Rais Samia na kamati, Kuna shida ipo mahali

Rais Samia na kamati, Kuna shida ipo mahali

Sasa wafanye kiburi chao ila hiyo hela haitopatikana...50% ya Watumiaji watatafuta njia mbadala kukwepa hayo makato.
Sikupingi........

Maisha ni kutafuta njia mbadala....

Ni bora serikali "ikaokoteza" kwa hao ambao hawatatafuta njia MBADALA ili kujenga barabara vijijini halafu zikishakamilika zitatumika na wote....wakiwemo wale "waliotafuta njia mbadala kukwepa tozo".....

NCHI HUJENGWA KWA MACHOZI ,JASHO NA DAMU
 
Ukitaka usimuumiza MTANZANIA kwa ATOACHO mwambie hili:

MCHANGO WA HARUSI utakaokuwa na POMBE ZA KUMWAGA NA NYAMA CHOMA MPAKA MENO YANG'OKE.....

Hakika TOZO hii haijapokelewa vyema....la muhimu SERIKALI YETU SIKIVU....SERIKALI YETU SIKIVU itapokea maoni ya KAMATI HIYO na kuipunguza TOZO na kuwa NYEPESI.....

MAENDELEO HAYAPATIKANI KWA KUPITIA NJIA NYEPESI NA RAHISI

MAENDELEO NI JASHO NA DAMU

#TulijengeTaifaLetuKwaUchunguMkubwa
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Jenga wewe wale wao!
 
Rais Samia ni kama bado yupo kwenye umakamu wa raisi.

Kuna vitu wala havihitaji kamati ila yeye anaunda kamati. Hadi sasa sijaona umuhimu wa kamati kuhusu tozo. Tozo mmeziweka wenyewe bila kushirikisha wananchi, halafu nyie tena haohao mnaunda kamati kuhusu hizo tozo.

Hapa Rais Samia unajichanganya sana, kwa nini hizo kamati usingeziweka kabla ya kuja hizo tozo? Mama Samia ukweli ni kuwa hii kazi ya uraisi inaenda kukupa wakati mgumu sana.

Kamati kamati kamati halafu kamati hizohizo zinaleta majibu ambayo wewe tayari ulikuwa ukiyataka, umuhimu wa kamati upo wapi?
Mama Samia ushasema tozo zipo palepale, Sasa Kama zipo palepale hiyo kamati unategemea itakupinga?

Watu walimshambulia mwigulu kuwa yeye ndio kaleta tozo Ila leo nadhani jibu wamelipata. Mama Samia unasema tozo ni kwa ajili ya kujenga barabara vijijini, kwani mbona watangulizi wako walijenga barabara nchi nzima bila hizo tozo? Uzuri watangulizi wako wengine wapo nenda kawaulize walipata wapi pesa za kujenga barabara na hospitali.

Hadi hapa umuhimu wa katiba mpya unaonekana wazi tu.

Ni muda ipo siku isiyo na jina mtatoka madarakani
Sio wazuri sana kwenye kutoa maamuzi.
Hata mtoto akikosea nyumbani utasikia " subiri baba yako atoke kazini.
 
Uanamke wake have nothing to do with her incompetence!

Mbona Angela Merkel na Jacinda Arden ni viongozi wazuri sana licha ya uanamke wao!
Acha utani wewe usifananishe mwanamke wa kizungu na mwanamke wa kipembe
 
Na laana itamtafuna hadi aione Ikulu chungu kama sifongo .. A shit in our high glorious state house!
 
Tukiwaambia huyu ni rais wa hovyo mnabisha na kuwasingizia mataga&sukuma geng et wanamkwamisha huyo mvaa mizura...kwa hili mim nkajua angekuja na suluhu kama jina lake kumbe bado anategemea hayo mavikao yake yakipumbav..aliyesema hil liserkal linaongozwa na watu wasio na maamuzi kwel alipatia...huyu n kiongoz wa hovyo kuwai kutokea, pengine hovyo kulko hata lile lizee la msoga[emoji44][emoji44][emoji44]......mdude njoo uwanyoe hawa watu wako
 
Ni kwamba ile namna ya ukusanyaji wa Mapato serikalini, ya JPM imekua ni namna ngumu sana kwao (Samia and her mentors) na ikiwezekana wameshindwa kabisa kwa sababu nyingi ikiwemo kuachia ile mirija ya unyonyaji na ufujaji pesa za serikali

Hivyo wanakuja na namna zao za ukusanyaji mapato ndio hizoo za Tozo umiza.
Kwahiyo unataka pesa zetu za benki zikwapuliwe kufadhili unachokiita maendeleo ila tozo ambazo hazikufilisi na unaweza usilipe unaziita tozo umiza.
 
Nafikiri bado yupo "repudiated" kama ndiye kiongozi wa mwisho mwenye kuhitaji kufanya maamuzi mengine kwa kujiamini. Jambo hili linamfanya kutegemea zaidi maamuzi ya kamati ama watu wengine ili kukwepa lawama.
La jamani muacheni apumue rais wetu,maana Gwajima kaachia kito kizito,Mbowe naye lol, na yeye Ana moyo was nyama.
 
Tukiwaambia huyu ni rais wa hovyo mnabisha na kuwasingizia mataga&sukuma geng et wanamkwamisha huyo mvaa mizura...kwa hili mim nkajua angekuja na suluhu kama jina lake kumbe bado anategemea hayo mavikao yake yakipumbav..aliyesema hil liserkal linaongozwa na watu wasio na maamuzi kwel alipatia...huyu n kiongoz wa hovyo kuwai kutokea, pengine hovyo kulko hata lile lizee la msoga[emoji44][emoji44][emoji44]......mdude njoo uwanyoe hawa watu wako
Kuna vilaza wengi mnafugwa huko Chadema, mkianza kuwa na akili mje kujenga hoja bila matusi.
 
Kichwani hana kitu yule ningekuwa mabeyo nigechukua nchi mpaka 2025

Yaani ningefumua mifumo yote na kuleta katiba na kifumua vyama vya siasa vyote na kubaki na vyama viwili vya siasa.

2025 ningeitisha uchaguzi huru na chama kinachoshinda kinatoa rais na kinachoshindwa kinatoa spika wa bunge.

Hizi siasa za ccm ni upumbavu sana.
Kwa mawazo haya ndiyo unaamini una akili kuliko huyo unaemwambia kichwani hana kitu.
 
Si kazi rahisi kuiunganisha mikoa yote.

Ndio maana kwa miaka 60 haijamalizika hiyo kazi.

Awamu ya 6 imekuja na mkakati wa KUMUINUA MKULIMA....kwa kumtengenezea barabara mpaka MASHAMBANI huko ili APUNGUKIWE GHARAMA ZA USAFIRI...MUDA WA KUSAFIRISHA MAZAO YAKE.

Hapa kuna tija kubwa ITAKAYOPATIKANA.

Leo tunaona UZITO ila huko mbeleni tutakuja kuuona WEPESI NA MAFANIKIO ADHIMU
Mbeleni wapi wakati mimi naishi leo?
 
Mama nchi imemshinda.
Ni kichekesho kuunda kamati kwa tatizo ulilolizalisha.
Mama atakuwa raisi aliyefeli kupita wote.


Hivi zile pesa zilipigwa wizara ya Fedha kamati ya waziri mkuu ilisharudi na majibu.???
 
Na laana itamtafuna hadi aione Ikulu chungu kama sifongo .. A shit in our highly honoured state house!
 
Angekuwepo yule Mjeshi siku nyingi angeshasema "sitaki kuona Mwananchi amekatwa..Mtu anamtumia Mama yake erfu tano..muikate kate arafu abaki na nini?.

Hayo ya sijui kanuni sijui sheria wangepambana nayo huko wenyewe.
Yule mjeshi na maamuzi yake ya hovyo ndio yametufikisha hapa tulipo.
 
Back
Top Bottom