technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kichwani hana kitu yule ningekuwa mabeyo nigechukua nchi mpaka 2025
Yaani ningefumua mifumo yote na kuleta katiba na kifumua vyama vya siasa vyote na kubaki na vyama viwili vya siasa.
2025 ningeitisha uchaguzi huru na chama kinachoshinda kinatoa rais na kinachoshindwa kinatoa spika wa bunge.
Hizi siasa za ccm ni upumbavu sana.
Yaani ningefumua mifumo yote na kuleta katiba na kifumua vyama vya siasa vyote na kubaki na vyama viwili vya siasa.
2025 ningeitisha uchaguzi huru na chama kinachoshinda kinatoa rais na kinachoshindwa kinatoa spika wa bunge.
Hizi siasa za ccm ni upumbavu sana.