Rais Samia na Lissu, mwanzo mzuri kwa Watanzania, ndicho tulichokifanya hapa Kenya

Rais Samia na Lissu, mwanzo mzuri kwa Watanzania, ndicho tulichokifanya hapa Kenya

Na ndio maana nikasema uelewa wa watu unatofautiana sana. Kwa hivyo wale tupo saa hii sote ni viongozi ama?. Kama Kenya Ni failed state kisa raia mmoja kakosana na walio madarakani, nchi ambayo upindzani mzima unagura kwa kuhofia uhai wao ndio itakuwa Nini?..
Hivi mahakama yenu so ilitoa hukumu kwamba Miguna Miguna arudishiwe passport yake na aruhusiwe kurudi Kenya bila masharti yoyote, iweje serikali haiheshimu amri za mahakama?, Hiyo ndio sababu mojawapo Kenya kuwa ktk kundi la failed states
 
Hivi mahakama yenu so ilitoa hukumu kwamba Miguna Miguna arudishiwe passport yake na aruhusiwe kurudi Kenya bila masharti yoyote, iweje serikali haiheshimu amri za mahakama?, Hiyo ndio sababu mojawapo Kenya kuwa ktk kundi la failed states
Afadhali kwetu mahakama iko na huo udhubutu wa kukata kauli dhidi ya viongozi. Huko kwenu hata mahakama ni karagosi. Sasa hiyo ndio proper failed state. 🤣🙈
 
Afadhali kwetu mahakama iko na huo udhubutu wa kukata kauli dhidi ya viongozi. Huko kwenu hata mahakama ni karagosi. Sasa hiyo ndio proper failed state. [emoji1787][emoji85]
Sasa Kama inatoa kauli lakini hiyo kauli haisikilizwi, hiyo ni mahakama au ni mahakama ya failed state?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa Kama inatoa kauli lakini hiyo kauli haisikilizwi, hiyo ni mahakama au ni mahakama ya failed state?[emoji23][emoji23][emoji23]
Kauli ngapi hivi kakosa kusikilizwa?. Halafu afadhali haki kuchelewa lakini hukumu kishaa tolewa. Ina maana mhasiriwa yupo na matumaini ya kutendewa haki.
 
Kauli ngapi hivi kakosa kusikilizwa?. Halafu afadhali haki kuchelewa lakini hukumu kishaa tolewa. Ina maana mhasiriwa yupo na matumaini ya kutendewa haki.
Hahahaha, delayed Justice is a denied justice, don't you know that?
 
Lakini kwa juhudi za mama, zimesababisha hao CCM wamepoteana, kuna yule Polepole darasa lake la uongozi sijui liliishia wapi, wamepigana vikumbo humo ndani ya chama, naona akina Nape na Makamba ndio wapo usukani halafu kundi la "legasi" wapo nje wanashambulia.....
Japo kwa namna ninavyoelewa siasa za Tanzania, haitotokea CCM iondoke madarakani, ukweli mchungu Watanzania hamna ujasiri huo, labda baadaye sana, ujamaa mnao ndani yenu ambao husababisha muwe watu wa kuswagwa na kuelekezwa elekezwa, pale Dodoma akichaguliwa wa kuwania kwa CCM, moja kwa moja huyo ndiye rais.

Hao CCM leo wanaonyesha mpasuko ila uchaguzi ukikaribia wanakua kimoja maana hicho chama ndio kula yao, ndio riziki yao na hakuna atakubali kipigwe chini kama tulivyofanya KANU.
Tofauti na Wakenya, Watz kuna sehemu tunakosa ile "fighting spirit ", siyo kwenye siasa tu ila kwenye vitu vingi.
Watz tungekuwa na ujasiri kidogo tukaanza kudai Katiba mpya, ingekuwa ni mwanzo wa mabadiliko mapya.
Kwa mfumo ulivyo kwa sasa, CCM ndio inasimamia na hata kutangaza matokeo ya uchaguzi, sasa itashindwa vipi? Ikishindwa kwenye box inajipa kura wakati wa kuhesabu.
 
Back
Top Bottom