oneflash
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 814
- 600
Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasemaNaendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasemaNaendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.
Naendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasema
Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasemaNaendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.
Naendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasema
Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasemaNaendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.
Hivi mahakama yenu so ilitoa hukumu kwamba Miguna Miguna arudishiwe passport yake na aruhusiwe kurudi Kenya bila masharti yoyote, iweje serikali haiheshimu amri za mahakama?, Hiyo ndio sababu mojawapo Kenya kuwa ktk kundi la failed statesNa ndio maana nikasema uelewa wa watu unatofautiana sana. Kwa hivyo wale tupo saa hii sote ni viongozi ama?. Kama Kenya Ni failed state kisa raia mmoja kakosana na walio madarakani, nchi ambayo upindzani mzima unagura kwa kuhofia uhai wao ndio itakuwa Nini?..
Naendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasema
Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasemaNaendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.
Naendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasema
Afadhali kwetu mahakama iko na huo udhubutu wa kukata kauli dhidi ya viongozi. Huko kwenu hata mahakama ni karagosi. Sasa hiyo ndio proper failed state. 🤣🙈Hivi mahakama yenu so ilitoa hukumu kwamba Miguna Miguna arudishiwe passport yake na aruhusiwe kurudi Kenya bila masharti yoyote, iweje serikali haiheshimu amri za mahakama?, Hiyo ndio sababu mojawapo Kenya kuwa ktk kundi la failed states
Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasemaNaendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.
Sasa Kama inatoa kauli lakini hiyo kauli haisikilizwi, hiyo ni mahakama au ni mahakama ya failed state?[emoji23][emoji23][emoji23]Afadhali kwetu mahakama iko na huo udhubutu wa kukata kauli dhidi ya viongozi. Huko kwenu hata mahakama ni karagosi. Sasa hiyo ndio proper failed state. [emoji1787][emoji85]
Kauli ngapi hivi kakosa kusikilizwa?. Halafu afadhali haki kuchelewa lakini hukumu kishaa tolewa. Ina maana mhasiriwa yupo na matumaini ya kutendewa haki.Sasa Kama inatoa kauli lakini hiyo kauli haisikilizwi, hiyo ni mahakama au ni mahakama ya failed state?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha, delayed Justice is a denied justice, don't you know that?Kauli ngapi hivi kakosa kusikilizwa?. Halafu afadhali haki kuchelewa lakini hukumu kishaa tolewa. Ina maana mhasiriwa yupo na matumaini ya kutendewa haki.
So predictable, I knew that you would come ranting that old cliche 🤣🙈. Just like I would say; Better late than never!..Hahahaha, delayed Justice is a denied justice, don't you know that?
Tofauti na Wakenya, Watz kuna sehemu tunakosa ile "fighting spirit ", siyo kwenye siasa tu ila kwenye vitu vingi.Lakini kwa juhudi za mama, zimesababisha hao CCM wamepoteana, kuna yule Polepole darasa lake la uongozi sijui liliishia wapi, wamepigana vikumbo humo ndani ya chama, naona akina Nape na Makamba ndio wapo usukani halafu kundi la "legasi" wapo nje wanashambulia.....
Japo kwa namna ninavyoelewa siasa za Tanzania, haitotokea CCM iondoke madarakani, ukweli mchungu Watanzania hamna ujasiri huo, labda baadaye sana, ujamaa mnao ndani yenu ambao husababisha muwe watu wa kuswagwa na kuelekezwa elekezwa, pale Dodoma akichaguliwa wa kuwania kwa CCM, moja kwa moja huyo ndiye rais.
Hao CCM leo wanaonyesha mpasuko ila uchaguzi ukikaribia wanakua kimoja maana hicho chama ndio kula yao, ndio riziki yao na hakuna atakubali kipigwe chini kama tulivyofanya KANU.
Naendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasema
Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasemaNaendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.
Naendelea. Mtakatana tu mapanga ifikapo august nyie nyang'au.Nami naendelea pia. Halitafanyika kisa bwana mkubwa wa kijamaa kasema