DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.
Ilishasemwa kuwa CCM ni ukoo wa panya, kila mtu ni mwizi. Huyu kijana na mwingine anayefanya biashara ya kuingiza madawa ya binadamu ni Ridhiwan wa awamu ya sita
 
Nchi yetu bado sana kukua. Haya mambo yalitakiwa hata ukihisiwa umekwepa kodi lazima mtu awajibike.
Sijui lini tutafika huko
Kuna biashara unaweza kufanya na kulipa kodi zote na ukatajirika. Mtu anaeweza kuleta makontena 100 ya vitu na anauzia watu jumla ndani na nje ya nchi hata akipata 5% net profit margin kwa volume zake anakuwa tajiri tu.
 
Watoto wa viongozi wengine ni wakimya, wana nidhamu na ni wastaarab mno! Hawana haja ya mabavu wala kujikweza na kufanya mambo eti kwa sababu BABA au MAMA ni RAIS au mtu fulani. Waafrika sisi ni watu wa hovyo sana kwakweli πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”

Tatizo la watoto wa viongozi kusumbua si hapa tu kwa mataifa ya Afrika hata Zimbabwe... watoto wa hayati mzee Mugabe walikuwa wasumbufu mno! Sijui ni ulimbukeni au weusi wa akili kama rangi zetu au nini! πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”

Na katika haohao watoto wa viongozi wapo ambao wako very! Very! Very! Disciplined... mfano Mheshimiwa Rais mstaafu mzee Kikwete ana kijana wake anaitwa "ALLY KIKWETE" aisee yule kijana mungu ambariki. Ni wa kipekee sana! Na nafkiri atakuja kuwa kiongozi mkubwa baadae. VERY CALM AND DISCIPLINED!... VERY KINDHEARTED! MUNGU AMUONGOZE YULE KIJANA.

Tujirekebishe jamani. Tuige mifano na tuache ulimbukeni.
 
Mkuu shida sio kufanya biashara. Ni jinsi anavyofanya kwa mujibu wa mtoa mada.. wafanyabiashara wengine kufanya magumashi haihalalishi yeye kufanya magumashi hasa ukijua nafasi ya familia yake.
Kaandika kimajungu Sana...
Kama kweli hao TRA wameambiwa wasimguse ...sasa usumbufu wanapata kutoka wapi na washaagizwa wasimguse?..

Na kama kuna agizo kama Hilo je haoni kuja mitandaoni ndo kuzidi kuwaweka pabaya hao TRA Kkoo?
Si wanaweza hata kuhamishwa Kwa kuvujisha Jambo Hilo?
Bottom line naona hapa kuna majungu tu ya kumchafua mtu..
Usikute hata hao TRA Kkoo ndo hawajui kuna mtoto wa Rais kkoo anaeuza matairi
 
Kuuza matairi ni biashara ya kimasikini?!
Halafu kwa nini ujilinganishe na vilaza wasiostaarabika ambao ambao hawajui maana ya utumishi wa umma badala ya walioendelea na wa kupigiwa mfano katika uongozi?!
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
 
Inasikitisha sana kuwa na taifa lililojaa watu wa aina hii.
 

Naunga mkono hoja [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA

Umeongea ukweli mkuu, wachina hawatoi risiti kwa bidhaa zao za kariakoo. Unawalipa point A wanakupa memo ya kichina unaipeleka point B ilipo store ya mzigo na hawakupi risiti.

Kwann hao maafisa wa tra wasianze na hao wachina waliomuuzia Abbulahm mzgo bila risiti? Au na hao wachina ni watoto wa mama Samia? Tumesikia upande wako wa story, bado wa Abdullahim, kama vipi mpelekeni polisi mama yake aje amtoe kwa dhamana..
Umesikia wapi mtoto wa rais anarukiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…