Rais Samia na kamati, Kuna shida ipo mahali

Rais Samia na kamati, Kuna shida ipo mahali

Mkapa angekuwepo angemsaidia sana Rais.

Mawazo yangu tu lakini.
 
Suala la kuunda kamati ni delay tactic kubuy time, kutuliza hasira ya wananchi

Jiulize, kama tozo aliziseka bila kamati sasa leo anataka kamati ya nini?
 
Ili lijinga kumbe....m nkajua linakuja na suluhu kama jina lake kumbe bado mnategemea hayo mavikao yenu yakipumbav..aliyesema hil liserkal linaongozwa na watu wasio na maamuzi kwel alipatia...huyu n kiongoz wa hovyo kuwai kutokea, pengine hovyo kulko hata lile lizee la msoga[emoji44][emoji44][emoji44]......mdude njoo uwanyoe hawa watu wako
 
Ukitaka usimuumiza MTANZANIA kwa ATOACHO mwambie hili:

MCHANGO WA HARUSI utakaokuwa na POMBE ZA KUMWAGA NA NYAMA CHOMA MPAKA MENO YANG'OKE.....

Hakika TOZO hii haijapokelewa vyema....la muhimu SERIKALI YETU SIKIVU....SERIKALI YETU SIKIVU itapokea maoni ya KAMATI HIYO na kuipunguza TOZO na kuwa NYEPESI.....

MAENDELEO HAYAPATIKANI KWA KUPITIA NJIA NYEPESI NA RAHISI

MAENDELEO NI JASHO NA DAMU

#TulijengeTaifaLetuKwaUchunguMkubwa
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Kwani hiyo michango huwa inaenda kumwaga baharini?

Hivyo vyakula na vinywaji si vinatumika na vinalipiwa kodi, hizo sherehe si ndio zinasaidia Kampuni za Vinywaji kuzalisha zaidi vikitumika.

Hiyo michango si ndio inawalipa Wapiga picha, Video, Wenye Magari wanaokodishwa, Wapambaji, Wapishi n.k.

Sidhani hata kama huwa mnafikiria mambo kwa akili za kutosha.
 
Mi huwa siwaamini wanawake kwenye baadhi ya nyadhifa za kitaifa hasa cheo kikubwa kama Urais? There must be some corrupt politicians driving this failed woman president just for their own selfish interests, Rip JPM,
Uanamke wake have nothing to do with her incompetence!

Mbona Angela Merkel na Jacinda Arden ni viongozi wazuri sana licha ya uanamke wao!
 
Mi mwakani naanda mchakato wa kimyakimya ili 2025 nichuane naye ndani ya CCM
Nalog off
 
URAIS unapendeza mtu anatafakali mwenyewe then anaenda kuchukua form anapita kwenye chujio la chama then anaenda kuchukua tena form NEC then anapiga kampeni lakini Urais wa kwa mujibu wa katiba 🤔🤔🤔
 
Kichwani hana kitu yule ningekuwa mabeyo nigechukua nchi mpaka 2025

Yaani ningefumua mifumo yote na kuleta katiba na kifumua vyama vya siasa vyote na kubaki na vyama viwili vya siasa.

2025 ningeitisha uchaguzi huru na chama kinachoshinda kinatoa rais na kinachoshindwa kinatoa spika wa bunge.

Hizi siasa za ccm ni upumbavu sana.
Washabiki wa chadema mnaugulia maumivu 😂😂😂😂 ,muulize Mbowe na Heche wanamjua Sana mama
 
Si kazi rahisi kuiunganisha mikoa yote....

Ndio maana kwa miaka 60 haijamalizika hiyo kazi.....

Awamu ya 6 imekuja na mkakati wa KUMUINUA MKULIMA....kwa kumtengenezea barabara mpaka MASHAMBANI huko ili APUNGUKIWE GHARAMA ZA USAFIRI...MUDA WA KUSAFIRISHA MAZAO YAKE.....

Hapa kuna tija kubwa ITAKAYOPATIKANA.....

Leo tunaona UZITO ila huko mbeleni tutakuja kuuona WEPESI NA MAFANIKIO ADHIMU
Kila mtawala anaifanya Tanzania maabara ya majaribio!
Mara Uwazi na Ukweli,Mara Ari Mpya,kasi Mpya,Mara Tanzania ya viwanda,ya Magufuli na sasa ya tozo na kazi iendelee.Hawapo consistent, kila moja anatufanyia majaribio ya idea yake binafsi.
Tunataka Katiba ya Wananchi itakayowawajibisha waheshimiwa watawala tubaki na viongozi.
 
Si kazi rahisi kuiunganisha mikoa yote....

Ndio maana kwa miaka 60 haijamalizika hiyo kazi.....

Awamu ya 6 imekuja na mkakati wa KUMUINUA MKULIMA....kwa kumtengenezea barabara mpaka MASHAMBANI huko ili APUNGUKIWE GHARAMA ZA USAFIRI...MUDA WA KUSAFIRISHA MAZAO YAKE.....

Hapa kuna tija kubwa ITAKAYOPATIKANA.....

Leo tunaona UZITO ila huko mbeleni tutakuja kuuona WEPESI NA MAFANIKIO ADHIMU
Hivi tatizo letu ni pesa au akili?

Hatuna akili na nidhamu ya matumizi, pesa zinazopotea kwa ujinga na ubadhirifu ni nyingi sana na zingetosha kufanya mengi.
 
Kwani hiyo michango huwa inaenda kumwaga baharini?

Hivyo vyakula na vinywaji si vinatumika na vinalipiwa kodi, hizo sherehe si ndio zinasaidia Kampuni za Vinywaji kuzalisha zaidi vikitumika.

Hiyo michango si ndio inawalipa Wapiga picha, Video, Wenye Magari wanaokodishwa, Wapambaji, Wapishi n.k.

Sidhani hata kama huwa mnafikiria mambo kwa akili za kutosha.
Umetaja mnyororo sahihi kabisa....

Uko sawa kwa huo mnyororo.....

Sasa mbona nawe huuoni MNYORORO WA FAIDA ambao mh.Rais amekusudia katika hizi tozo....mnyororo KWA MKULIMA ,WENYE MAGARI YA MIZIGO ,MADALALI ,MPAKA mlaji anunuaye sokoni?!!!

Ama huo mnyororo wako pekee ndio unaostahili kipindi hiki cha "mdororo wa uchumi"?
 
Hivi ile kamati ya kariakoo imeshatoa majibu? kwenye hili la kamati kwenye kila kitu wala sioni wema wake kabisa... hili swala lilitakiwa kuwekwa wazi na Rais kuwa matumizi ya sheria hiyo mpya ya tozo na kodi kwenye miamala na vocha yasimame kwanza na yapitiwe upya na wahusika wakiwashirikisha sekta ya fedha (wadau) na waje na mapendekezo either kurudi kama zamani au kuja na viwango ambavyo havitozidi Tsh 100.....

Lakini kwa mpango huu wa tozo hizi na kauli ya Rais ni wazi hakutakuwa na mabadiliko yeyote zaidi ya kupunguza kiwango cha tozo... Rais ameshindwa kuwa muwazi tuu lakini dalili zinaonesha tozo hazitaondolewa bali kupunguzwa kidogo lakini makali yatakuwa pale pale..
Hizi tozo kama zitaachwa ni wazi zitaumiza sana uchumi kuliko..... vibanda vya pesa mtaani vitakufa vyote kwa mwendo huu.... mitandao ya simu itapata tabu sana
Mkuu wakati nasoma O level civics, tulifundishwa sheria yoyote ikipita bungeni lazima itiliwe saini na Rais. Kwa hiyo majibu unayo tayari.
 
Kula mtawala anaifanya Tanzania maabara ya majaribio!Mara Uwazi na Ukweli,Mara Ari Mpya,kasi Mpya,Mara Tanzania ya viwanda,ya Magufuli na sasa ya tozo na kazi iendelee.Hawapo consistent, kula moja anatufanyia majaribio ya idea zao binafsi.
Tunataka Katiba ya Wananchi itakayowawajibisha waheshimiwa wtawala tubaki na viongozi.
Mkuu hizi "kula kula kula" ni typing errors ama wewe ni mwarabu kula=kila?!! 🤣

Anyway hizo kauli ni vibwagizo vya muelekeo wa SERIKALI MPYA tu....hata nchi za magharibi HUFANYA...(Rejea references)
 
Sasa wafanye kiburi chao ila hiyo hela haitopatikana...50% ya Watumiaji watatafuta njia mbadala kukwepa hayo makato.
 
We naye unaandika utadhani unafikiria kutumia ubongo wa MTU mwingine,issue ni kuwa huwezi maliza matatizo yote kwa wakati moja kama ulivyo sema hapo juu.

Kodi zinazolipwa zinapelekwa wapi had I uende kuongeza tozo kwenye miamala,tena tozo zisizofuta tathimini ya kiuchumi-kwa uchumi gani wa Mtanzania ulio ingezeka mpaka uende Ku double tozo??.
Sawa mkuu....

Na hizo KODI usemazo zinalipwa na watanzania asilimia ngapi miongoni mwa watanzania milioni 60(ukitoa watoto)?!

Sisemi serikali imepatia kwenye viwango hivyo vya TOZO....ila binafsi endelea kunipinga kwa kuunga mkono TOZO ila yenye unafuu.....

Bila ya hivyo,unawezaje KUENDESHA SERIKALI ,KUMALIZA MIRADI YA AWAMU YA 5 NA KUIBUA MIRADI MINGINE bila ya "kuokoteza" huku kila siku tukiongezeka idadi na kuongeza mahitaji ya huduma lakini walipa kodi wakishindwa kuongezeka.....
 
Ni njia nzuri ya kukwepa lawama. Wenyewe wanaita uongozi jumuishi.
 
Back
Top Bottom