Rais Samia na Waziri Mkuu, hivi hili daraja ndiyo la Bilioni 31?

Rais Samia na Waziri Mkuu, hivi hili daraja ndiyo la Bilioni 31?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Mbona mnaishi kwenye fikra ya Tanzania ya Mwaka 1960.

Hivi Leo hii bado naibu Waziri, Waziri, Waziri Mkuu na Rais, mnakua wa namna hii?

Mimi sio Muandisi, ila Hili DARAJA haliwezi gharimu Bilioni 31.

HIVI Kwanini Mungu alimchukua JOHN JOSEPH POMBE? KWANINI?



Jioneeni wakuu, ili ndo Daraja ambalo Serikali imetumia Bilion 31 , yaan million elfu thelathin na Moja

Mahospital hayana Madawa , Vifaa Tiba hamnaaa, Kuna zahanati Ndani Ndani hukoooo hazina hata Gloves .

Alafu hui ujinga, ndo mtuambie ni Bilion 31? Bilion?

Au Mimi msukuma niliyezaliwa umasikin huko, ndo Sijui maana ya Hela?
 
Namsikia Waziri wa Ujenzi anasema gharama za daraja pamoja na barabara km 18 mpaka kukamilika gharama zake zitakuwa bilioni 31.

Hapa naona ni gharama za daraja pamoja na barabara km 18.
Barabara la vumbi.?
 
Wivu wako wa kijinga, acha kuleta uchokonozi usio na faida ktk maisha yako, fanya utafiti kwa kila unacholalamikia, ovyo kabisa we
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Sasa kwa namna hii kwa nini Deni la Taifa lisiongezeke?

Yaani mnaiba hela mlizokopa.
 
Back
Top Bottom