kumtangulia Mungu,Mwenye kuyaishi maneno take,Asiyetaka kumuumiza yeyote aliyeumbwa na Mwenyezi MUNGU,Kwa kuwa anatambua uongozi hutoka kwa Mwenyezi MUNGU pekee na Ni Mungu pekee anayejuwa hatima ya kila mmoja wetu

Mungu Lazima akushangae.
Huna lolote lile la moyoni.
Nongwa hiyo.

Akija Kukushugulikia ukumbuke kutubu...na mara hiyo Useme Ukweli....kama ulikuwa hujui anayajua yako ya moyoni.

Angalia usijekujikwaza na maneno yako mwenyewe.

Amani ikutatandae
 
CCM ya Mwendazake hawataki siasa za amani, wamesikitishwa saana na hatua ya Mwenyekiti wetu Taifa kusema sasa yatosha - hawana uhakika kama watatoboa majukwaani maana wengi walisaidiwa kupita majimboni bila kupingwa, kuiba kura nk.
Una Maana hao aliokuwa anahutubia ni wa Hayati?

Au unapindisha tu alimradi kuchagiza Uhasama.?

Najua hujielewi.
 
Kumbe kulikuwa na siasa kipindi Cha J.P.M Mbona mlitwambia haliwazuia
Hawajielewi, wanajisahau sana tu.

Ni wapuuzi na Wajinga wakubwa katika Dunia hii.
Wameishiwa

Ubarikiwe kwa kuona hilo na uendelee kuwakaripia maovu yao.
 
Siasa za uhasama, wa kweli na wa kutunga, ni ajira kwa baadhi ya watu. Kama zitaondoka kuna wengi watakosa ajira.
Mkuu, una maono. Endeleza baraka zako. Na usiogope kuwakaripia waovu.
Unawasoma vizuri tu.
 
Huo sio Ushahidi.
Ni maneno maneno ya Uchochezi.
Nafikiria mmefika stage nyingine.
Mtavuna mnacho panda.

Huwezi Kudai haki kwa kujishusha, kwa kujiita Mjinga, na yote yanayohusishwa na Ujinga.

Huna Upande wowote ule unaotetea, Iwe ni Mtanzania, Wananchi wake, CCM Chadema au Chama chochote kile.

Tafuta amani mapema. NUMBERS 12:1
Magufuri alishavuna alichopanda bado wewe zamu yako maana hata Sabaya anavuna alichopanda hata Mnyeti anaelekea kuvuna alichopanda.
 
Magufuri alishavuna alichopanda bado wewe zamu yako maana hata Sabaya anavuna alichopanda hata Mnyeti anaelekea kuvuna alichopanda.
Pindisha unavyotaka.
Mnaeleweka/Unaeleweka kwa hilo.

Una matatizo ya Ukimbari. kama sio Fikra.

Kawatishe wenzako TT

Ujiheshimu kwanza.
 
Pindisha unavyotaka.
Mnaeleweka/Unaeleweka kwa hilo.

Una matatizo ya Ukimbari. kama sio Fikra.

Kawatishe wenzako TT

Ujiheshimu kwanza.
Kumbuka kuwa heshima haipatikani kwa sababu ya kuunga mkono hoja dhoofu iliyojaa vitisho na dharau,heshima hutoka kwa hoja fikirishi yenye mtazamo chanya na siyo hasi kama unavyotaka wewe.
 
Kumbuka kuwa heshima haipatikani kwa sababu ya kuunga mkono hoja dhoofu iliyojaa vitisho na dharau,heshima hutoka kwa hoja fikirishi yenye mtazamo chanya na siyo hasi kama unavyotaka wewe.
Ingependeza kama ungekuwa unafanya hayo madai yako.

Nafikiri ungetungiwa huo wimbo wako unaoimba kila jibu unalitoa. Your are not a Victim Brah.
Iimbwe kwenye Mduara duara ufutwe jasho.

kalaga bao, lola funza wako mwenyewe.
 
Ingependeza kama ungekuwa unafanya hayo madai yako.

Nafikiri ungetungiwa huo wimbo wako unaoimba kila jibu unalitoa. Your are not a Victim Brah.
Iimbwe kwenye Mduara duara ufutwe jasho.

kalaga bao, lola funza wako mwenyewe.
I can't be a Victim always but the truth remains about what your GHOST did when he was alive and planted Evil deeds to many like you ,Makonda,Sabaya,Mnyeti and others and we are speaking openly in order that such thing should not repeat again.
 
Back
Top Bottom