Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Ndio shida ya kutegemea watu badala ya kuweka mifumo imaraMkapa angekuwepo angemsaidia sana Rais.
Mawazo yangu tu lakini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio shida ya kutegemea watu badala ya kuweka mifumo imaraMkapa angekuwepo angemsaidia sana Rais.
Mawazo yangu tu lakini.
Huyu mama tayari kishachemsha hakuna kitu atafanya tenaKichwani hana kitu yule ningekuwa mabeyo nigechukua nchi mpaka 2025
Yaani ningefumua mifumo yote na kuleta katiba na kifumua vyama vya siasa vyote na kubaki na vyama viwili vya siasa.
2025 ningeitisha uchaguzi huru na chama kinachoshinda kinatoa rais na kinachoshindwa kinatoa spika wa bunge.
Hizi siasa za ccm ni upumbavu sana.
Hizo kamati zinampelekea majibu anayotaka.Nakupinga kitu kimoja: kuhusu kamati kwani naamini katika mjadala. Siamini maamuzi ya mtu mmoja tu kwani akikosea ndo basi hakuna wa kumrekebisha. Nadhani mtoa mada umeathirika na tabia za kiimla za jiwe.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ndio hapo na Mimi najiuliza. Kamati kamati, hamna lolote zaidi watafuata anayotaka yeyeSuala la kuunda kamati ni delay tactic kubuy time, kutuliza hasira ya wananchi
Jiulize, kama tozo aliziseka bila kamati sasa leo anataka kamati ya nini?